Zamalek kujiondoa katika ligi ya Misri
Klabu maarufu ya Misri imesema kuwa itajiondoa kwenye ligi kuu ya nchini hiyo kutokana na usimamizi mbaya wa mechi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.
TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE
Kagera Sugar – African Sports 16:00 EAT
Maji Maji – Azam 16:00 EAT
Mwadui – Ndanda 16:00 EAT
Prisons – Mtibwa...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Nanyumbu wachekelea kujiondoa mkiani
HALMASHAURI ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara imefanya vizuri katika matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa mwaka 2014, baada ya kushika nafasi ya tatu kimkoa ikilinganishwa na mwaka 2013 ambapo ilishika nafasi ya mwisho kati ya halmashauri saba zinazounda mkoa huo.
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Jay Z kujiondoa kwenye Instagram
LOS ANGELES, Marekani
MSANII wa hip hop nchini Marekani, Jay Z, amepanga kujiondoa kwenye mtandao wa Instagram baada ya juzi kuweka picha ya marehemu Michael Jackson, ikikumbuka Agosti 29 ambayo ni siku ya kuzaliwa ya gwiji huyo wa muziki duniani.
Jay Z aliweka picha hiyo akiwa amepiga na gwiji huyo huku akiandika maneno yaliyosomeka: ‘Heri ya kuzaliwa mfalme wa muziki.’
“Hii inaweza kuwa ni picha yangu ya mwanzo na mwisho kuweka kwenye mtandao wa Instagram kwa kuwa sio mpenzi wa kutumia...
9 years ago
BBCSwahili03 Sep
Misri yarejea katika 50 bora Fifa
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Polisi 6 wauawa katika mlipuko Misri
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Elmohamady ajiondoa katika timu ya Misri
11 years ago
MichuziMHE. MEMBE ASHIRIKI KATIKA SHEREHE ZA KUMUAPISHA RAIS WA MISRI