Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nanyumbu wachekelea kujiondoa mkiani

HALMASHAURI ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara imefanya vizuri katika matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa mwaka 2014, baada ya kushika nafasi ya tatu kimkoa ikilinganishwa na mwaka 2013 ambapo ilishika nafasi ya mwisho kati ya halmashauri saba zinazounda mkoa huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Jay Z kujiondoa kwenye Instagram

Celebrities Attend The Chicago Bulls Vs Brooklyn Nets Playoff GameLOS ANGELES, Marekani

MSANII wa hip hop nchini Marekani, Jay Z, amepanga kujiondoa kwenye mtandao wa Instagram baada ya juzi kuweka picha ya marehemu Michael Jackson, ikikumbuka Agosti 29 ambayo ni siku ya kuzaliwa ya gwiji huyo wa muziki duniani.

Jay Z aliweka picha hiyo akiwa amepiga na gwiji huyo huku akiandika maneno yaliyosomeka: ‘Heri ya kuzaliwa mfalme wa muziki.’

“Hii inaweza kuwa ni picha yangu ya mwanzo na mwisho kuweka kwenye mtandao wa Instagram kwa kuwa sio mpenzi wa kutumia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Zamalek kujiondoa katika ligi ya Misri

Klabu maarufu ya Misri imesema kuwa itajiondoa kwenye ligi kuu ya nchini hiyo kutokana na usimamizi mbaya wa mechi.

 

10 years ago

Habarileo

Kibadeni apania kuitoa JKT Ruvu mkiani

KOCHA mpya wa timu ya soka ya JKT Ruvu, Abdallah `King Mputa’ Kibadeni ameanza kutamba kwa kusema tayari ameanza kuona mwanga wa mafanikio na siku chache zijazo anaamini ataanza kuonja ladha ya ushindi.

 

11 years ago

Habarileo

43 wajeruhiwa ajalini Nanyumbu

WATU 43 wamenusurika kifo huku wanne kati yao hali zao zikiwa mbaya baada ya gari waliyokuwa wakisafiria kupoteza mwelekeo na kupinduka katika Kijiji cha Mkambata, Kata ya Mikangaula, wilayani Nanyumbu mkoani Mtwara.

 

10 years ago

Habarileo

CCM bado yakubalika Nanyumbu

MATOKEO ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji katika Halmashauri ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara yanaonesha kuwa wananchi wa wilaya hiyo bado wana imani na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kukipa ushindi katika uchaguzi huo.

 

11 years ago

Habarileo

Mradi wa umeme Nanyumbu wazinduliwa

AHADI ya Serikali ya kuhakikisha inafikisha umeme Wilaya ya Nanyumbu na vijiji vyake , imetekelezwa baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuzindua rasmi mradi wa umeme wilayani humo. Kuzinduliwa kwa mradi huo, kumetengeneza historia mpya ya mji huo, kwani tangu uhuru, ulikuwa ukitumika umeme mbadala wa nishati ya jua na jenereta.

 

10 years ago

Michuzi

NMB YATOA VIFAA VYA HOSPITALI NA MADAWATI - NANYUMBU

Benki ya NMB kwa kuelewa uhitaji wa vifaa vya hospitali na madawati katika jamii inayoizunguka, imetoa vifaa vya hospitali vyenye thamani ya shilingi milioni tano kwa ajili ya Hospitali ya Wilaya ya Nanyumbu pamoja na madawati sabini yenye thamani ya shilingi millioni tano kwa Shule ya Msingi Likokona iliyoko Wilayani Nanyumbu, Mkoani Mtwara.
Msaada huo uliopokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu Mhe. Festo Kiswaga,   ni mwendelezo wa sera ya NMB ya kuchangia huduma za jamii ili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani