CCM bado yakubalika Nanyumbu
MATOKEO ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji katika Halmashauri ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara yanaonesha kuwa wananchi wa wilaya hiyo bado wana imani na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kukipa ushindi katika uchaguzi huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Sep
43 wajeruhiwa ajalini Nanyumbu
WATU 43 wamenusurika kifo huku wanne kati yao hali zao zikiwa mbaya baada ya gari waliyokuwa wakisafiria kupoteza mwelekeo na kupinduka katika Kijiji cha Mkambata, Kata ya Mikangaula, wilayani Nanyumbu mkoani Mtwara.
11 years ago
Habarileo28 Jan
Mradi wa umeme Nanyumbu wazinduliwa
AHADI ya Serikali ya kuhakikisha inafikisha umeme Wilaya ya Nanyumbu na vijiji vyake , imetekelezwa baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuzindua rasmi mradi wa umeme wilayani humo. Kuzinduliwa kwa mradi huo, kumetengeneza historia mpya ya mji huo, kwani tangu uhuru, ulikuwa ukitumika umeme mbadala wa nishati ya jua na jenereta.
10 years ago
Habarileo25 Dec
Nanyumbu wachekelea kujiondoa mkiani
HALMASHAURI ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara imefanya vizuri katika matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa mwaka 2014, baada ya kushika nafasi ya tatu kimkoa ikilinganishwa na mwaka 2013 ambapo ilishika nafasi ya mwisho kati ya halmashauri saba zinazounda mkoa huo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FnIUbRx9His/VOBNkLiaYyI/AAAAAAAHDyQ/LMF-LGQGrxA/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
INAFRIKA BAND KUTOKA DAR WATINGISHA JIJI LA BREMEN,UJERUMANI, TANZANIAN FOLK MUSIC MADE IN BONGO TO THE WORLD YAKUBALIKA KIMATAIFA!
10 years ago
MichuziNMB YATOA VIFAA VYA HOSPITALI NA MADAWATI - NANYUMBU
Msaada huo uliopokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu Mhe. Festo Kiswaga, ni mwendelezo wa sera ya NMB ya kuchangia huduma za jamii ili...
9 years ago
Habarileo28 Nov
Makubaliano CUF, CCM bado
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema mazungumzo yanayoshirikisha viongozi wa vyama viwili vya siasa vya CCM na CUF, yanaendelea na hakuna makubaliano yaliyofikiwa hadi sasa ya kurudiwa kwa uchaguzi mkuu uliofutwa wa Oktoba 25.
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
Kinana akagua miradi ya maendeleo na kuzungumza na Wananchi Nanyumbu leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-cUPP_f1UqF8/VHTYYMZzyiI/AAAAAAAAT24/HmYmGAWr8wM/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara baada ya kupokea taarifa za chama na serikali juu ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010
![](http://1.bp.blogspot.com/-18fcIkhbv7c/VHTYpv88f6I/AAAAAAAAT5E/xyLjUuiTfxg/s1600/3.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupasua mawe wakati wa ujenzi wa mradi wa maji Sengenya
![](http://3.bp.blogspot.com/-HjHxkHe3aoM/VHTYuzD8aAI/AAAAAAAAT5o/Aj1b_FAZIrU/s1600/4.jpg)
Ujenzi wa mradi wa maji wa Sengenya ukiwa unaendelea ambapo ukikamilika utasaidia vijiji vitatu wilayani Nanyumbu mkoa wa Mtwara.
![](http://2.bp.blogspot.com/-xOT28tU3BQo/VHTYv3icWQI/AAAAAAAAT50/y3KpwcVMv44/s1600/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
CCM kweli bado ni sehemu ya suluhisho?
NDANI ya wiki hizi mbili zijazo Watanzania watapata nafasi ya kuona na kuamua kama CCM inaweza ku
Lula wa Ndali Mwananzela
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/ester-kiama.gif)
ESTER: BADO NINA IMANI NA CCM