Makubaliano CUF, CCM bado
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema mazungumzo yanayoshirikisha viongozi wa vyama viwili vya siasa vya CCM na CUF, yanaendelea na hakuna makubaliano yaliyofikiwa hadi sasa ya kurudiwa kwa uchaguzi mkuu uliofutwa wa Oktoba 25.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboCHADEMA, CUF, NCCR MAGEUZI NA NLD VYATILIANA SAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO HII LEO
10 years ago
Habarileo13 Feb
Upelelezi kesi ya wafuasi wa CUF bado kukamilika
UPEELELEZI wa kesi ya kutotii amri halali ya polisi na kufanya mkusanyiko usio halali inayowakabili wafuasi 30 wa Chama cha Wananchi (CUF) haujakamilika.
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Makubaliano ya UKAWA lazima yawe zaidi kutaka kuing’oa CCM
MOJAWAPO ya mambo ambayo baadhi yetu hatukuyachangamkia sana ni Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao ulikuja kama mwamko (movement) ya kupinga kile ambacho wajumbe wake waliona ni utekaji wa...
10 years ago
MichuziKUNA MATUMAINI MAKUBWA YA KUFIKIWA MAKUBALIANO YA KUKIUNGANISHA CHAMA CHA SPLM-KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA-
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana jana aliwasili Arusha kwa lengo la kufanya mazungumzo na makundi matatu ya chama cha SPLM ya Sudani ya Kusini, mashauriano hayo yalilenga kukamilisha makubaliano baina ya makundi hasimu.
Baada ya Mazungumzo Ndugu Kinana alisema ana matumaini ya kufikiwa makubaliano ya kukiunganisha chama cha SPLM katika siku chache zijazo
Kutoka kushoto ni Balozi David Kapya,Abdulrahman Kinana,Mwenyekiti wa Mazungumzo Dk.John Samuel Malecela na Makamu Mwenyekiti...
10 years ago
Vijimambo07 Jan
CCM, CUF WALIANZISHA
10 years ago
Habarileo20 Dec
CCM bado yakubalika Nanyumbu
MATOKEO ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji katika Halmashauri ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara yanaonesha kuwa wananchi wa wilaya hiyo bado wana imani na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kukipa ushindi katika uchaguzi huo.
10 years ago
TheCitizen10 Jan
CCM, CUF fire shots
10 years ago
Vijimambo04 May
CUF wawapania CCM Ruangwa.
Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, wamechoshwa na uongo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamedai kuwa miaka 53 ya uhuru wameshindwa kuwajengea barabara kuu ya wilaya hiyo kwa kiwango cha lami na fimbo watakayotumia ni kukiadhibu ni kukinyima kura Oktoba, mwaka huu.
Wakizungumza katika mikutao ya hadhara ya Chama cha Wananchi (CUF) katika maeneo mbalimbali ikiwamo Kata ya Nandagala, kuhamasisha wanachama na wananchi kujiandikisha...