CUF wawapania CCM Ruangwa.
Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa CUF, Abdul Kambaya.
Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, wamechoshwa na uongo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamedai kuwa miaka 53 ya uhuru wameshindwa kuwajengea barabara kuu ya wilaya hiyo kwa kiwango cha lami na fimbo watakayotumia ni kukiadhibu ni kukinyima kura Oktoba, mwaka huu.
Wakizungumza katika mikutao ya hadhara ya Chama cha Wananchi (CUF) katika maeneo mbalimbali ikiwamo Kata ya Nandagala, kuhamasisha wanachama na wananchi kujiandikisha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogWANA CCM RUANGWA WAMIMINIKA KUMDHAMINI DK. MAGUFULI, 2,565 WAJITOKEZA
RUANGWA, Lindi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameongoza wanachama 314 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ruangwa, Lindi katika kujaza fomu za kumdhamini Rais Dkt. John Pombe Magufuli ili aweze kuteuliwa kugombea tena nafasi ya...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-x9f88epmr54/VG90Vr_Fo3I/AAAAAAAATl8/kqTMGQJr14U/s1600/02.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM, NDUGU KINANA YAENDELEA WILAYANI RUANGWA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x9f88epmr54/VG90Vr_Fo3I/AAAAAAAATl8/kqTMGQJr14U/s72-c/02.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA YAENDELEA WILAYANI RUANGWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-x9f88epmr54/VG90Vr_Fo3I/AAAAAAAATl8/kqTMGQJr14U/s1600/02.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili kwenye uwanja wa Ruangwa Likangara tayari kuhutubia wakazi wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-I3nYY16_YTQ/VG90RU1TpxI/AAAAAAAATl0/TMnNGiwY9Lo/s1600/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yHQr0FYPwaI/VG90omkgw1I/AAAAAAAATmM/wIIaJ0qvRXA/s1600/04.jpg)
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Prisons wawapania Okwi, Msuva
10 years ago
Vijimambo07 Jan
CCM, CUF WALIANZISHA
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2580984/highRes/916000/-/maxw/600/-/xpbupnz/-/vurugu.jpg)
10 years ago
TheCitizen10 Jan
CCM, CUF fire shots
10 years ago
Mtanzania10 Jan
CUF wamkimbiza mbunge wa CCM
Na Ally Badi, Lindi
MBUNGE wa Viti Maalumu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zainab Kawawa, juzi alifukuzwa na vijana wa Kijiji cha Makinda waliokuwa na mawe na magongo wakati akijiandaa kufanya mkutano wa hadhara.
Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Makinda kilichopo Kata ya Kipule Wilaya ya Liwale, Salum Salum Kachwele, amelithibitishia MTANZANIA Jumamosi kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa Mbunge Kawawa alikutana na zahama hiyo wakati akijiandaa kutangaza nia ya kugombea ubunge wa...
9 years ago
Mwananchi04 Nov
CUF kuipinga CCM mahakamani