CCM, CUF fire shots
The ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) and opposition Civic Union Front (CUF) yesterday traded blames over recent chaos which dominated swearing-in ceremonies of local government leaders in Dar es Salaam and Mwanza, among other regions.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen16 Jul
Kingunge spits fire, calls for CCM dialogue
10 years ago
TheCitizen06 Jun
Give me friendly fire any time? But not military fire, please!
10 years ago
Vijimambo07 Jan
CCM, CUF WALIANZISHA
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2580984/highRes/916000/-/maxw/600/-/xpbupnz/-/vurugu.jpg)
10 years ago
Vijimambo04 May
CUF wawapania CCM Ruangwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Abdul-4May2015.jpg)
Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, wamechoshwa na uongo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamedai kuwa miaka 53 ya uhuru wameshindwa kuwajengea barabara kuu ya wilaya hiyo kwa kiwango cha lami na fimbo watakayotumia ni kukiadhibu ni kukinyima kura Oktoba, mwaka huu.
Wakizungumza katika mikutao ya hadhara ya Chama cha Wananchi (CUF) katika maeneo mbalimbali ikiwamo Kata ya Nandagala, kuhamasisha wanachama na wananchi kujiandikisha...
11 years ago
Habarileo05 Mar
CCM, CUF, Chadema washambuliwa
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa amevishambulia vyama vya CCM, CUF na Chadema kuwa vinaharibu Bunge Maalumu la Katiba, kutokana na kutaka misimamo yao ya vyama itawale vikao vya bunge hilo.
9 years ago
Mtanzania16 Sep
CCM yaiteka ngome ya CUF
Waandishi Wetu, Zanzibar na Dar
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, kimeitikisa ngome kuu ya Chama Cha Wananchi (CUF) kwenye mkutano wa ufunguzi wa kampeni uliofanyika Kisiwa cha Pemba.
Pemba ni ngome ya chama hicho cha upinzani visiwani Zanzibar kutokana na kuwa na nguvu kubwa, huku CCM ikiwa na mizizi Unguja.
Mkutano wa CCM uliofanyika jana katika Uwanja wa Gombani ya Kale Mkoa wa Kaskazini Pemba Wilaya ya Chakechake, inaweza kutafsiriwa kuwa ilitingishwa kutokana na umati mkubwa...
10 years ago
Mtanzania10 Jan
CUF wamkimbiza mbunge wa CCM
Na Ally Badi, Lindi
MBUNGE wa Viti Maalumu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zainab Kawawa, juzi alifukuzwa na vijana wa Kijiji cha Makinda waliokuwa na mawe na magongo wakati akijiandaa kufanya mkutano wa hadhara.
Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Makinda kilichopo Kata ya Kipule Wilaya ya Liwale, Salum Salum Kachwele, amelithibitishia MTANZANIA Jumamosi kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa Mbunge Kawawa alikutana na zahama hiyo wakati akijiandaa kutangaza nia ya kugombea ubunge wa...
9 years ago
Habarileo28 Nov
Makubaliano CUF, CCM bado
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema mazungumzo yanayoshirikisha viongozi wa vyama viwili vya siasa vya CCM na CUF, yanaendelea na hakuna makubaliano yaliyofikiwa hadi sasa ya kurudiwa kwa uchaguzi mkuu uliofutwa wa Oktoba 25.