Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM, CUF fire shots

The ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) and opposition Civic Union Front (CUF) yesterday traded blames over recent chaos which dominated swearing-in ceremonies of local government leaders in Dar es Salaam and Mwanza, among other regions.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Kingunge spits fire, calls for CCM dialogue

Dar es Salaam. Veteran CCM cadre Kingunge Ngombale-Mwiru yesterday called for urgent dialogue to heal and unite the party ahead of the October General Election.

 

10 years ago

TheCitizen

Give me friendly fire any time? But not military fire, please!

No doubt acting out of curiosity, a reader emailed to ask me what the heading to this column, ‘Friendly Fire From Yesteryears,’ is intended to portray. How can fire be friendly, the fellow asked - perhaps bearing in mind such episodes as the Great Fire of London in 1666!

 

10 years ago

Vijimambo

CCM, CUF WALIANZISHA

Na Waandishi Wetu, MwananchiHivi sasa mimi ni kiongozi halali kwa mujibu wa sheria,”Dar es Salaam. Utata mpya umeibuka kuhusu matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa baada ya wagombea watatu waliotangazwa washindi kuwekwa kando ikidaiwa kuwa badala yake walioshindwa waliapishwa kuchukua nafasi zao, hali iliyozua vurugu kubwa zilizotulizwa na polisi kwa mabomu ya machozi Ubungo jana.Kutokana na hali hiyo, wafuasi wa CUF wanaodai wagombea wa chama chao ndiyo walioshinda, waliibuka na kutanda...

 

10 years ago

Vijimambo

CUF wawapania CCM Ruangwa.

Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa CUF, Abdul Kambaya.
Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, wamechoshwa na uongo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamedai kuwa miaka 53 ya uhuru wameshindwa kuwajengea barabara kuu ya wilaya hiyo kwa kiwango cha lami na fimbo watakayotumia ni kukiadhibu ni kukinyima kura Oktoba, mwaka huu.

Wakizungumza katika mikutao ya hadhara ya Chama cha Wananchi (CUF) katika maeneo mbalimbali ikiwamo Kata ya Nandagala, kuhamasisha wanachama na wananchi kujiandikisha...

 

11 years ago

Habarileo

CCM, CUF, Chadema washambuliwa

MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa amevishambulia vyama vya CCM, CUF na Chadema kuwa vinaharibu Bunge Maalumu la Katiba, kutokana na kutaka misimamo yao ya vyama itawale vikao vya bunge hilo.

 

9 years ago

Mtanzania

CCM yaiteka ngome ya CUF

Pg 3Waandishi Wetu, Zanzibar na Dar

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, kimeitikisa ngome kuu ya Chama Cha Wananchi (CUF) kwenye mkutano wa ufunguzi wa kampeni uliofanyika Kisiwa cha Pemba.

Pemba ni ngome ya chama hicho cha upinzani visiwani Zanzibar kutokana na kuwa na nguvu kubwa,  huku CCM ikiwa na mizizi Unguja.

Mkutano wa CCM uliofanyika jana katika Uwanja wa Gombani ya Kale Mkoa wa Kaskazini Pemba Wilaya ya Chakechake, inaweza kutafsiriwa kuwa ilitingishwa kutokana na umati mkubwa...

 

10 years ago

Mtanzania

CUF wamkimbiza mbunge wa CCM

kwwNa Ally Badi, Lindi
MBUNGE wa Viti Maalumu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zainab Kawawa, juzi alifukuzwa na vijana wa Kijiji cha Makinda waliokuwa na mawe na magongo wakati akijiandaa kufanya mkutano wa hadhara.

Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Makinda kilichopo Kata ya Kipule Wilaya ya Liwale, Salum Salum Kachwele, amelithibitishia MTANZANIA Jumamosi kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa Mbunge Kawawa alikutana na zahama hiyo wakati akijiandaa kutangaza nia ya kugombea ubunge wa...

 

9 years ago

Habarileo

Makubaliano CUF, CCM bado

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema mazungumzo yanayoshirikisha viongozi wa vyama viwili vya siasa vya CCM na CUF, yanaendelea na hakuna makubaliano yaliyofikiwa hadi sasa ya kurudiwa kwa uchaguzi mkuu uliofutwa wa Oktoba 25.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani