CUF kuipinga CCM mahakamani
Chama cha Wananchi (CUF) kimetangaza kwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi katika majimbo sita, kutokana na kile ilichoeleza ukiukwaji wa sheria na kanuni za uchaguzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Wabunge CCM wazidi kuipinga bajeti
10 years ago
GPLMWENYEKITI CUF ALIZIMIA MAHAKAMANI!
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Wafuasi CUF wacheza ‘sinema’ mahakamani
10 years ago
StarTV04 Nov
 CUF kwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi Tabora mjini.
Chama cha Wananchi CUF Mkoa wa Tabora kimeazimia kufungua kesi mahakamani mapema wiki hii kupinga matokeo ya ubunge dhidi ya mgombea wa CCM aliyetangazwa kuwa mshindi wa Jimbo la Tabora Mjini.
Kauli hiyo imetolewa kutokana na kile kilichodaiwa kuwa mgombea wa CUF alipata kura nyingi zaidi ya mgombea wa Chama cha Mapinduzi.
Aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Tabora mjini kupitia CUF chini ya mwamvuli wa UKAWA, Peter Mkufya akisisitiza kwenda mahakamani kwa kile kinachodaiwa kuporwa...
10 years ago
Mwananchi02 Jul
Chadema yaibwaga CCM mahakamani
10 years ago
Habarileo29 Oct
CCM kupinga mahakamani matokeo ya majimbo manne
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeeleza kutoridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye majimbo ya Kawe, Ndanda, Mikumi na Iringa Mjini na kimesema kitayapinga matokeo hayo mahakamani.
10 years ago
Mwananchi30 May
CCM yapigwa mweleka mahakamani kesi ya uchaguzi
10 years ago
Mwananchi29 Oct
CCM kupinga matokeo ya Mdee, Mch. Msigwa mahakamani