Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema yaibwaga CCM mahakamani

>Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara imezidi kupata pigo baada ya Mahakama kutengua matokeo ya uchaguzi wa wenyeviti wa vitongoji 16 vya mji mdogo wa Mirerani, kwa maelezo kuwa ulikiuka sheria na utaratibu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

CCM IMEFIKA MAHAKAMANI KUMLIPIA DENI ALIYEKUWA KATIBU WA CHADEMA

  Katibu wa itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kufuata utaratibu, wa kulipa faini ya Sh milioni 30 ili kumnusuru DK Vicent Mashinji aliyetiwa hatiani jana.
Akizungumza katika viwanja vya mahakama akiwa ameambatana na wanachama wengine wa chama hicho pamoja na mke wa mfungwa huyo , Polepole amesema amefika kufuata utaratibu ili wamtoe Mashinji.
"Tunaishukuru CCM Mkoa wa Dar es Salaam, wametusaidia tangu jana mpaka saa 4:00...

 

9 years ago

Mtanzania

Chadema yaibwaga polisi kesi ya marehemu Mawazo

Picha ya Mawazo (2)NA BENJAMIN MASESE, MWANZA

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza, imetupa zuio la Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, RPC Charles Mkumbo kuzuia kuagwa mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), marehemu Alphonce Mawazo.

Hukumu hiyo ilitolewa jana na Jaji Lameck Mlacha na kuwapa ruksa ndugu na viongozi wa chama hicho kutoa heshima za mwisho sehemu yoyote itakayofaa, huku akisema amri ya kamanda huyo wa Mwanza ni batili kisheria.

Katika hukumu hiyo, mahakama ilisema...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kijiji cha Wangama, Fred Mgata (kulia) akikabidhi kadi za chyama hicho kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga baada ya yeye na wanachama wengine 50 wa Chadema kuamua kukihama na kujiunga CCM katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika  katika Kijiji hicho kilichopo Kata ya Luhota, Iringa Vijijini leo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chadema ambaye ni mzaliwa wa kijiji hicho,  Grace Tendega alikuwa chini ya...

 

9 years ago

Habarileo

Chadema kumpinga Bashe mahakamani

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilaya ya Nzega mkoani Tabora kimetangaza kwenda mahakamani kupinga matokeo yaliyompatia ushindi Mbunge wa jimbo la Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM).

 

9 years ago

StarTV

CHADEMA chapeleka shauri mahakamani

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeahirisha shughuli za mazishi ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Geita Marehemu Alphonce Mawazo na kupeleka mahakamani shauri la kuomba kibali cha kuuaga mwili huo.

Uamuzi huo unachukuliwa baada ya jeshi la polisi mkoani Mwanza kushikilia msimamo wa kutofanyika mikusanyiko katika viunga vya jiji la Mwanza.

Awali shughuli za kuuaga mwili huo zilitakiwa kufanyika jumamosi hii jijini Mwanza na jumapili mkoani Geita na mazishi yangefanyika...

 

11 years ago

GPL

ZITTO AWABWAGA CHADEMA MAHAKAMANI

Zitto Kabwe. Nimeomba mahakama kuzuia kamati kuu ya chama changu kunijadili mpaka rufaa yangu isikilizwe na Baraza Kuu la chama. Sijaomba kuzuia kamati kuu kuendelea na kikao chake. Nimeomba kamati isinijadili maana nina rufaa kwenda Baraza Kuu kwa jambo hilo hilo ambalo kamati kuu inataka kuliamulia. Wakili wa chama Tundu lissu aliweka mapingamizi akisema mahakama haina mamlaka kujadili masuala ya vyama na wanachama wao. Jaji...

 

11 years ago

Habarileo

Zitto aibwaga Chadema mahakamani

Kabwe ZittoMAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeamuru Kamati Kuu ya Chadema kutojadili suala la uanachama wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto katika mkutano utakaofanyika leo Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

CHADEMA YAMBWAGA ZITTO MAHAKAMANI

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe. Chadema leo imeshinda kesi Mahakama Kuu dhidi ya Zitto Kabwe na ametakiwa alipe gharama za kesi. Habari kamili kuwajia hivi punde! JIUNGE NA GLOBAL BREAKING NEWS…

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

ACT-Tanzania kuiburuza CHADEMA mahakamani


NA SOLOMON MWANSELE,MBEYA.
 CHAMA Cha ACT-Tanzania mkoa wa Mbeya, kimesema kitaiburuza mahakamani CHADEMA kwa tuhuma za wizi wa kadi 50 na bendera za chama hicho, vilivyoibwa kwenye ofisi yake iliyoko Uyole jijini Mbeya.
Imeelezwa kuwa tayari ACT-Tanzania imeshakamilisha taratibu za kufungua kesi hiyo na mwanasheria wa chama hicho kutoka makao makuu jijini Dar es Salaam, anatarajiwa kuwasili leo (jana).
Mratibu wa ACT-Tanzania mkoa wa Mbeya, Bahati Rongopa, aliyasema hayo jana wakati akielezea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani