Prisons wawapania Okwi, Msuva
Kocha wa Prisons, David Mwamaja amewapa kazi maalumu mabeki wake ya kuhakikisha mawinga wa Yan
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVK9VM8nbDvB6Mst7huUn4gl4upAmm02gCI*amGCWPl5ouXBwfpKfCTyYaHVSihV87WE1LktJGVsFQZiszwMES1g/kac.jpg)
Kasi ya Msuva, Coutinho yamtia presha Okwi
Mchezaji wa Yanga, Simon Msuva. Na Sweetbert Lukonge
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, hivi sasa ni mwenye mawazo mengi kila anapofikiria kasi ya wachezaji wawili wa Yanga, Andrey Coutinho na Simon Msuva kabla ya timu hizo mbili kuonyeshana ubabe Oktoba 18, mwaka huu. Okwi amekumbwa na hali hiyo kutokana na kukosa imani na safu ya ulinzi ya timu yake ambayo imeonyesha kutokuwa imara katika mechi zake za...
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Okwi aumia, kuikosa Tanzania Prisons
Jinamizi la majeruhi limezidi kuiandama Simba baada ya mshambuliaji wake mahiri Emmanuel Okwi kuumia kifundo cha mguu na kuna uwezekano wa kuikosa mechi ya kesho dhidi ya Prisons.
10 years ago
Vijimambo04 May
CUF wawapania CCM Ruangwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Abdul-4May2015.jpg)
Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, wamechoshwa na uongo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamedai kuwa miaka 53 ya uhuru wameshindwa kuwajengea barabara kuu ya wilaya hiyo kwa kiwango cha lami na fimbo watakayotumia ni kukiadhibu ni kukinyima kura Oktoba, mwaka huu.
Wakizungumza katika mikutao ya hadhara ya Chama cha Wananchi (CUF) katika maeneo mbalimbali ikiwamo Kata ya Nandagala, kuhamasisha wanachama na wananchi kujiandikisha...
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Msuva hakamatiki 2015
Dar es Salaam. Ni nani kama Msuva? Jina hilo, Simon Happygod Msuva si geni katika medani ya michezo nchini.
10 years ago
Vijimambo15 Apr
Yanga wamchanganya Msuva
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2685162/highRes/991420/-/maxw/600/-/ga0tf2/-/msuva+picha.jpg)
Straika wa Yanga, Simon Msuva, akiwa na zawadi yake ya mchele aliyopewa na shabiki wa timu yake kutokana na jitihada zake anazofanya uwanjani.
Msuva ambaye ni kinara wa mabao kwenye safu ya ufungaji bora baada ya kufunga 13, alizawadiwa kilo 30 za mchele wa Mbeya baada ya mechi yao na Mbeya City waliyoshinda 3-1 kumalizika. Zawadi hiyo imetolewa na shabiki maarufu wa Yanga, Ally Yanga.MASHABIKI wa soka wanamchanganya mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva lakini mwenyewe akasema kuwa...
9 years ago
Habarileo25 Oct
Msuva matumaini kibao
MFUNGAJI bora wa msimu uliopita wa ligi kuu bara, Simon Msuva amesema kuanzia benchi katika mechi tatu zilizopita hakumtii hofu ya kupoteza nafasi yake ya kuitumikia Yanga.
9 years ago
TheCitizen23 Nov
Msuva: Professionalism comes naturally
Dar es Salaam Young Africans ace striker Simon Msuva has said that he will not rush to turn professional, instead, he will do so when the time comes.
10 years ago
TheCitizen13 Jun
Msuva named best VPL player
Dar es Salaam. Young Africans forward took home a total of Sh11.4m following his big win at the Tanzania Football Federation (TFF) awards ceremony.
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Tambwe amtia presha Msuva
Dar es Salaam. Ni dhahiri sasa mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe amemkaba kooni kiasi cha kumtia presha mwenzake, Simon Msuva katika vita ya kuwania tuzo ya ufungaji bora msimu huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania