Msuva named best VPL player
Dar es Salaam. Young Africans forward took home a total of Sh11.4m following his big win at the Tanzania Football Federation (TFF) awards ceremony.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen16 Dec
Azam player to miss key VPL duels
9 years ago
Africanjam.Com
JAVIER "CHICHARITO" HERNANDEZ NAMED AGAIN BUNDESLIGA PLAYER OF THE MONTH

Hernandez scored five times for Leverkusen in December, or once every 52 minutes -- the best rate in the league.
Hernandez, 27, completed a hat trick in his side's 5-0 rout of Borussia Monchengladbach and added a goal each against Hertha Berlin and Ingolstadt.The former Manchester United man also...
10 years ago
Habarileo25 Oct
Msuva matumaini kibao
MFUNGAJI bora wa msimu uliopita wa ligi kuu bara, Simon Msuva amesema kuanzia benchi katika mechi tatu zilizopita hakumtii hofu ya kupoteza nafasi yake ya kuitumikia Yanga.
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Msuva hakamatiki 2015
9 years ago
TheCitizen23 Nov
Msuva: Professionalism comes naturally
10 years ago
Vijimambo15 Apr
Yanga wamchanganya Msuva

Straika wa Yanga, Simon Msuva, akiwa na zawadi yake ya mchele aliyopewa na shabiki wa timu yake kutokana na jitihada zake anazofanya uwanjani.
Msuva ambaye ni kinara wa mabao kwenye safu ya ufungaji bora baada ya kufunga 13, alizawadiwa kilo 30 za mchele wa Mbeya baada ya mechi yao na Mbeya City waliyoshinda 3-1 kumalizika. Zawadi hiyo imetolewa na shabiki maarufu wa Yanga, Ally Yanga.MASHABIKI wa soka wanamchanganya mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva lakini mwenyewe akasema kuwa...
10 years ago
Mtanzania16 May
Pluijm ambakisha Msuva Yanga
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amembakisha winga Simon Msuva kwenye timu hiyo kwa mwaka mmoja zaidi, ili kumtengeneza vyema kabla ya kutimkia Afrika Kusini.
Wiki iliyopita Msuva alikwenda kufanya majaribio katika timu ya Bidvest Wits ya Afrika Kusini, ambapo baada ya kurejea nchini ilielezwa amefaulu majaribio hayo.
Pluijm, aliyeongozana na Meneja wa timu hiyo, Hafidh Saleh, walifanya ziara maalumu kwenye Ofisi za Kampuni ya New Habari...
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Kiwango champoteza Msuva Yanga