Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tambwe amtia presha Msuva

Dar es Salaam. Ni dhahiri sasa mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe amemkaba kooni kiasi cha kumtia presha mwenzake, Simon Msuva katika vita ya kuwania tuzo ya ufungaji bora msimu huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti CHADEMA amtia presha Nchimbi

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Ruvuma, Joseph  Lusius Fuime, ametangaza nia ya  kugombea ubunge katika Jimbo la Songea mjini mwakani. Fuime  ambaye ni Diwani wa Kata ya Mjini...

 

10 years ago

GPL

Kasi ya Msuva, Coutinho yamtia presha Okwi

Mchezaji wa Yanga, Simon Msuva. Na Sweetbert Lukonge
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, hivi sasa ni mwenye mawazo mengi kila anapofikiria kasi ya wachezaji wawili  wa Yanga, Andrey Coutinho na Simon Msuva kabla ya timu hizo mbili kuonyeshana ubabe Oktoba 18, mwaka huu. Okwi amekumbwa na hali hiyo kutokana na kukosa imani na safu ya ulinzi ya timu yake ambayo imeonyesha kutokuwa imara katika mechi zake za...

 

10 years ago

GPL

LOWASSA AMTIA HOFU WEMA!

MAYASA MARIWATA DU! Kazi kwelikweli! Habari ya mjini kwa sasa ni mtoto mzuri Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuwania Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), lakini nyuma yake kuna habari zinazodai kuwa mrembo huyo ameingiwa na hofu ya kukatwa jina kama ilivyotokea kwa Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliyekuwa mmoja wa watia nia ya kugombea urais, Amani lina...

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri amtia kufuli Mkude

Dar es Salaam. Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri amemshauri kiungo wake  chipukizi, Jonas Mkude asiondoke ndani ya timu hiyo kwa sasa na  kumwambia akienda Yanga amekwisha.

 

11 years ago

GPL

DC MULEBA AMTIA NDANI DIWANI

Mkuu wa Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera, Lembris Kipuyo. MKUU wa Wilaya (DC) ya Muleba, mkoani Kagera, Lembris Kipuyo, amedaiwa kutumia vibaya mamlaka yake na kuwalazimisha polisi kumkamata Diwani wa Kata ya Magatakalutanga, Geofrey Ezekiel (CCM), kwa madai ya kumtishia maisha na kutaka kummwagia tindikali. Habari kutoka Muleba zilisema kuwa  Kipuyo amekuwa akitoa tuhuma mbalimbali dhidi ya diwani huyo na kufikia hatua ya...

 

11 years ago

GPL

MWALIMU SHULE YA MSINGI AMTIA MIMBA MWANAFUNZI WAKE

Ofisa Elimu Msingi, Wilaya ya Nkasi, Bw. Misana Kwangura akizungumza na Thehabari. Na Thehabari.com, Namanyere-Nkasi MWALIMU mmoja wa Shule ya Msingi Sintali (jina tunalo) anatuhumiwa kwa kuwatia mimba wanafunzi wawili mmoja akiwa wa shule anayofundisha yeye na mwingine wa Shule ya Sekondari Sintali hali iliowafanya wanafunzi hao kukatisha masomo. Tukio hilo limetokea Katika Kijiji cha Sintali, Wilaya ya Nkasi na baada ya...

 

10 years ago

Bongo5

Sitti: Siwezi kuwazuia watu kuongea, Ridhiwani amtia moyo

Aliyekuwa Miss Tanzania 2014 hadi Jumamosi iliyopita, Sitti Mtemvu leo ametoa kauli yake mpya ikiwa ni siku chache baada ya kutangaza kujivua taji hilo. Sitti ambaye taji la alilovua amepewa Lilian Kamazima kupitia twitter aliandika: Siwezi kuwazuia watu kuongea lakini naweza kujizuia kuzungumza — Sitii Abbas (@SitiiAbbasMtevu) November 10, 2014 Naye Mbunge wa Chalinze Ridhiwani […]

 

10 years ago

CloudsFM

Wema Sepetu alia na wanaomsakama kuwa hazai,Riyama Ally amtia moyo

Staa wa Bongo,Wema Sepetu amewafungukia baadhi ya watu wanaomsakama mara kwa mara kuwa hawezi kupata mtoto na kwamba yeye ni mgumba.

Kupitia mtandao wa Instagram Wema aliandika kuwa maneno hao yanamuumiza kama binadamu na angekuwa na uwezo wa kuzaa angezaa muda mrefu na kwamba hana na hawezi kumkufuru Mwenyezi Mungu.

Baada ya kuandika maneno hayo msanii wa filamu za Kibongo,Riyama Ally alimtia moyo na kumwambia hivi…. naomba hapa unisikie kwamakini nabii ibrahim alimpata na bii ismail akiwa...

 

10 years ago

GPL

JB PRESHA YAPANDA

ISHU! Wakati Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ikikutana leo mjini Dodoma kupitia na mwishowe kukata majina ya wagombea wanaowania kuteuliwa kwa nafasi ya Urais katika uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, presha ya muigizaji Jacob Stephen ‘JB’ imepanda, kwa hofu ya kutokea tafrani miongoni mwa wanachama wa chama hicho. Muigizaji maarufu wa Bongo movie , Jacob Stephen ‘JB’ .
Akizungumza na gazeti hili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani