LOWASSA AMTIA HOFU WEMA!
![](http://api.ning.com:80/files/UUHZoZFGT4gT-ANtsk1Iy4oJ5D-2XeYWH073m22IAfaCusXfuuJcBecLsdPkuJe5cgVfF2PETIsNoRV86CvuVjy0AItiL1BA/lowassa.gif?width=650)
MAYASA MARIWATA DU! Kazi kwelikweli! Habari ya mjini kwa sasa ni mtoto mzuri Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuwania Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), lakini nyuma yake kuna habari zinazodai kuwa mrembo huyo ameingiwa na hofu ya kukatwa jina kama ilivyotokea kwa Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliyekuwa mmoja wa watia nia ya kugombea urais, Amani lina...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM13 Apr
Wema Sepetu alia na wanaomsakama kuwa hazai,Riyama Ally amtia moyo
Staa wa Bongo,Wema Sepetu amewafungukia baadhi ya watu wanaomsakama mara kwa mara kuwa hawezi kupata mtoto na kwamba yeye ni mgumba.
Kupitia mtandao wa Instagram Wema aliandika kuwa maneno hao yanamuumiza kama binadamu na angekuwa na uwezo wa kuzaa angezaa muda mrefu na kwamba hana na hawezi kumkufuru Mwenyezi Mungu.
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-sD2ApP7Ltds/VYcKbF0mA8I/AAAAAAAHiNs/2iKTjmAITLs/s1600/MMGL0877.jpg)
LOWASSA: SINA HOFU KUKATWA JINA CCM
9 years ago
Bongo Movies16 Sep
Wolper Awatoa Hofu Mashabiki, Asisitiza Kubaki Kuwa Jacqueline Lowassa
Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper ambaye amejipambanua siasa kuwa anaunga mkono madadiliko kupitia UKAWA na kushiriki katika harakati za kumpigia kampeni Mh Edward Lowassa ambaye ni mgombea urasi kupitia UKAWA kwa tiketi ya CHADEMA, amewatoa hofu mashabiki wao kuwa hakuna bifu miongoni mwao kwani siasa zikiisha wataendelea na maisha yao kama kawaida tofauti na baadhi ya mashabiki wanavyodhani hasa baada ya wasanii hao wa bongo movies walivyotafautiana kimitazamo ya kisiasa kwakipindi...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TPRiA2ExdOfW0qahuYXarMggSJFYF8c-VB*FraFk4TTwsWoBD8wyDfz8sZjjkg4nA2xtUtp*9bSNTWrVeICknCb/wema_sepetu991.jpg?width=650)
WEMA ADAI LOWASSA ANGESHINDA, ANGEHAMA NCHI
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Tambwe amtia presha Msuva
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Phiri amtia kufuli Mkude
11 years ago
GPLDC MULEBA AMTIA NDANI DIWANI
9 years ago
Bongo Movies30 Sep
Faiza: Tuwe Tunahofu ya Mungu, Wanaomponda Lowassa na Wema
Saa nyingine ili uone uzito wajambo inabidi uvae viatu vya mwenzio- kwa kweli imefika wkt najisikia vibaya kuhusu kusoma ugonjwa wa LOWASA, watu wameona ndio fimbo ya kumchapia kuhusu ugonjwa wake kwa kweli sijisikii vizuri na sioni kama sawa
Pia katika pita pita huku insta nimeona Wema na mbwa na Zari na mtoto na maneno ya kashfa juu yake, jamani watanzania mnamatatizo gani kuhusu maisha ya watu!
Kwa nini unamsema vibaya mtu juu ya kilema chake ? Kwa nini usimsema mapungufu yake bila...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Mwenyekiti CHADEMA amtia presha Nchimbi
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Ruvuma, Joseph Lusius Fuime, ametangaza nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Songea mjini mwakani. Fuime ambaye ni Diwani wa Kata ya Mjini...