Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Faiza: Tuwe Tunahofu ya Mungu, Wanaomponda Lowassa na Wema

Saa nyingine ili uone uzito wajambo inabidi uvae viatu vya mwenzio- kwa kweli imefika wkt najisikia vibaya kuhusu kusoma ugonjwa wa LOWASA, watu wameona ndio fimbo ya kumchapia kuhusu ugonjwa wake kwa kweli sijisikii vizuri na sioni kama sawa

Pia katika pita pita huku insta nimeona Wema na mbwa na Zari na mtoto na maneno ya kashfa juu yake,  jamani watanzania mnamatatizo gani kuhusu maisha ya watu!

 Kwa nini unamsema vibaya mtu juu ya kilema chake ? Kwa nini usimsema mapungufu yake bila...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

FAIZA AWACHARUKIA WANAOMPONDA KUVAA ‘PAMPERS’

Stori: Hamida Hassan wa GPLMzazi mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally ‘Mama Sasha’ amewafungukia watu ambao wanamponda yeye kutinga na ‘pampers’ ukumbini na kusema kuwa hiyo ni moja ya maamuzi yake binafsi.Mzazi mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally ‘Mama Sasha’ akipozi.Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Faiza aliyetinga vazi hilo katika siku yake ya kuzaliwa hivi karibuni, alisema kuvaa vile hafikiri kama kuna ubaya kwa mtu...

 

10 years ago

GPL

FAIZA AWACHARUKIA WANAOMPONDA KUVAA ‘PAMPERS’

Stori: Hamida Hassan
Mzazi mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally ‘Mama Sasha’ amewafungukia watu ambao wanamponda yeye kutinga na ‘pampers’ ukumbini na kusema kuwa hiyo ni moja ya maamuzi yake binafsi. Mzazi mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally ‘Mama Sasha’ akipozi. Akizungumza na Ijumaa Wikienda,...

 

11 years ago

GPL

WEMA AWAJIBU WANAOMPONDA BAADA YA KUSHINDA TUZO YA IJUMAA SEXIEST GIRL

Mrembo Wema Isaac Sepetu 'Beautiful Onyinye' akiwa na tuzo yake baada ya kuibuka Ijumaa Sexiest Girl 2013/14 ndani ya Dar Live. Tangu akabidhiwe tuzo yake ya Ijumaa sexiest girl, Mrembo Wema Isaac Sepetu 'Beautiful Onyinye' tayari inaonekana ameshakutana na negative comments baada ya kushinda hiyo tuzo. Wema Sepetu ameibuka mshindi katika shindano la Ijumaa Sexiest Girls akiwabwaga Lulu, Nelly, Wolper, Jokate.
Wema ametumia...

 

10 years ago

Bongo5

Sugu na Faiza waachana, Faiza alia kwa uchungu, ‘wanaume nawasihi msiache wake zenu’

Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu ameachana na aliyekuwa mchumbake Faiza Ally. Wawili hao wana mtoto wa kike. Faiza amethibitisha kuachana na Sugu kwenye Instagram kwa kushare pia ya pamoja. “Mtoto wangu wa Faiza na Joseph ana fikisha miaka 2 kesho , nimeangalia kumbu kumbu zangu na baba yake toka mimba yake mpaka […]

 

10 years ago

Mtanzania

Mwinyi: Lowassa Mungu atakusaidia

Pg 3NA ELIYA MBONEA, MONDULI
RAIS mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, amemuomba Waziri Mkuu wa zamani ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), aendelee kusaidia wananchi kwani na yeye Mungu atamsaidia.
Mwinyi alitoa kauli hiyo wilayani hapa juzi kwenye Jubilee ya miaka 20 ya Sekondari ya Wasichana ya Maasae aliyoifungua Mei 27, mwaka 1995 ikiwa ni maalumu kwa wasichana wa jamii za wafugaji na waokota matunda.
Akizungumza katika jubilee hiyo, Rais mstaafu Mwinyi, alisema ni kawaida ya...

 

10 years ago

GPL

LOWASSA AMTIA HOFU WEMA!

MAYASA MARIWATA DU! Kazi kwelikweli! Habari ya mjini kwa sasa ni mtoto mzuri Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuwania Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), lakini nyuma yake kuna habari zinazodai kuwa mrembo huyo ameingiwa na hofu ya kukatwa jina kama ilivyotokea kwa Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliyekuwa mmoja wa watia nia ya kugombea urais, Amani lina...

 

9 years ago

GPL

WEMA ADAI LOWASSA ANGESHINDA, ANGEHAMA NCHI

Staa mwenye nyota ya kipekee Bongo, Wema Isaac Sepetu. Imelda mtema Maneno kuntu! Staa mwenye nyota ya kipekee Bongo, Wema Isaac Sepetu amefungua kinywa chake na kusema kuwa endapo Mgombea wa Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa angeshinda kuwa Rais wa Tanzania katika uchaguzi uliopita, bila hiyana yeye angehama nchi. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Wema alisema kuwa anamshukuru Mungu kuwa...

 

11 years ago

GPL

MUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA‏

Elisha Bahunde akiwa chumba # 8 ghorofa ya 6 alipolazwa tangia siku ya Jumatano Feb 19, 2014 alipoletwa Maryland kwa matibabu zaidi
Elisha Bahunde au Eric akiwa hana miguu wa mkono kama picha inavyoonyesha.…

 

10 years ago

Bongo Movies

Irene Paul Awashukia Wanaomponda Kufanana Agelina Jolie

“Insta weka picha maneno WAACHIE WAO halafu kuweni na hoja maana tofauti na hapo zikiwa shangwe au kuzomewa zote KELELE haya halafu uzuri mmoja jamani Mungu si baba yetu wote?kwa hiyo nikijichagulia DADANGU kwa mapenzi basi tafuta wako pia mchague umpende and further more UKIAMBIWA'SIO UKISEMA'kitu kimoja zaidi ya watu ku mi tofauti wasiojuana basi ashakhum si matusi IPITISHWEEEE kufananishwa kila mtu ana fulani WAKUFANANISHWA meaning kuna baadhi ya vitu wamefanana sasa ingekuwa kila kitu si...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani