Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WEMA AWAJIBU WANAOMPONDA BAADA YA KUSHINDA TUZO YA IJUMAA SEXIEST GIRL

Mrembo Wema Isaac Sepetu 'Beautiful Onyinye' akiwa na tuzo yake baada ya kuibuka Ijumaa Sexiest Girl 2013/14 ndani ya Dar Live. Tangu akabidhiwe tuzo yake ya Ijumaa sexiest girl, Mrembo Wema Isaac Sepetu 'Beautiful Onyinye' tayari inaonekana ameshakutana na negative comments baada ya kushinda hiyo tuzo. Wema Sepetu ameibuka mshindi katika shindano la Ijumaa Sexiest Girls akiwabwaga Lulu, Nelly, Wolper, Jokate.
Wema ametumia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WEMA SEPETU ASHINDA TUZO YA IJUMAA SEXIEST GIRL, WEUSI, WANAUME FAMILY WAFUNIKA SHOO YA PASAKA DAR LIVE

Mrembo Wema Isaac Sepetu 'Beautiful Onyinye' akiwa na tuzo yake baada ya kuibuka Ijumaa Sexiest Girl 2013/14 ndani ya Dar Live usiku wa kuamkia leo. Wema akiwashukuru mashabiki wake waliompigia kura na hatimaye kuibuka mshindi.…

 

11 years ago

GPL

WEMA SEPETU NDIYE IJUMAA SEXIEST GIRL

STAA wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ameibuka mshindi katika shindano la Ijumaa Sexiest Girls akiwabwaga Elizabeth Michael ‘Lulu’, Nelly Kamwelu, Jacqueline Wolper na Jokate Mwegelo usiku huu ndani ya Dar Live. Shindano hilo lilikuwa linaendeshwa kupitia Gazeti Pendwa la Ijumaa linalochapishwa na kampuni ya Global Publishers… ...

 

11 years ago

GPL

WEMA SEPETU ALIVYOIBUKIA KIDEDEA IJUMAA SEXIEST GIRL 2013/14

Staa wa filamu za Kibongo ambaye ni Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu alivyojinyakulia tuzo ya Ijumaa Sexiest Girl 2013/2014 na kuwabwaga wenzake. Tuzo hiyo ilitolewa katika Ukumbi wa Dar Live ulipo Mbagala, Zakhem jijini Dar es Salaam Sikukuu ya Pasaka Aprili 20,…

 

11 years ago

GPL

IJUMAA SEXIEST GIRL AHSANTENI SANA!

Mhariri wa gazeti la Ijumaa, Amran Kaima (kushoto) akimkabidhi Wema kitita chake. Anaeshuhudia ni mratibu wa matukio Global, Luquman Maloto. Kile kinyang’anyiro cha kumsaka mrembo wa gazeti hili kilichopewa jina la Ijumaa Sexiest Girl 2013/14, kimefikia tamati ambapo mwanadafada Wema Isaac Sepetu, amewafunika mbaya washiriki wengine na kunyakua taji hilo sambamba na kitita cha shilingi milioni moja. Wema alitangazwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Picha sita za Ijumaa Sexiest Girl 2015

KIDOA (2)176Video Queen anayefanya pia filamu, Asha Salum ‘Kidoa’ akiwa katika mapozi tofauti na ameibuka mshindi wa tuzo ya Ijumaa Sexiest Girl 2015 na kuwafunika Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Vanessa Mdee ‘Vee ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar hivi karibuni.

KIDOA (3) KIDOA (4) KIDOA (5) KIDOA (6)…Akiwa katika ubora wake.

BONYEZA LINK HAPA CHINI KUJIONEA

Kidoa aibuka kidedea Ijumaa Sexiest Girl 2015

 

9 years ago

Global Publishers

Kidoa aibuka mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015

IMG_1250

Asha Salum ‘Kidoa’ (katikati) akiwasalimia mashabiki baada ya kutangazwa mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015 usiku huu Dar Live.

IMG_1260Akikabidhiwa Tuzo na Cheti chake na Mhariri wa Gazeti la Ijumaa, Amrani Kaima (kulia).

 

9 years ago

Dewji Blog

Kidoa aibuka kidedea Ijumaa Sexiest Girl 2015

IMG_1255 Video Queen anayefanya pia filamu, Asha Salum ‘Kidoa’ akiwa na tuzo yake ya Ijumaa Sexiest Girl 2015 baada ya kuwafunika Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Vanessa Mdee ‘Vee ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar.IMG_1250 Kidoa (katikati) akiwasalimia mashabiki baada ya kutangazwa mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015.IMG_1252…Akilia kwa furaha.IMG_7945Kidoa akikabidhiwa tuzo na Mkurugenzi wa Hamadombe Distributor, Fatuma Makame.IMG_1232rt…Akibusu tuzo. IMG_1260Akiwa katika picha ya pamoja na mratibu...

 

9 years ago

Global Publishers

Joanita aipeleka Ijumaa Sexiest Girl, Dar Live

Joanitacut561Fatuma Makame ‘Joanita’.

ANDREW CARLOS
dhamini wa Shindano la Ijumaa Sexiest Girl 2015, Fatuma Makame ‘Joanita’ ambaye ni Mkurugenzi wa Hamadombe Distributor, kampuni inayodili na uandaaji na usambazaji wa filamu Bongo amependekeza mshindi akatangazwe ndani ya Ukumbi wa Dar Live siku ya Krismasi na hivyo ndivyo itakavyokuwa.

Washiriki walioingia tatu bora ni Vanessa Mdee ‘Vee Money’, Asha Salum ‘Kidoa’ na Elizaberth Michael ‘Lulu’ hivyo mshindi atakuwa miongoni mwao.

Tukio hilo litakwenda...

 

9 years ago

Global Publishers

Ijumaa Sexiest Girl 2015… Nani mshindi kesho?

ikmmmVanessa Mdee ‘Vee Money’

Hapa Vee Money, pale Lulu na kule Kidoa!

IMELDA MTEMA

HATIMAYE lile shindano la mwanamke mwenye mvuto (The Ijumaa Sexiest Girl 2015) linatarajiwa kufika kileleni kesho katika Sikukuu ya Krismasi ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar, unavyodhani nani ataibuka mshindi kati ya Vanessa Mdee ‘Vee Money’ Asha Salum ‘Kidoa’ au Elizabeth Michael ‘Lulu’?

luluElizabeth Michael ‘Lulu’.

Jibu rahisi, unachotakiwa ni kuhudhuria katika shoo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani