Ijumaa Sexiest Girl 2015… Nani mshindi kesho?
Vanessa Mdee ‘Vee Money’
Hapa Vee Money, pale Lulu na kule Kidoa!
IMELDA MTEMA
HATIMAYE lile shindano la mwanamke mwenye mvuto (The Ijumaa Sexiest Girl 2015) linatarajiwa kufika kileleni kesho katika Sikukuu ya Krismasi ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar, unavyodhani nani ataibuka mshindi kati ya Vanessa Mdee ‘Vee Money’ Asha Salum ‘Kidoa’ au Elizabeth Michael ‘Lulu’?
Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Jibu rahisi, unachotakiwa ni kuhudhuria katika shoo ya...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Kidoa aibuka mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015
Asha Salum ‘Kidoa’ (katikati) akiwasalimia mashabiki baada ya kutangazwa mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015 usiku huu Dar Live.
Akikabidhiwa Tuzo na Cheti chake na Mhariri wa Gazeti la Ijumaa, Amrani Kaima (kulia).
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qiniBRi9G0-lNSZAs37oT2FdBiq0Ae3H30y*ksm5RThPja0DdM7STbqeebqoFqSBTKC6uzmepL-T76-N6M4EuIf/wemacopy.jpg?width=650)
IJUMAA SEXIEST GIRL AHSANTENI SANA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2NrG6ClGsFO5dFKq9yqpPDpEHr-hW8Z6Z304RzFtgrBfKboH81iA3lTRwjZ9mUS77yCt*gL9WB1RnxGphNbz*CS/BREAKINGNEWS.gif)
WEMA SEPETU NDIYE IJUMAA SEXIEST GIRL
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Picha sita za Ijumaa Sexiest Girl 2015
Video Queen anayefanya pia filamu, Asha Salum ‘Kidoa’ akiwa katika mapozi tofauti na ameibuka mshindi wa tuzo ya Ijumaa Sexiest Girl 2015 na kuwafunika Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Vanessa Mdee ‘Vee ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar hivi karibuni.
…Akiwa katika ubora wake.
BONYEZA LINK HAPA CHINI KUJIONEA
Kidoa aibuka kidedea Ijumaa Sexiest Girl 2015
9 years ago
Dewji Blog27 Dec
Kidoa aibuka kidedea Ijumaa Sexiest Girl 2015
Video Queen anayefanya pia filamu, Asha Salum ‘Kidoa’ akiwa na tuzo yake ya Ijumaa Sexiest Girl 2015 baada ya kuwafunika Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Vanessa Mdee ‘Vee ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar.
Kidoa (katikati) akiwasalimia mashabiki baada ya kutangazwa mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015.
…Akilia kwa furaha.
Kidoa akikabidhiwa tuzo na Mkurugenzi wa Hamadombe Distributor, Fatuma Makame.
…Akibusu tuzo.
Akiwa katika picha ya pamoja na mratibu...
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Joanita aipeleka Ijumaa Sexiest Girl, Dar Live
Fatuma Makame ‘Joanita’.
ANDREW CARLOS
dhamini wa Shindano la Ijumaa Sexiest Girl 2015, Fatuma Makame ‘Joanita’ ambaye ni Mkurugenzi wa Hamadombe Distributor, kampuni inayodili na uandaaji na usambazaji wa filamu Bongo amependekeza mshindi akatangazwe ndani ya Ukumbi wa Dar Live siku ya Krismasi na hivyo ndivyo itakavyokuwa.
Washiriki walioingia tatu bora ni Vanessa Mdee ‘Vee Money’, Asha Salum ‘Kidoa’ na Elizaberth Michael ‘Lulu’ hivyo mshindi atakuwa miongoni mwao.
Tukio hilo litakwenda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
WEMA SEPETU ALIVYOIBUKIA KIDEDEA IJUMAA SEXIEST GIRL 2013/14
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Kidoa akibidhiwa kitita chake cha Ijumaa Sexiest Girl 2015
Mkurugenzi wa Hamandobe Distributor, Joanita akimkabidhi kitita cha Sh. laki tano mshindi, Kidoa.
Kidoa akikabidhiwa kitita mbele ya Amran Kaima.
Mhariri wa GAzeti la Ijumaa na muandaaji mkuu wa shindano la Ijumaa Sexiest Girl 2015, Amran Kaima akimpa cheti, Kidoa.
Mhariri wa GAzeti la Ijumaa, Amran KAima (kushoto) akimkabidhi cheti, Kidoa.
Kidoa akiwa ameshikilia cheti chake baada ya kuzawadiwa.
Kidoa katika mapozi tofauti.
Mkurugenzi wa hamandobe, Joanita akiwa katika pozi.
Kidoa...
9 years ago
Michuzi26 Dec
Asha Salum ‘Kidoa’ ashinda Shindano la Ijumaa Sexiest Girl 2015
![IMG_1255](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/IMG_12551.jpg)
Fainali ya lile Shindano la Ijumaa Sexiest Girl 2015 ilifanyika jana ambapo Video Queen anayefanya pia filamu, Asha Salum ‘Kidoa’ aliibuka kidedea. Kidoa alitangazwa mshindi kufuatia kupigiwa kura nyingi na wasomaji wa Gazeti la Ijumaa hivyo...