Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kasi ya Msuva, Coutinho yamtia presha Okwi

Mchezaji wa Yanga, Simon Msuva. Na Sweetbert Lukonge
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, hivi sasa ni mwenye mawazo mengi kila anapofikiria kasi ya wachezaji wawili  wa Yanga, Andrey Coutinho na Simon Msuva kabla ya timu hizo mbili kuonyeshana ubabe Oktoba 18, mwaka huu. Okwi amekumbwa na hali hiyo kutokana na kukosa imani na safu ya ulinzi ya timu yake ambayo imeonyesha kutokuwa imara katika mechi zake za...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tambwe amtia presha Msuva

Dar es Salaam. Ni dhahiri sasa mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe amemkaba kooni kiasi cha kumtia presha mwenzake, Simon Msuva katika vita ya kuwania tuzo ya ufungaji bora msimu huu.

 

10 years ago

GPL

Coutinho amhamishia Msuva Brazil

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho. Na Wilbert Molandi
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho, amevutiwa na kiwango kikubwa cha winga machachari, Simon Msuva akatamka kwamba staa huyo anastahili kucheza soka la kulipwa nchi kama Brazil alikotokea yeye. Msuva, katika kikosi cha Marcio Maximo, ameonekana kuwa mchezaji anayetoa mchango mkubwa katika mechi ambazo amecheza akitokea benchi au...

 

10 years ago

GPL

COUTINHO, TEGETE WAIPA PRESHA YANGA IKIIVAA AZAM

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho. Na Wilbert Molandi DAKTARI wa Klabu ya Yanga, Juma Sufiani, ametamka kuwa hatma ya kiungo wao mshambuliaji, Andrey Coutinho kuwavaa wapinzani wao, Azam FC, inatarajiwa kujulikana leo Ijumaa jioni. Timu hizo zinatarajiwa kujitupa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi ya Ngao ya Jamii, keshokutwa Jumapili, ambapo kiungo huyo raia wa Brazil ni majeruhi kama ilivyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Prisons wawapania Okwi, Msuva

Kocha wa Prisons, David Mwamaja amewapa kazi maalumu mabeki wake ya kuhakikisha mawinga wa Yan

 

10 years ago

BBCSwahili

Instagram yamtia matatani Balotelli

Shirikisho la soka FA linachunguza ujumbe wa Instagram wa mshambuliaji wa Liverpool Mario Balotell unaodaiwa kuwa ni wa kibaguzi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maoni ya facebook yamtia mashakani

Mahakama ya Singapore imemuhukumu muuguzi mmoja kutoka nchini Ufilipino kifungo cha miezi minne kwa kuchapisha maoni ya uchochezi kuhusu taifa hilo.

 

9 years ago

Bongo Movies

Wolper Ndoa Yamtia ‘Uchizi’

CHIZIKA! Wakati hekeheka za maandalizi zikipamba juu ya ndoa ya karne ya staa wa sinema za Kibongo, Wolper, mwanadada huyo anaonekana kuingiwa na ‘uchizi’ juu ya suala hilo ambapo muda wote anawaza ni kwa namna gani ataweza kuweka historia juu ya shughuli yake. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, hivi karibuni ndani ya Ukumbi wa Jozi

Village, jijini Dar, Wolper alisema: “akili haijakaa sawa kabisa, nawaza juu ya ndoa yangu ambayo muda si mrefu itatimia, silali, sili na sipumui vizuri, kila kitu...

 

10 years ago

Mwananchi

Rushwa barabarani yamtia kichefuchefu JK

Rais Jakaya Kikwete amekiagiza Kikosi cha Usalama Barabarani kufanya mabadiliko ya teknolojia katika utendaji wake ili kuondoa mianya ya rushwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

'Selfie' yamtia matatani Miss Lebanon

Picha ya 'selfie' ya mrembo wa Lebanon akiwa karibu na mwenzake wa Israel kwenye mitandao ya kijamii mambo imewakera wengi Lebanon

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani