Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coutinho amhamishia Msuva Brazil

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho. Na Wilbert Molandi
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho, amevutiwa na kiwango kikubwa cha winga machachari, Simon Msuva akatamka kwamba staa huyo anastahili kucheza soka la kulipwa nchi kama Brazil alikotokea yeye. Msuva, katika kikosi cha Marcio Maximo, ameonekana kuwa mchezaji anayetoa mchango mkubwa katika mechi ambazo amecheza akitokea benchi au...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Kasi ya Msuva, Coutinho yamtia presha Okwi

Mchezaji wa Yanga, Simon Msuva. Na Sweetbert Lukonge
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, hivi sasa ni mwenye mawazo mengi kila anapofikiria kasi ya wachezaji wawili  wa Yanga, Andrey Coutinho na Simon Msuva kabla ya timu hizo mbili kuonyeshana ubabe Oktoba 18, mwaka huu. Okwi amekumbwa na hali hiyo kutokana na kukosa imani na safu ya ulinzi ya timu yake ambayo imeonyesha kutokuwa imara katika mechi zake za...

 

10 years ago

Vijimambo

MCHEZA WA YANGA KUTOKA BRAZIL ANDREY FERREIRA COUTINHO PLUIJM AMPIGIA SALUTI


pluijm ampigia saluti CoutinhoKocha mkuu wa Yanga. Hans van Der Pluijm.
Na Khadija MngwaiBAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kufanikiwa kufumania nyavu mara mbili katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Polisi Zanzibar, kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amefunguka kuwa kiwango cha mchezaji huyo kipo juu kwa sasa.
Pluijm alianza kwa kumuweka benchi kiungo huyo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam, lakini michuano ya Kombe la Mapinduzi...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Rio awatabiria akina Pogba kung’ara Brazil

Ferdinand, ambaye amestaafu kuchezea timu ya taifa, atakuwa mmoja wa wachambuzi wa michuano hiyo ya mwaka huu inayoanza wiki hii.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Brazil face Chile as Suarez-less Uruguay confront Colombia

>From 32, it’s down to the last 16. Here there are no second chances. It is win or bust.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva

>Brazil imekata rufaa juu ya adhabu ya kukosa mchezo mmoja kwa nahodha wake, Thiago Silva mwenye kadi mbili za njano, ambazo zinamaanisha atalazimika kukosa mchezo wa leo dhidi ya Ujerumani.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: PIGO LA KARNE: Majonzi, vilio kila kona Brazil

>Vilio, majonzi vilitawala kila ni kona ya Brazil baada ya kupokea kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 7-1kutoka kwa Ujerumani katika nusu fainali ya kwanzajana kwenye Uwanja wa Mineirao.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Gustavo pigo kwa Brazil dhidi ya Colombia leo

Licha ya kuwa Neymar ndiye mchezaji anayetajwa zaidi na kuonekana msaada mkubwa katika kikosi cha Brazil, pia uwepo wa Oscar, Thiago Silva na David Luiz unaonekana kuwa muhimu uwanjani.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Neymar, Oscar waipamba Brazil mechi ya ufunguzi

Mabao mawili ya Neymar na moja la Oscar yametosha kuwapa wenyeji wa Kombe la Dunia, Brazil ushindi mnono wa 3-1 dhidi ya Croatia, katika mchezo wa kufungua wa mashindano hayo jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani