INAFRIKA BAND KUTOKA DAR WATINGISHA JIJI LA BREMEN,UJERUMANI, TANZANIAN FOLK MUSIC MADE IN BONGO TO THE WORLD YAKUBALIKA KIMATAIFA!
![](http://4.bp.blogspot.com/-FnIUbRx9His/VOBNkLiaYyI/AAAAAAAHDyQ/LMF-LGQGrxA/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Bendi ya muziki INAFRIKA BAND aka "Wazee wa Indege" kutoka jiji Dar es salaam, imelitingisha jiji la Bremen, nchini Ujerumani katika onyesho liliofanyika usiku wa 13 Februari 2015 katika ukumbi mkubwa wa Musik-Theater mjini humo. Bendi hiyo kutoka Chang'ombe ilisimama jukwaani na kuziteka nyoyo za maelfu ya wapenzi wa muziki kiasi cha kutajwa kuwa bendi bora ya muziki wa Folk na radio Funkhaus-Europe kutokana na vionjo vya mitindo ya muziki wa asili wa makabila ya Kitanzania vilivyotumiwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLINAFRIKA BAND KUTOKA DAR WATINGISHA JIJI LA BREMEN,UJERUMANI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YGKOwdLROJA/VWymI25YWqI/AAAAAAADpyg/2H_hpBjSe2A/s72-c/Kikosi%2Bkazi%2BNgoma%2BAfrica%2Bband%2Bwakiwajibika%2Bughaibuni.jpg)
NGOMA AFRICA BAND AKA FFU WALIFUNIKA JIJI LA BREMEN,UJERUMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YGKOwdLROJA/VWymI25YWqI/AAAAAAADpyg/2H_hpBjSe2A/s640/Kikosi%2Bkazi%2BNgoma%2BAfrica%2Bband%2Bwakiwajibika%2Bughaibuni.jpg)
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni wanazidi kudatisha ughaibuni !
Katika onyesho lao ndani ya hekalu la Uebersee Museum mjini Bremen,ujerumani usiku wa jumamosi 30 Mei 2015 bendi imeonyesha kwa kiasi kikubwa kuwa inakubalika katika hadi katika mahekalu ya kutisha,Kikosi kazi hiko maarufu kwa muziki wa dansi barani ulaya
kinachoongozwa na mwanamuziki kamanda Ras Makunja,kikiwa
na wanamuziki waliojaa vipaji akiwemo yule mcharaza...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9MkFJ-V5VVM/U5kL7B5OnYI/AAAAAAAFp5E/0CB0cNxyzEs/s72-c/unnamed+(94).jpg)
Ngoma Africa Band watingisha mji wa Dortmund,Ujerumani
![](http://3.bp.blogspot.com/-9MkFJ-V5VVM/U5kL7B5OnYI/AAAAAAAFp5E/0CB0cNxyzEs/s1600/unnamed+(94).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yu2oHodFNwM/U5kL7caYdnI/AAAAAAAFp5Y/kaI6BhQq92E/s1600/unnamed+(95).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E6CCUfN1pbY/U5kL7WfK49I/AAAAAAAFp5I/UBtMFAiC2m0/s1600/unnamed+(96).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-uLRQvAmGvJQ/VWPeV2ywMYI/AAAAAAADor0/tlIJ2NAKgSc/s72-c/Afande%2BChris-B%2BSoloist%2Bwa%2BNgoma%2BAfrica%2Bna%2Bmtutu%2Bwake.jpg)
NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA MJINI BREMEN,UJERUMANI JUMAMOSI 30 MAY 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-uLRQvAmGvJQ/VWPeV2ywMYI/AAAAAAADor0/tlIJ2NAKgSc/s640/Afande%2BChris-B%2BSoloist%2Bwa%2BNgoma%2BAfrica%2Bna%2Bmtutu%2Bwake.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IyR2GMnibkk/Vj0Sd-YZSoI/AAAAAAAIEwo/J6j0_Dkl-pQ/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
JUMAMOSI 7 NOV 2015 ! NGOMA AFRICA BAND JUKWAANI MJINI BREMEN.UJERUMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-IyR2GMnibkk/Vj0Sd-YZSoI/AAAAAAAIEwo/J6j0_Dkl-pQ/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
9 years ago
MichuziNGOMA AFRICA BAND JUKWAANI MJINI BREMEN,UJERUMANI JUMAMOSI 7 NOV 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-sXWAVs8hq88/VjoC3Vvkh3I/AAAAAAAIEHI/Cy5PdB9ynf4/s640/Ngoma%2BAfrica%2BBand%2Bin%2BGermany.jpg)
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-ughaibuni yenye makao nchini Ujerumani ,itatumbuiza mjini Bremen,Ujerumani.
siku ya jumamosi 7 November 2015,katika ukumbi wa Weserterrasse, uliopomtaa wa Osterdeich 70b, D- 28205 Bremen kuanzia saa usiku, onyesho hilo limeandaliwa na Pan-African Org tawi la Bremen ambalo linasherekea miaka 10 ya kuanziswa kwake.
Bendi ya Ngoma Africa band kwa sasa wanatamba na CD yao mpya La Mgambo na pia song lao jipya waliloliachia juzi...
10 years ago
VijimamboINAFRIKA BAND WATUA DAR KUTOKEA KATIKA ZIARA NDEFU YA ULAYA
Bendi maarufu Inafrika band aka "Wazee wa Indege" wamewasili nchini leo wakitokea katika ziara ndefu barani ulaya,bendi hiyo maarufu katikaa mitindo yake ya muziki uliochanganyika na vionjo vya makabila ya Tanzania, ilikuwa kaatika ziara ya miezi mitatu ulaya.
msikose kuwasikiliza Inafrika Band (Wazee wa Indege) at http://www.inafrikaband.co.tz pia wape hi at info@inafrikaband.co.tz
10 years ago
Dewji Blog16 Jan
Skylight Band wazidi kulitikisa jiji la Dar wasajili vifaa vipya akiwemo John Music
Kifaa kipya ndani ya Skylight Band John Music akiimba kwa hisia kaliii huku akipewa sapoti na Wenzake wa kwanza kushoto ni Baby na wa pili kutoka kushoto ni Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 na kulia ni Jessie
Wanaume wa shoka wa Skylight Band kutoka kushoto ni Joniko Flower, Sony Masamba na Sam Mapenzi wakionyesha...
10 years ago
GPLSKYLIGHT BAND WAZIDI KULITIKISA JIJI LA DAR WASAJILI VIFAA VIPYA AKIWEMO JOHN MUSIC