INAFRIKA BAND KUTOKA DAR WATINGISHA JIJI LA BREMEN,UJERUMANI
Inafrika Band aka Wazee wa Indege wakifunika bila ya huruma mjini Bremen,Ujerumani. Inafrika Band wakifanya kweli bremen,Ujerumani.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FnIUbRx9His/VOBNkLiaYyI/AAAAAAAHDyQ/LMF-LGQGrxA/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
INAFRIKA BAND KUTOKA DAR WATINGISHA JIJI LA BREMEN,UJERUMANI, TANZANIAN FOLK MUSIC MADE IN BONGO TO THE WORLD YAKUBALIKA KIMATAIFA!
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YGKOwdLROJA/VWymI25YWqI/AAAAAAADpyg/2H_hpBjSe2A/s72-c/Kikosi%2Bkazi%2BNgoma%2BAfrica%2Bband%2Bwakiwajibika%2Bughaibuni.jpg)
NGOMA AFRICA BAND AKA FFU WALIFUNIKA JIJI LA BREMEN,UJERUMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YGKOwdLROJA/VWymI25YWqI/AAAAAAADpyg/2H_hpBjSe2A/s640/Kikosi%2Bkazi%2BNgoma%2BAfrica%2Bband%2Bwakiwajibika%2Bughaibuni.jpg)
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni wanazidi kudatisha ughaibuni !
Katika onyesho lao ndani ya hekalu la Uebersee Museum mjini Bremen,ujerumani usiku wa jumamosi 30 Mei 2015 bendi imeonyesha kwa kiasi kikubwa kuwa inakubalika katika hadi katika mahekalu ya kutisha,Kikosi kazi hiko maarufu kwa muziki wa dansi barani ulaya
kinachoongozwa na mwanamuziki kamanda Ras Makunja,kikiwa
na wanamuziki waliojaa vipaji akiwemo yule mcharaza...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9MkFJ-V5VVM/U5kL7B5OnYI/AAAAAAAFp5E/0CB0cNxyzEs/s72-c/unnamed+(94).jpg)
Ngoma Africa Band watingisha mji wa Dortmund,Ujerumani
![](http://3.bp.blogspot.com/-9MkFJ-V5VVM/U5kL7B5OnYI/AAAAAAAFp5E/0CB0cNxyzEs/s1600/unnamed+(94).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yu2oHodFNwM/U5kL7caYdnI/AAAAAAAFp5Y/kaI6BhQq92E/s1600/unnamed+(95).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E6CCUfN1pbY/U5kL7WfK49I/AAAAAAAFp5I/UBtMFAiC2m0/s1600/unnamed+(96).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-uLRQvAmGvJQ/VWPeV2ywMYI/AAAAAAADor0/tlIJ2NAKgSc/s72-c/Afande%2BChris-B%2BSoloist%2Bwa%2BNgoma%2BAfrica%2Bna%2Bmtutu%2Bwake.jpg)
NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA MJINI BREMEN,UJERUMANI JUMAMOSI 30 MAY 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-uLRQvAmGvJQ/VWPeV2ywMYI/AAAAAAADor0/tlIJ2NAKgSc/s640/Afande%2BChris-B%2BSoloist%2Bwa%2BNgoma%2BAfrica%2Bna%2Bmtutu%2Bwake.jpg)
9 years ago
MichuziNGOMA AFRICA BAND JUKWAANI MJINI BREMEN,UJERUMANI JUMAMOSI 7 NOV 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-sXWAVs8hq88/VjoC3Vvkh3I/AAAAAAAIEHI/Cy5PdB9ynf4/s640/Ngoma%2BAfrica%2BBand%2Bin%2BGermany.jpg)
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-ughaibuni yenye makao nchini Ujerumani ,itatumbuiza mjini Bremen,Ujerumani.
siku ya jumamosi 7 November 2015,katika ukumbi wa Weserterrasse, uliopomtaa wa Osterdeich 70b, D- 28205 Bremen kuanzia saa usiku, onyesho hilo limeandaliwa na Pan-African Org tawi la Bremen ambalo linasherekea miaka 10 ya kuanziswa kwake.
Bendi ya Ngoma Africa band kwa sasa wanatamba na CD yao mpya La Mgambo na pia song lao jipya waliloliachia juzi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IyR2GMnibkk/Vj0Sd-YZSoI/AAAAAAAIEwo/J6j0_Dkl-pQ/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
JUMAMOSI 7 NOV 2015 ! NGOMA AFRICA BAND JUKWAANI MJINI BREMEN.UJERUMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-IyR2GMnibkk/Vj0Sd-YZSoI/AAAAAAAIEwo/J6j0_Dkl-pQ/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboINAFRIKA BAND WATUA DAR KUTOKEA KATIKA ZIARA NDEFU YA ULAYA
Bendi maarufu Inafrika band aka "Wazee wa Indege" wamewasili nchini leo wakitokea katika ziara ndefu barani ulaya,bendi hiyo maarufu katikaa mitindo yake ya muziki uliochanganyika na vionjo vya makabila ya Tanzania, ilikuwa kaatika ziara ya miezi mitatu ulaya.
msikose kuwasikiliza Inafrika Band (Wazee wa Indege) at http://www.inafrikaband.co.tz pia wape hi at info@inafrikaband.co.tz
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Skylight Band na Bodaboda Band ya Kidumu yatikisa jiji la Dar Escape One
Skylight Band wakikamua jukwaani..Kutoka kushoto ni Joniko Flower, Aneth Kushaba AK47, Sony Masamba na Sam Mapenzi kwenye show maalum ya uzinduzi wa Video yao mpya ya “Kariakoo” uliosoindikizwa na Bodaboda Band ya msanii Kidumu kutoka jijini Nairobi uliofanyika kwenye kiota cha Escape One.
Mrembo Neema Mbuya alikuwepo kuwahudumia wageni 100 wa kwanza na Tequila shots.
wageni wakihudumiwa Tequila shots!
Divas wa Skylight Band wakiongozwa na Aneth Kushaba AK47 kutoa burudani kwa...
10 years ago
Vijimambo11 Jun
WIMBO WA KUMUAGA JK KUTOKA UJERUMANI KWA NGOMA AFRKA BAND