Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WIMBO WA KUMUAGA JK KUTOKA UJERUMANI KWA NGOMA AFRKA BAND

NYIMBO ZA KUMUAGA RAIS JAKAYA KIKWETE HEWANI ! SI WENGINE NI NGOMA AFRICA BAND AKA FFU -Ughaibuni yenye maskani kule ujerumani  Mtunzi:Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja Waimbaji: Kamanda Ras Makunja Afande Chris-B ambaye pia ni mpiga solo gitaa Bendi: Ngoma Africa band aka FFU wasiliana nao at ngoma4U@gmail.com

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WIMBO WA KUMUAGA JK KUTOKA UJERUMANI KWA NGOMA AFRKA BAND‏


NYIMBO ZA KUMUAGA RAIS JAKAYA KIKWETE HEWANI ! SI WENGINE NI NGOMA AFRICA BAND AKA FFU -Ughaibuni
yenye maskani kule ujerumani
Mtunzi:Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja
Waimbaji: Kamanda Ras Makunja
Afande Chris-B ambaye pia ni mpiga solo gitaa
Bendi:
Ngoma Africa band aka FFU
wasiliana nao at ngoma4U@gmail.com…

 

10 years ago

Michuzi

HERI YA MIAKA 51 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KUTOKA NGOMA AFRICA BAND, UJERUMANI

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni yenye makao yake nchi ujerumani,inawatakia kila heri na fanaka wadau wote katika kuadhimisha miaka 51 ya mapinduzi ya Zanzibar,mapinduzi yaliyofanyika 12 Januari 1964 ambayo  yaliwakomboa Wanzibari  kutoka katika makucha ya Sultan,Mapinduzi yaliyomng'oa Sultan hadi kusahau kilemba kitandani.Tunawapongeza Wanzabari katika kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu. Amani,Upendo ,Umoja na mshikamano ndio msingi...

 

11 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND AKA FFU-UGHAIBUNI JINO KWA JINO NA WASHABIKI WA TUBINGEN, UJERUMANI MWISHO MWA WIKI HII !

Tubingen,Ujerumani,Washabiki na wadau wa muziki nchini Ujerumani wanatarajia kujimwaga katika maonyesho ya 5th International African Festival Tubingen 2014, Ujerumani, yanayoanza wiki hii 17 Julai, 2014 hadi 20 Julai, 2014ambako bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band inatarajiwa kutumbuiza Usiku wa jumamosi katika maonyesho hayo.Bendi hiyo  inayoongozwa na kamanda Ras Makunja, kama ujuavyo ni yenye mazoea ya kuwatia kiwewe washabiki kila wanapotumbuiza.

 

11 years ago

Michuzi

Ngoma Africa Band watingisha mji wa Dortmund,Ujerumani

 Si wengine bali ni bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU ukipenda waite viumbe wa ajabu "Anunnaki alien" au watoto wa mbwa, ambao walifanikiwa kutingisha jukwaa tena siku ya jumamosi 7 Juni 2014 mjini Dortmund,Ujerumani.katika onyesho la Challenge Festival liloandaliwa na umoja wa Wakameruni nchini Ujerumani. Wasikilize FFU Ughaibuni at www.ngoma-africa.com  Kamanda Ras Makunja akiongoza mashambulizi  Hapo ni supu ya mawe kwa kwenda mbele. Kamanda awapo...

 

11 years ago

GPL

NGOMA AFRICA BAND WAMEUTINGISHA MJI WA DORTMUND,UJERUMANI

FFU wa Ngoma Africa Band wakiwa jukwaani , Dortmund. Hali halisi katika show ya Ngoma Africa band,Dortmund.…

 

9 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA VECHELDE FESTIVAL, UJERUMANI, LEO

 Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni ukipenda waiite viumbe wa ajabu Anunnaki Alien's yenye makao kule Ujerumani inatarajiwa kutingisha jukwaa katika maonyesho ya Vechelde Festival nchini Ujerumani leo kuanzia saa 2:00 Usiku katika eneo la Bürgerzentrum Vechelde liliopo mtaa wa Hildesheimer Straße 5 mjini Vechelde jirani mji wa BraunschweigBendi hiyo maarufu Ngoma Africa yenye sifa za kuwatia kiwewe washabiki wa muzikikatika maonyesho ya...

 

10 years ago

Michuzi

introducing La Mgambo:by Ngoma Afrika band ya Ujerumani "JK anamaliza kazi"

NYIMBO ZA KUMUAGA RAIS JAKAYA KIKWETE HEWANI ! SI WENGINE NI NGOMA AFRICA BAND AKA FFU -Ughaibuni yenye maskani kule ujerumani  Mtunzi:Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja Waimbaji: Kamanda Ras Makunja Afande Chris-B ambaye pia ni mpiga solo gitaa Bendi: Ngoma Africa band aka FFU wasiliana nao at ngoma4U@gmail.com

 

11 years ago

Michuzi

FFU wa Ngoma Africa Band wawatia wazimu washabiki Tubingen,Ujerumani

Tubingen,Ujerumani,Ilikuwa usiku  jumamosi  19.Julai 2014 bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya "Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni " imefanikiwa tena kuwatia wazimu malefu ya washabiki katika maonyesho makubwa ya International African Festival 2014 mjini Tubingen,Ujerumani. 
Bendi hiyo iliyobatizwa majina mengi ya utani na washabiki wake  imejikuta inaongeza idadi ya maelfu ya washabiki katika maonyesho yake.
Katika hali isiyo ya kawaida usiku wa jumamosi 19 Julai 2014 Ngoma Africa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani