Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WIMBO WA KUMUAGA JK KUTOKA UJERUMANI KWA NGOMA AFRKA BAND‏


NYIMBO ZA KUMUAGA RAIS JAKAYA KIKWETE HEWANI ! SI WENGINE NI NGOMA AFRICA BAND AKA FFU -Ughaibuni
yenye maskani kule ujerumani
Mtunzi:Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja
Waimbaji: Kamanda Ras Makunja
Afande Chris-B ambaye pia ni mpiga solo gitaa
Bendi:
Ngoma Africa band aka FFU
wasiliana nao at ngoma4U@gmail.com…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WIMBO WA KUMUAGA JK KUTOKA UJERUMANI KWA NGOMA AFRKA BAND

NYIMBO ZA KUMUAGA RAIS JAKAYA KIKWETE HEWANI ! SI WENGINE NI NGOMA AFRICA BAND AKA FFU -Ughaibuni yenye maskani kule ujerumani  Mtunzi:Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja Waimbaji: Kamanda Ras Makunja Afande Chris-B ambaye pia ni mpiga solo gitaa Bendi: Ngoma Africa band aka FFU wasiliana nao at ngoma4U@gmail.com

 

10 years ago

Michuzi

HERI YA MIAKA 51 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KUTOKA NGOMA AFRICA BAND, UJERUMANI

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni yenye makao yake nchi ujerumani,inawatakia kila heri na fanaka wadau wote katika kuadhimisha miaka 51 ya mapinduzi ya Zanzibar,mapinduzi yaliyofanyika 12 Januari 1964 ambayo  yaliwakomboa Wanzibari  kutoka katika makucha ya Sultan,Mapinduzi yaliyomng'oa Sultan hadi kusahau kilemba kitandani.Tunawapongeza Wanzabari katika kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu. Amani,Upendo ,Umoja na mshikamano ndio msingi...

 

11 years ago

GPL

SALAM ZA MEI MOSI KUTOKA NGOMA AFRICA BAND‏

BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya "Ngoma Africa Band" a.k.a FFU-Ughaibuni, yenye makao yake kule Ujerumani inatoa salamu maalum za Siku ya Wafanyakazi Duniani "MEI MOSI" a.k.a May Day. Ngoma Africa Band itawatakia kila la heri wadau wote duniani katika kusherehekea Sikukuu ya Mei Mosi hapo kesho!

 

11 years ago

GPL

MEET THE NGOMA AFRICA BAND, THE POPULAR AND MOST WANTED BAND BASED IN GERMANY‏

Ebrahim Makunja a.k.a - Kamanda Ras Makunja. Meet The NGOMA  AFRICA BAND, the popular and most wanted band based in Germany.
Soulful Vocals, Hypnotic Guitars and the driving Extraordinary rhythm of the "Bongo Dance" from East Africa. NGOMA AFRICA BAND 2014. The NGOMA AFRICA BAND; known as the (Golden Voice of East Africa) or "FFU- Field Force Unit"  is one of the few amongst African Bands in… ...

 

11 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND AKA FFU-UGHAIBUNI JINO KWA JINO NA WASHABIKI WA TUBINGEN, UJERUMANI MWISHO MWA WIKI HII !

Tubingen,Ujerumani,Washabiki na wadau wa muziki nchini Ujerumani wanatarajia kujimwaga katika maonyesho ya 5th International African Festival Tubingen 2014, Ujerumani, yanayoanza wiki hii 17 Julai, 2014 hadi 20 Julai, 2014ambako bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band inatarajiwa kutumbuiza Usiku wa jumamosi katika maonyesho hayo.Bendi hiyo  inayoongozwa na kamanda Ras Makunja, kama ujuavyo ni yenye mazoea ya kuwatia kiwewe washabiki kila wanapotumbuiza.

 

11 years ago

Michuzi

Ngoma Africa Band watingisha mji wa Dortmund,Ujerumani

 Si wengine bali ni bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU ukipenda waite viumbe wa ajabu "Anunnaki alien" au watoto wa mbwa, ambao walifanikiwa kutingisha jukwaa tena siku ya jumamosi 7 Juni 2014 mjini Dortmund,Ujerumani.katika onyesho la Challenge Festival liloandaliwa na umoja wa Wakameruni nchini Ujerumani. Wasikilize FFU Ughaibuni at www.ngoma-africa.com  Kamanda Ras Makunja akiongoza mashambulizi  Hapo ni supu ya mawe kwa kwenda mbele. Kamanda awapo...

 

11 years ago

GPL

NGOMA AFRICA BAND WAMEUTINGISHA MJI WA DORTMUND,UJERUMANI

FFU wa Ngoma Africa Band wakiwa jukwaani , Dortmund. Hali halisi katika show ya Ngoma Africa band,Dortmund.…

 

10 years ago

Michuzi

introducing La Mgambo:by Ngoma Afrika band ya Ujerumani "JK anamaliza kazi"

NYIMBO ZA KUMUAGA RAIS JAKAYA KIKWETE HEWANI ! SI WENGINE NI NGOMA AFRICA BAND AKA FFU -Ughaibuni yenye maskani kule ujerumani  Mtunzi:Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja Waimbaji: Kamanda Ras Makunja Afande Chris-B ambaye pia ni mpiga solo gitaa Bendi: Ngoma Africa band aka FFU wasiliana nao at ngoma4U@gmail.com

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani