Kwanini Lulu alifuta account yake ya Instagram?
![](http://img.youtube.com/vi/WJjevP4_beg/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLLULU AFUTA AKAUNTI YAKE INSTAGRAM
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tbqUI0THa5g/VTDZ7d9g1NI/AAAAAAABLy4/Gwb18HlInQ4/s72-c/lulu-pic.jpg)
LULU AFUTA AKAUNTI YAKE YA INSTAGRAM KUFUATIA KIFO CHA MTU ALIYEDAIWA KUWA MPENZI WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-tbqUI0THa5g/VTDZ7d9g1NI/AAAAAAABLy4/Gwb18HlInQ4/s1600/lulu-pic.jpg)
Kufuatia kifo cha kutatanisha cha Lusekelo Samson Mwandenga ‘Secky’, watu wengi walianza kumtukana Lulu wakimhusisha pia na kifo hicho huku pia wakipost picha zinazomuonesha alipokuwa na marehemu.Hata hivyo mujibu wa Global Publishers, familia ya Secky imeweka wazi chanzo halisi cha kifo...
9 years ago
Bongo505 Sep
Instagram yaboresha huduma yake ya ‘Instagram Direct’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzPAF9To8NgdKVbXEzlatv--95rQu-iGKbnwfpVFj8-pqm-idMMgARCYQ6Hu6MdblRuzzea16UenMs65BNpTG3M2/lulu.jpg)
KIVAZI CHA LULU INSTAGRAM NI SHEEDAH!
10 years ago
Bongo Movies25 Apr
Lulu Arudi Instagram Kwa Kishindo!
Siku chache baada ya msanii wa maigizo nchini, Elizabeth Michael, maarufu kama lulu, kufunga account zake zote za mitandao ya kijamii, kwa kile kinachodaiwa kukwepa matusi na kashfa kutoka kwa baadhi ya maadui zake kufuatia kifo cha aliyekuwa mpenzi wake, mfanyabiashara maarufu seky.
Jana kupitia ukurasa wake mpya wa instagram unaofahamika kwa jina la "lizymichael ", msanii huyo mwenye mvuto wa aina yake alirudi rasmi baada ya kuona maneno yanazidi kwenye mitandao ya kijamii, na kuamua...
9 years ago
Bongo511 Nov
Ray C aomba msamaha baada ya video yake akiwa mtupu kupostiwa kwenye akaunti yake ya Instagram
![Ray new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Ray-new-300x194.jpg)
Siku ya jana Nov.10 kuna video mbaya ya mwanadada Rehema Chalamila maarufu kama Ray C akiwa mtupu akikata mauno zilipostiwa kwenye akaunti yake ya Instagram (@rayc1982) na muda mfupi baadaye kufutwa.
Akizungumza na U Heard ya Clouds Fm leo, Ray C amekiri kuwa ni kweli aliyeonekana kwenye video hiyo ni yeye.
“Ndio ni kweli video hiyo ilipostiwa kwenye akaunti yangu ila sio mimi niliyeipost.” Alisema Ray C.
Ray C aliongeza kuwa video hiyo alirekodiwa na mpenzi wake kwaajili ya matumizi...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Dakika 7 za Lulu kuhusu kutoka na Tekno wa Nigeria, na caption za Kiswahili Instagram.
Kisa kizima kimeanzia Instagram kwenye picha zilizopostiwa, mwimbaji staa wa Nigeria Tekno miles ambaye alikuja Tanzania weekend iliyopita kwa ajili ya show ndio amehusishwa kama muhusika mkuu kwenye hii ishu, kuipata yote kuanzia mwanzo bonyeza play kwenye hii video hapa chini… Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO […]
The post Dakika 7 za Lulu kuhusu kutoka na Tekno wa Nigeria, na caption za Kiswahili Instagram. appeared first on...
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe wa Lulu kwa Mama yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
9 years ago
Bongo502 Sep
Lulu atoa sababu kwanini hafungamani na chama cha siasa