Manji amwengua Bin Kleb Yanga
Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa klabu ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake, Yusuf Manji, umemwengua madarakani Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili, Abdallah Bin Kleb huku ikiunda upya Kamati ya Utendaji.
Manji na Makamu wake, Clement Sanga walifikia uamuzi huo na kamati zote zilizoko chini ya Kamati ya Utendaji zitavunjwa kuanzia Julai 30 huku kamati mpya zikianza kazi Agasti mosi mwaka huu.
Akitangaza wajumbe wapya wa Kamati ya Utendaji...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Bin Kleb arudi Yanga
WAJUMBE wenza wa Kamati ya Utendaji ya Yanga katika kusimamia Kamati ya Maendelo ya Michezo chini ya Seif Ahmed ‘Magari’ na Isaac Chanji, wameteua wajumbe 41 akiwemo Abdallah Bin Kleb....
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Yanga yamrudisha Bin Kleb kundini
11 years ago
Mwananchi28 Jul
KAMATI MPYA: Bin Kleb, Nyanda watoswa Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpyAiIYtSqVCexT1r9Aw4KnFmQCQchvAY1EXZwYxf5HZaYeyOWqCE3ZT7SNFr9mCDqVNNkZRzwudiNqc4GhQgIU-/oneeeeee.jpg?width=650)
Manji ajitoa Yanga SC
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Manji aibuka Yanga
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji, ameibuka na kudai kuwa kutokuwepo kwake nchini ndiyo sababu ya kutokea kwa maneno ya hapa na pale, huku akiwafuta uanachama wanachama sita na tawi moja....
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Tigana: Manji tatizo Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcL*K5oiL-D7GQWMNBohUtLR1UqKJ9R*NsafJkNvXi1xu7uHsPzGxzVFpCZTbRO9UdoZVataFtHfpa9nvr*StwQU/5.jpg?width=650)
Manji amuokoa Kaseja Yanga
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Manji awatega wakorofi Yanga
MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, ameamua kujibu mapigo dhidi ya wanachama wanaopinga maamuzi ya mkutano mkuu wa Juni 1, mwaka huu, akiwataka wajiorodheshe kujua idadi na uhai wao...
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Manji kutogombea uenyekiti Yanga