‘Wafanyakazi wa Hotel ya 77 Arusha hawatudai’ – Serikali
Wizara ya Fedha na Mipango imesema kuwa waliokuwa wafanyakazi wa Hoteli ya Seventy Seven ya mkoani Arusha, walioachishwa kazi mwaka 2000, wameshalipwa mafao yao kwa mujibu wa sheria na taratibu hivyo hawastahili kudai malipo yoyote ya nyongeza.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango (MB), Dkt Ashatu Kijaji, ameyaeleza hayo bungeni mjini Dodoma, alipokuwa akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti Maaluum (CCM) Arusha, Mhe. Catherine Magige aliyehoji,
Je?, “ni lini Serikali itawalipa mafao...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWAFANYAKAZI WA GLOBAL WAKIUKARIBISHA MWAKA 2014 NDANI YA JOHANNESBURG HOTEL
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
Wyndham Hotel Group Opens Hotel in Dar es Salaam, First Hotel in Eastern Africa
First hotel on African continent to be operated by Wyndham Hotel Group under management contract, complementing the company’s existing franchised portfolio
Wyndham Hotel Group (http://www.wyndhamworldwide.com), the world’s largest hotel company based on number of hotels and one of three hospitality business units of Wyndham Worldwide (NYSE: WYN), today announced the opening of the 139-room Ramada® Resort Dar es Salaam in Tanzania.
Complementing Wyndham Hotel Group’s existing portfolio of...
10 years ago
Daily News28 Oct
Suspected Arusha hotel bombers in court
Daily News
SIX people who are suspected to have taken part or at least had prior knowledge about the recent bombing incident at Varma Indian Restaurant in Arusha city, have appeared before the Resident Magistrate's Court here. Four of the accused, who were ...
5 years ago
The Citizen Daily17 Mar
Driver of first Coronavirus case in Arusha identified as hotel is quarantined
10 years ago
TheCitizen01 Sep
Popular Arusha businessman found dead inside hotel room
10 years ago
VijimamboKIKAKO CHA BARAZA LA UONGOZI WA KANDA YA KASKAZINI -KATIKA HOTELI YA THE NEW ARUSHA HOTEL
11 years ago
Michuzi26 Feb
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Wafanyakazi TBL washiriki usafi wa mazingira Dar, Arusha na Mwanza
Wafanyakazi wa kiwanda Bia tawi la Arusha wakifanya usafi eneo la kituo kikuu cha mabasi jijini Arusha kuitikia wito wa Rais Dk John Magufuli kufanya usafi wakati wa maadhimisho ya ya Uhuru wa Tanganyika.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Bia Tanzania wakishiriki zoezi la kufanya usafi katika maeneo ya Mchikichini Ilala jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Uhuru ambapo kwa mwaka huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.John Magufuli ameitangaza kuwa siku...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aaziFeeLz-o/XmYIwIBht5I/AAAAAAALiKY/_dVfERW1yCwFkTVhdLqLfbBhNWOPZLk4QCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
NAIBU WAZIRI MAVUNDE AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA OSHA, ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aaziFeeLz-o/XmYIwIBht5I/AAAAAAALiKY/_dVfERW1yCwFkTVhdLqLfbBhNWOPZLk4QCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Hayo yamesemwa Jijini Arusha wakati wa ukifunguzi wa Baraza la Wafanyakazi wa wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi (OSHA),...