Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wafanyakazi wa Hotel ya 77 Arusha hawatudai’ – Serikali

Wizara ya Fedha na Mipango imesema kuwa waliokuwa wafanyakazi wa Hoteli ya Seventy Seven ya mkoani Arusha, walioachishwa kazi mwaka 2000, wameshalipwa mafao yao kwa mujibu wa sheria na taratibu hivyo hawastahili kudai malipo yoyote ya nyongeza.

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango (MB), Dkt Ashatu Kijaji, ameyaeleza hayo bungeni mjini Dodoma, alipokuwa akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti Maaluum (CCM) Arusha, Mhe. Catherine Magige aliyehoji,

Je?, “ni lini Serikali itawalipa mafao...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA GLOBAL WAKIUKARIBISHA MWAKA 2014 NDANI YA JOHANNESBURG HOTEL

Wafanyakazi wa Global wakijiachia kwa kucheza muziki ndani ya Johannesburg Hotel usiku huu.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Wyndham Hotel Group Opens Hotel in Dar es Salaam, First Hotel in Eastern Africa

150421w

First hotel on African continent to be operated by Wyndham Hotel Group under management contract, complementing the company’s existing franchised portfolio

 Wyndham Hotel Group (http://www.wyndhamworldwide.com), the world’s largest hotel company based on number of hotels and one of three hospitality business units of Wyndham Worldwide (NYSE: WYN), today announced the opening of the 139-room Ramada® Resort Dar es Salaam in Tanzania.

Complementing Wyndham Hotel Group’s existing portfolio of...

 

10 years ago

Daily News

Suspected Arusha hotel bombers in court


Suspected Arusha hotel bombers in court
Daily News
SIX people who are suspected to have taken part or at least had prior knowledge about the recent bombing incident at Varma Indian Restaurant in Arusha city, have appeared before the Resident Magistrate's Court here. Four of the accused, who were ...

 

5 years ago

The Citizen Daily

Driver of first Coronavirus case in Arusha identified as hotel is quarantined

Driver of first Coronavirus case in Arusha identified as hotel is quarantined  The Citizen Daily

 

10 years ago

TheCitizen

Popular Arusha businessman found dead inside hotel room

>Another renowned member of the Arusha business community suddenly died in a hotel room here at the weekend.

 

10 years ago

Vijimambo

KIKAKO CHA BARAZA LA UONGOZI WA KANDA YA KASKAZINI -KATIKA HOTELI YA THE NEW ARUSHA HOTEL

  Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe Freeman A.Mbowe akiwa ameambatana na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini Mhe Israel Natse wakiwa wanaingia ukumbi wa JUMUIKA  Viongozi wa kuu wa Chadema Taifa pamoja na Kanda wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya kikao cha baraza la kanda ya kaskazini kuanza
  Waheshimiwa wabunge wakiwa wanaimba wimbo wa Taifa  Katibu wa Kanda ya kaskazini Mhe Amani Golugwa akiwakaribisha wajumbe wa kikao cha baraza la Kanda ya Kaskazini , wajumbe wa kikao wametoka katika majimbo 33...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi TBL washiriki usafi wa mazingira Dar, Arusha na Mwanza

usafi TBL 2

Wafanyakazi wa kiwanda Bia tawi la Arusha wakifanya usafi eneo la kituo kikuu cha mabasi jijini Arusha  kuitikia wito wa Rais Dk John Magufuli kufanya usafi wakati wa maadhimisho ya ya Uhuru wa Tanganyika.

usafi tlb 1

usafi 1

Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Bia Tanzania wakishiriki zoezi la kufanya usafi katika maeneo ya Mchikichini Ilala jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Uhuru ambapo kwa mwaka huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.John Magufuli ameitangaza kuwa siku...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MAVUNDE AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA OSHA, ARUSHA

 Naibu waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira na wenye ulemavu Mhe. Antony Mavunde,amewataka watumishi wa Wakala wa Usalama na afya Mahali Pa Kazi (OSHA) kuendelea kufanya kaguzi na kuendelea kuwaelimisha jamii kuhusiana na mambo mbalilmbali yahusuyo Usalama na Afya kwa wafanyakazi, kwani kutasaidia kupunguza ajali na magonjwa sehemu za kazi.

Hayo yamesemwa Jijini Arusha wakati wa ukifunguzi wa Baraza la Wafanyakazi wa wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi (OSHA),...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani