Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi wagomea utitiri wa serikali

KATIKA Katiba mpya, wafanyakazi nchini hawataki utitiri wa serikali, bali nyongeza ya mishahara ya angalau kima cha chini cha Sh 315,000 na kupunguzwa kwa makato ya kodi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wabunge waonya serikali utitiri wa NGOs za dini

WABUNGE wameshauri Serikali kuwa makini katika kusajili asasi za kiraia, hasa za madhehebu ya dini ili kudhibiti kuwepo utitiri wa vyama hivyo vya kijamii.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ivory coast wagomea bajeti ya serikali —afcon

Shirikisho la soka Ivory Coast (FIF) limegomea bajeti ya Serikali kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika kwa sababu ni ndogo.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali kuwalipa wafanyakazi wa MPM

Baada ya vuta nikuvute ya miaka 10 kati ya Serikali na waliokuwa wafanyakazi wa Mufindi Paper Mills (MPM), kuhusu malipo ya fidia yao, hatimaye Serikali imekubali kulipa fedha hizo kiasi cha Sh3.7 bilioni.

 

9 years ago

StarTV

Wafanyakazi wa Serikali Shinyanga watahadharishwa

Wafanyakazi wa Serikali mkoani Shinyanga wametahadharishwa kuwa makini na utendaji wa Serikali ya awamu ya Tano kwa kuacha kufanya kazi kwa mazoea.

Mkuu wa mkoa huo Ally Nassoro Rufunga ametoa tahadhari hiyo wakati akiongea na wafanyakazi na taasisi katika mji wa Kahama mkoani Shinyanga katika ziara yake ya kikazi.

Rufunga anawataazalisha wafanyakazi wa Serikali mkoani hapa kuacha kufanya kazi kwa mazoea kwa Serikali awamu ya tano.

Anasema lengo la Serikali ya Mh Magufuli ni kuwatumikia...

 

5 years ago

Bongo5

‘Wafanyakazi wa Hotel ya 77 Arusha hawatudai’ – Serikali

Wizara ya Fedha na Mipango imesema kuwa waliokuwa wafanyakazi wa Hoteli ya Seventy Seven ya mkoani Arusha, walioachishwa kazi mwaka 2000, wameshalipwa mafao yao kwa mujibu wa sheria na taratibu hivyo hawastahili kudai malipo yoyote ya nyongeza.

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango (MB), Dkt Ashatu Kijaji, ameyaeleza hayo bungeni mjini Dodoma, alipokuwa akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti Maaluum (CCM) Arusha, Mhe. Catherine Magige aliyehoji,

Je?, “ni lini Serikali itawalipa mafao...

 

10 years ago

GPL

TAARIFA ZA WAFANYAKAZI WA SERIKALI YA MAREKANI ZAIBIWA MTANDAONI

Rais wa Marekani Barack Obama. Jengo la Ubalozi wa China nchini Marekani. Susan Collins, ambaye ni Mjumbe wa Seneta ya kiintelijensia nchini Marekani alisema, wahalifu waliotekeleza wizi huo wengi wao ni raia wa China.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali ijali wafanyakazi kwa vitendo — RAAWU

KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa taasisi za Elimu ya Juu, Habari, Ufundi na Utafuti (RAAWU) Mkoa wa Dodoma, Ramadhan Mwendwa, ameitaka serikali kutumia vema Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi)...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YALETA SULUHU KATI YA WAFANYAKAZI NA MKANDARASI

Mtaalamu kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mhandisi Hashim Kabanda, akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, wakati Naibu Waziri huyo alipokutana na wafanyakazi waliokuwa na madai kwa kampuni ya China Railway 15 Group iliyojenga Daraja la Mto Kilombero, mkoani Morogoro.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akizungumza na wafanyakazi waliokuwa wanafanyakazi katika Kampuni ya China Railway 15 Group na kudai malipo yao waliyokuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Maswi: Serikali haina mpango wa kupunguza wafanyakazi Tanesco

Serikali imesema haina mpango wa kupunguza wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) chini ya mkakati wa kuboresha sekta ndogo ya umeme nchini na badala yake, imewataka waendelee kushirikiana kikamilifu kulitumikia shirika na wateja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani