Wafanyakazi wagomea utitiri wa serikali
KATIKA Katiba mpya, wafanyakazi nchini hawataki utitiri wa serikali, bali nyongeza ya mishahara ya angalau kima cha chini cha Sh 315,000 na kupunguzwa kwa makato ya kodi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 May
Wabunge waonya serikali utitiri wa NGOs za dini
WABUNGE wameshauri Serikali kuwa makini katika kusajili asasi za kiraia, hasa za madhehebu ya dini ili kudhibiti kuwepo utitiri wa vyama hivyo vya kijamii.
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Ivory coast wagomea bajeti ya serikali —afcon
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Serikali kuwalipa wafanyakazi wa MPM
9 years ago
StarTV16 Nov
Wafanyakazi wa Serikali Shinyanga watahadharishwa
Wafanyakazi wa Serikali mkoani Shinyanga wametahadharishwa kuwa makini na utendaji wa Serikali ya awamu ya Tano kwa kuacha kufanya kazi kwa mazoea.
Mkuu wa mkoa huo Ally Nassoro Rufunga ametoa tahadhari hiyo wakati akiongea na wafanyakazi na taasisi katika mji wa Kahama mkoani Shinyanga katika ziara yake ya kikazi.
Rufunga anawataazalisha wafanyakazi wa Serikali mkoani hapa kuacha kufanya kazi kwa mazoea kwa Serikali awamu ya tano.
Anasema lengo la Serikali ya Mh Magufuli ni kuwatumikia...
5 years ago
Bongo514 Feb
‘Wafanyakazi wa Hotel ya 77 Arusha hawatudai’ – Serikali
Wizara ya Fedha na Mipango imesema kuwa waliokuwa wafanyakazi wa Hoteli ya Seventy Seven ya mkoani Arusha, walioachishwa kazi mwaka 2000, wameshalipwa mafao yao kwa mujibu wa sheria na taratibu hivyo hawastahili kudai malipo yoyote ya nyongeza.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango (MB), Dkt Ashatu Kijaji, ameyaeleza hayo bungeni mjini Dodoma, alipokuwa akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti Maaluum (CCM) Arusha, Mhe. Catherine Magige aliyehoji,
Je?, “ni lini Serikali itawalipa mafao...
10 years ago
GPL
TAARIFA ZA WAFANYAKAZI WA SERIKALI YA MAREKANI ZAIBIWA MTANDAONI
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Serikali ijali wafanyakazi kwa vitendo — RAAWU
KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa taasisi za Elimu ya Juu, Habari, Ufundi na Utafuti (RAAWU) Mkoa wa Dodoma, Ramadhan Mwendwa, ameitaka serikali kutumia vema Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi)...
5 years ago
Michuzi
SERIKALI YALETA SULUHU KATI YA WAFANYAKAZI NA MKANDARASI


Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akizungumza na wafanyakazi waliokuwa wanafanyakazi katika Kampuni ya China Railway 15 Group na kudai malipo yao waliyokuwa...
11 years ago
Mwananchi15 Oct
Maswi: Serikali haina mpango wa kupunguza wafanyakazi Tanesco