Ivory coast wagomea bajeti ya serikali —afcon
Shirikisho la soka Ivory Coast (FIF) limegomea bajeti ya Serikali kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika kwa sababu ni ndogo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
Ivory Coast yatinga fainali za Afcon
Ivory Coast wamefuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika, Afcon baada ya kuilaza Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo 3-1
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgAwH*Y9BI0S1xC*h-2ypCUA8QH8N9-k6iEak1VA9dMJ7gN8N4NT80sRm23B5b-k40d0MgQz-eJ1TN-GVmPplwRV/ivorycoast.jpg?width=650)
IVORY COAST BINGWA AFCON 2015
Mabingwa wapya wa Kombe la Mataifa Afrika 2015, Ivory Coast wakipozi na kombe leo. Straika wa Manchester City, Wilfried Bony akiwa amembeba shujaa wa Ivory Coast Boubacar Barry (katikati), aliyefunga penalti ya mwisho.…
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Afcon:Ivory Coast yawang'oa Algeria 3-1
Timu ya Ivory Coast imewatoa Algeria katika michuano ya Afcon kwa kuwachapa mabao 3-1
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
AFCON nusu fainali ni Congo na Ivory Coast
Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON, inaendelea leo hatua ya nusu fainali kwa Ivory Coast kupambana na DR Congo.
10 years ago
Mwananchi09 Feb
AFCON: Ivory Coast wafalme wa Afrika 2015
>Ivory Coast imefanikiwa kutwaa ubingwa wa fainali za Mataifa ya Afrika 2015, katika mchezo wa kihistoria wa mikwaju ya penalti 9-8.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pPSIfXxESuz95xAVPeHKrUcDVJUY0vmIBujIqfjREBQKb33miCtr0HTniwaZazccXpci88Ka5cYokjKA8tNkR83HCxK*8QWk/afcon.jpg)
IVORY COAST YATINGA FAINALI AFCON 2015
Kipa wa DRC, Kidiaba akijaribu kuokoa mpira wa kichwa ulipigwa na Gervinho bila mafanikio. Hata hivyo mpira huo uliokolewa na mchezaji wa DRC ukielekea nyavuni. KIKOSI cha Ivory Coast kikiongozwa na nahodha wake, Yaya Toure kimefanikiwa kutinga katika fainali za michuano ya Afcon 2015 baada ya kuichapa DR Congo mabao 3-1 katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa usiku huu Equitorial Guinea. Wafungaji wa mabao ya Ivory Coast...
10 years ago
Bongo509 Feb
Picha: Ivory Coast yatwaa kombe la AFCON 2015
Timu ya taifa ya Ivory Coast imenyakua kombe la mataifa ya Afrika, AFCON 2015 kwa kuitandika timu ya Ghana kwa mikwaju ya penalti mjini Bata, Equatorial Guinea. Ivory Coast imeshinda kombe hilo kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1992. Mlinda mlango nambari mbili wa Ivory Coast ndiye aliyeipa ushindi timu yake Ghana walipata penalti 8 […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SsTAFdoJMhvukAs6Gu2e93eivLnXlkiHpe8tOX8sZJQy5RNMs5cnBfrR7xQUzgvRWmB-M4FOeeD7U4VX1BHruxSh9fQxok1u/malinaguinea.jpg)
MALI, IVORY COAST NAZO ZATINGA ROBO FAINALI AFCON
Mali wakipambana na Guinea. TIMU za Mali na Ivory Coast nazo zimefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Mataifa Afrika 2015 kutoka Kundi D huku Guinea na Cameroon wakiyaaga mashindano hayo. Ivory Coast wakipongezana kwa ushindi dhidi ya Cameroon usiku huu. Mali wamesonga mbele baada ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Guinea huku Ivory Coast wakiwachapa Cameroon bao 1-0. Kwa matokeo hayo Mali na Ivory Coast… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania