Lampard kulipwa mshahara wake
Manchester City watamlipa Frank Lampard mshahara wake wote wakati akimalizia muda wake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
DC Makonda kutumia sehemu ya mshahara wake kuwalipa wanasheria
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam asubuhi, wakati akitoa taarifa ya utatuzi wa migogoro ya ardhi katika wilaya hiyo.
Wanahabari wakiwa katika mkutano na Bwana Makonda.
Waandishi wa habari kutoka vyombombalimbali wakichukua taarifa hiyo.
Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema atachukua sehemu ya mshahara wake kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vf-UwgQ-r7U/Xupr8Rf6zrI/AAAAAAALuSM/xgXPePfVELgwyxoWWkETMDn6R31z3i1OACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B9.01.27%2BPM.jpeg)
BAADA YA SARE DHIDI YA JKT TANZANIA, LAMINE AKATWA MSHAHARA WAKE
Na Zainab Nyamka.
Uongozi wa Klabu ya Yanga umefikia hatua ya kumkata mshahara beki wake wa kutumaniwa baada ya kuonesha mchezo usio wa kiungwana kwa mwenzake.
Yanga ilicheza mchezo wake wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania na kumalizika kwa sare ya 1-1 katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma.
Lamine Moro sambamba na Mwinyi Kazimoto walioneshwa kadi nyekundu dakika za lala salama katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa sana.
Uongozi wa Yanga kupitia kwa Kocha wake pia umeomba radhi kwa wanachama wa...
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA KUTUMIA SEHEMU YA MSHAHARA WAKE KUWALIPA WANASHERIA
Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema atachukua sehemu ya mshahara wake kwa ajili ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/dZGLY0Odl9I/default.jpg)
RAMADHAN SINGANO ‘MESSI’ KAWA MCHARO…HUU NDIO MSHAHARA WAKE MPYA NDANI YA AZAM FC
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/11737180_920557287983039_2068690925_n1.jpg)
Stori kubwa leo hii ni aliyekuwa winga wa Simba SC, Ramadhan Singano ‘Messi’ kusaini mkataba wa miaka miwili katika klabu ya Azam fc, ikiwa ni siku mbili tu tangu TFF wavunje mkataba wake na Wekundu wa Msimbazi.
Messi amesaini mkataba mnono kwa dau la milioni 50 na atakuwa analipwa mshahara wa Milioni 2 kwa mwezi.
Kabla ya kuingia katika mgogoro wa kimkataba na Simba, Wekundu wa Msimbazi walitaka winga huyo asaini mkataba wa miaka miwili kwa dau la milioni 30 na mshahara wa milioni 1.5,...
10 years ago
CloudsFM16 Jan
MBUNGE MACHEMLI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUTOMLIPA MSHAHARA MFANYAKAZI WAKE KWA MIAKA MITATU.
Machemuli amefunguliwa shauri la madai katika mahakama hiyo na kupewa nakala ya kuitwa yenye Na MCA/MZ/UK/524/2014 katika mahakama hiyo baada ya kufunguliwa kesi na Rehema Hamis (Mhudumu) kwa madai ya kutomlipa mshahara wake kwa miezi 35 ikiwa ni kiasi cha Sh milioni 3,680,000 alizotakiwa...
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Frank Lampard kuaga Chelsea
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77686000/jpg/_77686238_drogba_lampard2_getty.jpg)
Drogba relishes Lampard reunion
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
Lampard:sijazungumza na Manchester City
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Drogba aonya Lampard asizomewe