Uchaguzi Zanzibar wazuia mabilioni
Kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar kumesababisha bodi ya Shirika la Changamoto za Milenia (MCC) linalomilikiwa na Serikali ya Marekani kuahirisha kuidhinisha mkataba ambao ungeiwezesha Tanzania kupata mabilioni ya fedha za miradi ya maendeleo,.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Siri ya mabilioni ya Uchaguzi Mkuu
9 years ago
Mzalendo Zanzibar09 Oct
Zanzibar inalipishwa mabilioni
Monday, April 07, 2014 Zanzibar wants own power generation OURS: The isle’s residents do not want to depend on the Mainland. MWANZA, Tanzania – Zanzibar government plans to generate its own power to avoid dependency on […]
The post Zanzibar inalipishwa mabilioni appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi14 Feb
USAID yamwaga mabilioni uchaguzi mkuu
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GLOo2fF20ec/VZvmjGS3OaI/AAAAAAAHnlY/TvOjjUFntK8/s72-c/am4-430x320.jpg)
TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR YATANGAZA MAJIMBO YA UCHAGUZI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-GLOo2fF20ec/VZvmjGS3OaI/AAAAAAAHnlY/TvOjjUFntK8/s640/am4-430x320.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-J6rb7Y8vxdI/VjCpqi-XZ6I/AAAAAAAIDKQ/wem7bu-7ed0/s72-c/20151028035057.jpg)
TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR YAFUTA UCHAGUZI WA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-J6rb7Y8vxdI/VjCpqi-XZ6I/AAAAAAAIDKQ/wem7bu-7ed0/s640/20151028035057.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-er8jVRkg_7o/VjCprncR3wI/AAAAAAAIDKU/zN8pUewvZ6g/s640/20151028035057q.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MrQnzIPFK1w/VjCpsfCawUI/AAAAAAAIDKg/aahnc4w4iSk/s640/20151028035048z.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yafutwa, uchaguzi kurudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde visiwani Zanzibar.
Modewji blog itawaletea taarifa zaidi hapo baadae.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ksmOm5Zogvo/VkCGzFLkIII/AAAAAAAIE_Q/p-lV-eQ7aTY/s72-c/IMG_3540.jpg)
WAJUMBE WA BARAZA LA WAKILISHI WA CUF ZANZIBAR WAMEPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA ZANZIBAR KUFUTWA
Wajumbe 27 wa baraza hilo wamewasili jijini Dar es Salaam kuzungumza na waandishi wa habari juu ya kizungumkuti cha matokeo ya uchaguzi kufutwa huku wakiwa wenyewe hatambui hatua hiyo.
Akizungumza mmoja wa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-PNVRyv5mSmM/Xu4IoW_tn4I/AAAAAAAAWOo/pVGwsWWBxv8a4-b1gKpIoNKeCZw9P_HywCLcBGAsYHQ/s72-c/a7761dd6-979b-48df-ae2f-d7327d719d11.jpg)
MWENYEKITI WA ZAMANI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI ZANZIBAR (ZEC), JECHA SALUM JECHA AOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-PNVRyv5mSmM/Xu4IoW_tn4I/AAAAAAAAWOo/pVGwsWWBxv8a4-b1gKpIoNKeCZw9P_HywCLcBGAsYHQ/s400/a7761dd6-979b-48df-ae2f-d7327d719d11.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JbxPLMB_LgA/Xu4I63DHchI/AAAAAAAAWPA/130ugm-Kdl4vZ_joVzrRtMksKijXZ9hhQCLcBGAsYHQ/s400/8638efdf-368b-4032-8215-5648a0fc8cf6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-YXKMBT1aT2c/Xu4IpRwpJ1I/AAAAAAAAWOw/95AS9HmbUTIxzBAIl8U8aHGbzg2dpGrlgCLcBGAsYHQ/s400/fbb5e42d-81c7-427a-ad82-18b91b0e0e8b.jpg)