INYANYA AGEUKA MBOGO KISA KUTOKA NA FREDA
![](http://api.ning.com:80/files/1mkD-moKwPThvA4PIX0i6Iz6CjdDD*ZIysFckCizCs2XCatrgTQmsxMMZf3r9bIYRSW5EuyoXYq**fu5e0unuVupHNBTCTof/Iyanya.jpg?width=650)
Mwanamuziki kutoka Nigeria,Iyanya. IEZI kadhaa iliyopita, mfanyabiashara maarufu wa kike nchini Nigeria, Freda Francis, alionekana akiwa katika picha iliyokaa kimahaba na mwimbaji Iyanya pia wa nchini humo, ambapo kulizuka minong’ono kibao kwamba huenda watu hao walikuwa wamezama katika mahaba. Freda alipoulizwa wiki kadhaa zilizopita kuhusu hali hiyo, alisema jambo lolote analofanya… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Maximo ageuka ‘mbogo’
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Mwambusi ageuka ‘mbogo’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjKuo0Z0gA97SBC8ZeYEtZpLl*ExQJcOz-LSyxNko6WOkVX-04ldHqP5tYRdzi5oe4kZgZkTR1wlWq5GAeZhWaAA/5.jpg)
MAMA KANUMBA AGEUKA MBOGO
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Mzungu wa Simba ageuka ‘mbogo’
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Sitta ageuka mbogo, awashambulia wasomi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrggnXjm0OElspwsz1oBZ*0MmpCGfkb-oYYhPtSAcGuzYNtxSEyrQHe11-HisjByECzCJo*fq8YhIr-j7MK*RGhNn/7.jpg)
WEMA AWA MBOGO KISA DIAMOND
10 years ago
Bongo Movies10 Mar
Wema Awa Mbogo Kisa Kutajiwa Diamond
Vijimambo:Mrembo na staa wa Bongo Movie asiyekaukiwa na visa na mikasa, Wema Sepetu amezua kioja cha aina yake baada ya kutajiwa jina la aliyekuwa mwandani wake, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Kioja hicho alikifanya juzikati nyumbani kwake, Kijitonyama jiji Dar alipokuwa akirekodi kipindi chake cha In My Shoes ndipo aliposhtuka baada kutumiwa maoni na moja wa shabiki wake kupitia mtandao wa simu.“Heeeh! Huyu vipi tena ananitajia jina hili (Diamond)? Sitaki kabisa kulisikia,...
10 years ago
Bongo Movies18 Feb
Mama Kanumba Awa Mbogo, Kisa Ofisi ya Kanumba…!
KUFUATIA kufungwa kwa ofisi ya aliyekuwa msanii nyota wa filamu marehemu Steven Kanumba ya Kanumba The Great, mama mzazi Flora Mtegoa amegeuka mbogo baada ya kuulizwa kuhusu hatima ya kikazi ya taasisi hiyo.
Watu wamezidi kunifuatilia mambo yangu, sitaki kabisa nimechoka, hii kampuni haimhusu mtu yeyote, hili ni jambo langu siyo lazima niliweke wazi, kama kampuni imekufa au itaendelea haiwahusu, wanaoamini imekufa waamini hivyo, maana hata Yesu walisema atarudi hadi leo mbona hajarudi?...
11 years ago
Mwananchi25 Jun
KUTOKA ZANZIBAR: Wanawake na siasa zetu ni kisa cha tajiri na maskini?