Athari kuwekeza katika mifumo ya kifedha isiyo rasmi
Katika makala ya leo kuhusiana na uwekezaji katika mifumo ya fedha isiyo rasmi nitaongelea kuwekeza katika michezo ya piramidi (PYRAMID SCHEMES). Sehemu kubwa imetokana na chanzo kutoka Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana nchini Tanzania (CMSA). Endelea…
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi24 Jun
Waziri mkuu Pinda ahudhuria mkutano wa benki ya dunia,awataka wajasiriamali walioko katika sekta isiyo rasmi kurasimisha biashara zao.
9 years ago
Habarileo21 Aug
Ujira sekta isiyo rasmi kuboreshwa
SERIKALI imesema inaendelea kuangalia namna ya kuboresha mishahara kwa wafanyakazi wa sekta isiyo rasmi wapate manufaa ambayo yataweza kubadilisha maisha yao kutoka hatua moja hadi nyingine. Baadhi ya sekta zinazoangaliwa ni pamoja na wajenzi, wafanyakazi wa saluni na madereva wa muda mfupi.
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Sekta isiyo rasmi yachangia GEPF bil. 4/-
TANGU kuanzishwa kwa mpango wa uchangiaji wa hiari kwa sekta zisizo rasmi, Mfuko wa Mafao ya Kustaafu (GEPF) umeweza kuchangiwa sh bilioni 4.43 na sekta hiyo. Mkurugenzi wa Masoko wa...
11 years ago
Zitto Kabwe, MB15 May
HIFADHI YA JAMII KWA SEKTA ISIYO RASMI[1]
HIFADHI YA JAMII KWA SEKTA ISIYO RASMI[1]
Zitto Kabwe[2]
Hifadhi ya Jamii ni sera ya Maendeleo. Ni sera inayolenga kuendeleza Maisha ya Watu na kuhakikisha kuwa Watu wanaofaidika na sera hiyo kutotumbukia kwenye dimbwi la Umasikini. Ni kinga dhidi ya kuporomoka kwa kipato kutokana na kifo, ulemavu au Umri. Wanazuoni wanahusisha Hifadhi ya Jamii na tafsiri ya Maendeleo ambayo inajikita kwenye uwezo (capability) ambapo maendeleo yanahakikishwa hata kama mtu hana uwezo wa kufanya kazi. Kwenye...
11 years ago
MichuziDAWASCO ISIYO RASMI YABAMBWA HUKO KIMARA
Hayo yameelezwa na Afisa Uhusiano wa DAWASCO Bi, Everlasting Lyaro wakati wa operesheni maalumu inayoendelea ya kuwabaini na kuwakamata wananchi wanaojihusisha na vitendo vya uhujumu wa shirika hilo. Alisema katika zoezi hilo maalum jumla ya watu na vifaa mbalimbali vilivyokuwa vinatumika...
9 years ago
Mtanzania21 Dec
NEEC yavitaka vikundi sekta isiyo rasmi kujisajili
Na Mwandishi Wetu, Kibaha
BARAZA la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), limevitaka vikundi vya kijamii vilivyo katika mifumo isiyo rasmi kujisajili katika mamlaka za Serikali za Mitaa ili viweze kutambuliwa na kupata fursa mbalimbali.
Hayo yalisemwa na Katibu Mtendaji wa NEEC, Beng’i Issa, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na vikundi vinavyotakiwa kuanza kujisajili kwa ajili ya kutambuliwa na kunufaika na fursa zinazolenga kutolewa na Serikali na taasisi...
5 years ago
MichuziSerikali kudhibiti mipaka 53 isiyo rasmi Kanda ya Magharibi
***********************************
Na Mwandishi Wetu- TBS
Wizara ya Viwanda na Biashara kwa kushirikiana na Wizara nyingine zitadhibiti mipaka isiyo rasmi 53 katika mikoa ya Kigoma, Katavi na Rukwa ili kukabiliana na changamoto ya uingizaji...
10 years ago
Habarileo24 Oct
Ghasia ataka mifuko ya hifadhi kuifikia sekta isiyo rasmi
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia ameitaka mifuko yote ya hifadhi nchini kujikita zaidi katika kushawishi wanachama kutoka sekta isiyo rasmi hususan kwenye Vyama vya Kuweka na Kukopa (Saccos), Benki za Vijijini (VICOBA) na sekta nyingine.
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Changamoto zilizopo katika kuunda mifumo ya elimu