Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIFADHI YA JAMII KWA SEKTA ISIYO RASMI[1]

HIFADHI YA JAMII KWA SEKTA ISIYO RASMI[1]

Zitto Kabwe[2]

Hifadhi ya Jamii ni sera ya Maendeleo. Ni sera inayolenga kuendeleza Maisha ya Watu na kuhakikisha kuwa Watu wanaofaidika na sera hiyo kutotumbukia kwenye dimbwi la Umasikini. Ni kinga dhidi ya kuporomoka kwa kipato kutokana na kifo, ulemavu au Umri. Wanazuoni wanahusisha Hifadhi ya Jamii na tafsiri ya Maendeleo ambayo inajikita kwenye uwezo (capability) ambapo maendeleo yanahakikishwa hata kama mtu hana uwezo wa kufanya kazi. Kwenye...

Zitto Kabwe, MB

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ghasia ataka mifuko ya hifadhi kuifikia sekta isiyo rasmi

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia ameitaka mifuko yote ya hifadhi nchini kujikita zaidi katika kushawishi wanachama kutoka sekta isiyo rasmi hususan kwenye Vyama vya Kuweka na Kukopa (Saccos), Benki za Vijijini (VICOBA) na sekta nyingine.

 

11 years ago

Michuzi

SSRA YAPONGEZWA KWA USIMAMIZI MZURI WA SEKTA YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII NCHINI

SSRA YAPONGEZWA KWA USIMAMIZI MZURI WA SEKTA YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII NCHINI Ms. Sarah  Kibonde Msika, mkuu  wa mawasiliano  uhamasishaji  wa  mamlaka  ya usimamizi  na udhibiti  wa sekta  ya Hifadhi ya  jamii (SSRA) akizungumza na  wanahabari  leo mjini Iringa  Meneja wa NSSF  mkoa  wa Iringa Bw Marko Magheke akihojiwa na wanahabari  kuhusu warsha hiyo mjini Iringa leo  Washiriki  wa  warsha  ya  NSSRA  wakiwa katika  ukumbi wa  mikutano wa VETA mjini Iringa leo. Kwa picha...

 

9 years ago

Habarileo

Ujira sekta isiyo rasmi kuboreshwa

SERIKALI imesema inaendelea kuangalia namna ya kuboresha mishahara kwa wafanyakazi wa sekta isiyo rasmi wapate manufaa ambayo yataweza kubadilisha maisha yao kutoka hatua moja hadi nyingine. Baadhi ya sekta zinazoangaliwa ni pamoja na wajenzi, wafanyakazi wa saluni na madereva wa muda mfupi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sekta isiyo rasmi yachangia GEPF bil. 4/-

TANGU kuanzishwa kwa mpango wa uchangiaji wa hiari kwa sekta zisizo rasmi, Mfuko  wa Mafao ya Kustaafu (GEPF) umeweza kuchangiwa sh bilioni 4.43 na sekta hiyo. Mkurugenzi wa Masoko wa...

 

9 years ago

Mtanzania

NEEC yavitaka vikundi sekta isiyo rasmi kujisajili

Beng’i-IssaNa Mwandishi Wetu, Kibaha

BARAZA la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), limevitaka vikundi vya kijamii vilivyo katika mifumo isiyo rasmi kujisajili katika mamlaka za Serikali za Mitaa ili viweze kutambuliwa na kupata fursa mbalimbali.

Hayo yalisemwa na Katibu Mtendaji wa NEEC, Beng’i Issa, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari  kuhusiana na vikundi vinavyotakiwa kuanza kujisajili kwa ajili ya kutambuliwa na kunufaika na fursa zinazolenga kutolewa na Serikali na taasisi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Semina ya uhabarisho wa shughuli za mamlaka ya usimamizi wa sekta ya hifadhi ya jamii katika picha.

pic 4Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi,akifungua semina ya uhabarisho juu ya shughuli za mamlaka ya usimamizi na uthibiti wa sekta ya hifadhi ya jamii (SSRA).wa kwanza kushoto ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassani. na kulia ni mjumbe wa menejimenti na mkuu wa ununuzi wa SSRA,Emmanuel Urembo.

pic5Mjumbe wa menejimenti na ununuzi wa mamlaka ya usimamizi na uthibiti wa sekta ya hifadhi ya jamii (SSRA),Emmanuel Urembo akitoa mada yake ya uhabarisho juu wa SSRA kwa wadau wa mkoa wa Singida...

 

11 years ago

Michuzi

Waziri mkuu Pinda ahudhuria mkutano wa benki ya dunia,awataka wajasiriamali walioko katika sekta isiyo rasmi kurasimisha biashara zao.

 Waziri Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Pinda akizungumza na waandishi wa habari  nje ya Hotel ya Serena ambapo alihudhuria Mkutano wa Tano unaohusu masuala ya Uchumi,kulia kwake ni mkurugenzi wa benki ya Dunia nchini Ndugu Philippe Dongier  Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Philippe Dongier akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kivukoni Serena Hotel jijini Dar es Salaam, akiwa pamoja na Mwandishi wa Mada Ndugu Jacques Morisset ambapo aliwaeleza...

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto ahimiza mifuko ya jamii kusaidia sekta zisizo rasmi

Sera ya Maendeleo ya Hifadhi ya jamii isipofanyiwa mikakati ya kujumuisha sekta sizizo rasmi nchini umaskini utaendelea kuwa mwiba mchungu na janga la kitaifa katika siku za usoni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani