Mwalimu achomwa kisu akiwa shuleni
Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Mbagala, Dar es Salaam, Paulo Mwandemre (30) amejeruhiwa kwa kuchomwa kisu kifuani na ‘vibaka’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JgWHSTt60eu8IdRyLLb35CEFqhAIia2rHbjAvOWRH-Qsih4TjvNh1ZtRyjtI2zxYj2FM2yfnHVgZIW3UTkkufjoWGVC6MlWN/KISU.jpg?width=650)
ACHOMWA KISU AKIMTETEA MKEWE!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGEL7fUSpggh6kbUgLNTQwLGcYt3pUq7Md6303qUGjZdyS*slmQBiaJZaKRho6YItU5xOJ4CVtaCSFrhWyxoBCGI/achomwaafa.jpg?width=650)
ACHOMWA KISU, AFIA POLISI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaLCrT1E7IRsnLpwwVPjjoHd9MHXPa4VzPzNUqueMWHAVN2mCyEtWm*EXELgGR29FxCZHfSn9oa8ToUlBiplRFJJ/BACKUWAZI.jpg?width=650)
MWENYE MKE ACHOMWA KISU NA MGONI!
10 years ago
CloudsFM06 Mar
BALOZI WA MAREKANI ACHOMWA KISU MKUTANONI
BALOZI wa Marekani nchini Korea Kusini anaendelea kuuguza majeraha baada ya kushambuliwa kwa kisu na mtu mmoja mjini Seoul.
Balozi huyo Mark Lippert alishambuliwa na Mkorea Kim Ki-jong mwenye umri wa miaka 55 wakati mkutano wa kuziunganisha tena Korea Kusini na Kaskazini ukuiendelea. Lippert alijeruhiwa usoni na mkononi kwenye shambulio hilo amelazimika kushonwa nyuzi 80 usoni. Mkorea huyo Ki-jong amewahi kufungwa jela mwaka 2010 baada ya kujaribu kumshambulia balozi wa Japan alipokuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5SYuKLMNKFwr*nTJ6hKFEGHogGh8cL1EjHsMMn8ZxSgLnrIDMibNQi6-Y0BWWmUNGfn0*ZDay*mgC93m3s1uY3mJQ43e0*yr/6.jpg?width=650)
ACHOMWA KISU, KISA MGAWO WA FEDHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qhrG8qQmvDPFRkfuIz4wus7C5gHR03eGue-2p84*QvXBGWriPwtJ5xH-1NUIdcwZP5XlihbWnzQvKNd9rn8eJ3F/kisu.jpg?width=650)
ACHOMWA KISU KISA MUME WA MTU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc4QBSWFJlwKHnNAqwq06PoMxdpASpB-LgjmQWlUrSzsVp681KkP9iHctbmIanzAvVRr7TarL27DnFQemMcrEFz-/Amanback80.gif)
DENTI MWENZAKE LULU ACHOMWA KISU, AFARIKI
9 years ago
Habarileo11 Sep
Mwalimu afa kwa kuchomwa kisu, kisa wivu wa mapenzi
WATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti mkoani Kilimanjaro, likiwamo la mwalimu wa shule ya sekondari Minja wilayani Mwanga, Tumaini Magila (27) kumuua mumewe Sweetbert Magila (48) kwa kumchoma kisu, kutokana na wivu wa kimapenzi.
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Simulizi ya AY: Ashinda medali za kuigiza na tenisi akiwa shuleni
MPENDWA msomaji wa simulizi hii tamu, wiki iliyopita tuliishia pale AY alipoamua kufyeka uwanja wa mpira nyuma ya nyumba yao na kuanzisha timu aliyoiita Barcelona kwa mapenzi aliyonayo kwa timu hiyo ya Hispania tangu mwaka 1993 hadi sasa ambapo bado ni shabiki mkubwa.
ENDELEA NAYE…
Ni safari nyingine mwanana naianza ya kwenda kuonana na AY baada ya kutoka nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ hivi karibuni, nafika eneo la Mikocheni kulipo na ofisi yao ya Mkasi TV. Namkuta akiwa na waandaaji wa...