MWENYE MKE ACHOMWA KISU NA MGONI!

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa Riego Solo (28), mkazi wa Mbezi ya Tangi Bovu, Dar es Salaam anadaiwa kuchomwa kisu kwenye koromeo katika jaribio la kuchinjwa na mgoni wake aliyejulikana kwa jina moja la Jacob akiwa katika harakati za kumzengea mkewe. Riego Solo (28), mkazi wa Mbezi ya Tangi Bovu akiuguza maumivu baada ya kuchomwa kisu na mgoni wake. Tukio hilo la kinyume na kawaida ya wanaofumania kufanya uhalifu,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
ACHOMWA KISU AKIMTETEA MKEWE!
11 years ago
GPL
ACHOMWA KISU, AFIA POLISI
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Mwalimu achomwa kisu akiwa shuleni
10 years ago
GPL
ACHOMWA KISU, KISA MGAWO WA FEDHA
10 years ago
CloudsFM06 Mar
BALOZI WA MAREKANI ACHOMWA KISU MKUTANONI
BALOZI wa Marekani nchini Korea Kusini anaendelea kuuguza majeraha baada ya kushambuliwa kwa kisu na mtu mmoja mjini Seoul.
Balozi huyo Mark Lippert alishambuliwa na Mkorea Kim Ki-jong mwenye umri wa miaka 55 wakati mkutano wa kuziunganisha tena Korea Kusini na Kaskazini ukuiendelea. Lippert alijeruhiwa usoni na mkononi kwenye shambulio hilo amelazimika kushonwa nyuzi 80 usoni. Mkorea huyo Ki-jong amewahi kufungwa jela mwaka 2010 baada ya kujaribu kumshambulia balozi wa Japan alipokuwa...
11 years ago
GPL
ACHOMWA KISU KISA MUME WA MTU!
10 years ago
GPL
DENTI MWENZAKE LULU ACHOMWA KISU, AFARIKI
11 years ago
Habarileo17 Jul
Mume aua mke kwa kisu
WATU watano wamekufa mkoani Rukwa katika matukio tofauti, akiwemo Silvia Patrick aliyeuawa na mumewe kwa kuchomwa kisu kifuani kutokana na wivu wa mapenzi. Joseph Dominick (33) baada ya kumuua mkewe huyo mwenye miaka 26, alijaribu kujiua kwa kujichoma kisu tumboni, lakini hakufa na amelazwa katika Kituo cha Afya cha Kamasamba wilayani Momba mkoani Mbeya akiwa chini ya ulinzi.
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Mke aua mume kwa kumchoma kisu shingoni