Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WEMA AMFUNGIA DIAMOND, ASHINDWA KUMZIKA MZEE GURUMO

Stori: Musa Mateja na Shakoor Jongo
HAYA yanaweza kuwa ni mambo ya malovee! Kuna madai kwamba Mbongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’ alishindwa kushiriki zoezi la kuuaga mwili wa mwanamuziki mkongwe Tanzania, marehemu Muhidin Mwalimu Mohamed Gurumo ‘Maalim Gurumo’ kwa sababu alifungiwa asitoke ndani na mwandani wake madam Wema Sepetu, Ijumaa linakudadavulia. Wema Sepetu na Diamond wakiwa faragha. ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MZEE GURUMO AFUNGUKIA SKENDO ZA DIAMOND

Mayasa Mariwata na Shani Ramadhan
MSANII mkongwe wa muziki wa dansi Bongo, Muhidini Gurumo ambaye kwa sasa amestaafu, amefungukia skendo ya kuwa na mademu wengi inayomuandama Nasibu Abdul ‘Diamond’. Nasibu Abdul ‘Diamond’. Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni maeneo ya Ilala jijini Dar, Mzee Gurumo alisema: “Diamond ana nidhamu sana ila vile anavyotamba jukwaani na kudatisha mashabiki hapo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mzee Majuto Amuunga Mkono Wema Sepetu, Diamond Amtaka Wema Abadilike Kama Kweli Anautaka Ubunge

Mzee Majuto  kwa mara ya kwanza ameamua kufunguka kumuunga mkono Wema Sepetu kwa nia yake ya kutaka kuwa mbunge.Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Mzee Majuto ameandika;

Nisingependa kuyaongea haya kwenye mfungu mtukufu ila kiundani ningependa kuonyesha umoja na kumuunga mkono wazo na lengo la Mwanangu kwa kuwa anaweza na amethubutu sasa isitokee wale wasiopenda maendeleo ya watu na taifa hili kuvuruga misingi na mipango madhubuti ya kuwapa nafasi vijana na hasa wanawake kushika hatamu na...

 

11 years ago

GPL

MAFUFU AUGUA, ASHINDWA KUMZIKA KUAMBIANA

Stori:Hamida Hassan STAA wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu licha ya kutoa suti ya shilingi 400,000 aliyozikiwa nayo marehemu Kuambiana, alishindwa kumzika rafiki yake huyo kipenzi baada ya kuugua ghafla siku ya mazishi na kulazwa hospitali. Muigizaji wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu. Akizungumza na Ijumaa, Mafufu alisema kuwa alijikuta akipatwa na maumivu makali pamoja na homa hali iliyosababisha alazwe katika Hospitali ya...

 

10 years ago

GPL

AMANDA AZIDIWA, ASHINDWA KUMZIKA MEZ B

Hamida Hassan/Uwazi
MREMBO kunako tasnia ya filamu Bongo, Tamrina Mohamed Poshi ‘Amanda’ ameshindwa kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Moses Bushagama aliyefariki mwishoni mwa wiki iliyopita mkoani Dodoma kutokana na kuugua ghafla. Mrembo kunako tasnia ya filamu Bongo, Tamrina Mohamed Poshi ‘Amanda’. Akizungumza na Uwazi kwa masikitiko, Amanda ambaye pia ni mtu wa karibu na...

 

10 years ago

Habarileo

Mdee aenda kumzika Komba, ashindwa kutokea kortini

MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake Chadema, Halima Mdee jana alishindwa kufika mahakamani katika kesi ya kutotii amri halali ya Polisi inayomkabili na wenzake wanane, ikielezwa kuwa alikwenda kwenye maziko ya aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi mkoani Ruvuma, Kapteni John Komba.

 

11 years ago

GPL

RAY ASHINDWA KUMZIKA BAM’DOGO WA JOHARI

Na Mayasa Mariwata
MKURUGENZI wa RJ Company, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameshindwa kumzika baba mdogo wa mkurugenzi mwenza wa kampuni hiyo, Blandina Chagula, Clement Kiyenze Chagula. Mkurugenzi wa RJ Company, Vincent Kigosi ‘Ray’ Mzee huyo alifariki katika Hospitali ya Muhimbili kutokana na matatizo ya presha na figo yaliyokuwa yakimsumbua na kuzikwa katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar ambapo wasanii...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk. Bilal kumzika Gurumo

>Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal anatarajiwa kuongoza msafara wa mazishi ya mwanamuziki nguli Muhidin Maalim Gurumo yatakayofanyika leo katika Kijiji cha Masaki Wilaya ya Kisarawe Pwani.

 

11 years ago

Mwananchi

Mamia wajitokeza kumzika Gurumo

>Safari ya miaka 74 duniani ya nguli wa muziki wa dansi nchini, Muhidin Mwalimu Gurumo ilifikia tamati jana baada ya kuzikwa kijijini kwake Masaki Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.

 

11 years ago

Bongo Movies

RAY ashindwa kumzika “Baba’ke” na JOHARI. Chuchu Hans 'atajwa'.

MKURUGENZI wa RJ Company, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameshindwa kumzika baba mdogo wa mkurugenzi mwenza wa kampuni hiyo, Blandina Chagula, Clement Kiyenze Chagula.

Mzee huyo alifariki katika Hospitali ya Muhimbili kutokana na matatizo ya presha na figo yaliyokuwa yakimsumbua na kuzikwa katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar ambapo wasanii mbalimbali wa filamu nchini walishiriki akiwemo Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete.

Alipoulizwa Ray kwa nini hakuhudhuria mazishi hayo, alisema:

“Ukweli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani