MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAONGOZA WANANCHI WA SENGEREMA KUMZIKA DKT. SHIJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kFiqzBFCiUQ/VDzqXdG6MtI/AAAAAAADJsM/1wJkfDbkJzQ/s72-c/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, marehemu Dkt. William Shija, wakati wa shughuli za maziko yaliyofanyika Kijijini kwake, Nyampande Wilaya ya Sengerema Mkoa wa Mwanza, jana Oktoba 13, 2014
Spika wa Bunge la Jamhuri, Mhe. Anne Makinda, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal awaongoza wananchi wa Sengerema kumzika Dkt. Shija
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, marehemu Dkt. William Shija, wakati wa shughuli za maziko yaliyofanyika Kijijini kwake, Nyampande Wilaya ya Sengerema Mkoa wa Mwanza, jana Oktoba 13, 2014. (Picha na OMR).
Spika wa Bunge la Jamhuri, Mhe. Anne Makinda, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Om9ReL4utVg/Vh9e9vZT7zI/AAAAAAAIABM/6WI-SQH_Tn8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGWA MWILI WA MAREHEMU DKT. KIGODA KARIMJEE DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Om9ReL4utVg/Vh9e9vZT7zI/AAAAAAAIABM/6WI-SQH_Tn8/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lbcyLNat5q8/Vh9e9reA_UI/AAAAAAAIABE/UV-1qhAab-E/s640/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0TgNQ23mXB4/Vh9e-dY-GiI/AAAAAAAIABU/2Zq8upR0UpY/s640/04.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-78BAPcbJjdY/Vh9e_3N2p_I/AAAAAAAIABw/7GZpUFoFbF4/s640/07.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake, Dkt. Bilal wawaongoza wananchi kuaga mwili wa marehemu William Shija viwanja vya Karimjee Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, marehemu Dkt. William Shija, wakati wa zoezi la kuagwa mwili lililofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Oktoba 12, 2014. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akiwafariji wanafamilia wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa...
10 years ago
Vijimambo27 Sep
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUZ KIVUKO CHA MV TEGEMEO KUFANYA SAFARI ZA MAISOME-SENGEREMA.
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-wNHQLCFZU_s%2FVCZasJcl2fI%2FAAAAAAADFkI%2Fz4Fta1-mA1E%2Fs1600%2F1..jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-YjynQYVJYdg%2FVCZaqYx6xeI%2FAAAAAAADFj0%2F1Vxvu9Ggt4o%2Fs1600%2F2..jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Dewji Blog27 Sep
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua kivuko cha MV Tegemeo kufanya safari za Maisome-Sengerema
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rsmi Kivuko cha Tegemeo tayari kuanza kufanya safari zake kati ya Kisiwa cha Maisome- Sengerema, wakati wa hafla ya uzinduzi wa kivuko hicho iliyofanyika Kijiji cha Kahunda Wilaya ya Sengerema Mkoa wa Mwanza leo, Septemba 26, 2014. Kulia kwake ni Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli na baadhi ya viongozi. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cxEkuhwJ4C4/VEderkB5bYI/AAAAAAADKW8/6EXKRcBCrS0/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA RAIS WA MMI BINGWA WA MASUALA YA UTAWALA NA UONGOZI KUTOKA BAHAMAS, DKT. MYLES MUNROE
![](http://4.bp.blogspot.com/-cxEkuhwJ4C4/VEderkB5bYI/AAAAAAADKW8/6EXKRcBCrS0/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--d6XXkK-utU/VEderpfQFgI/AAAAAAADKW0/PFdjSNlhjE8/s1600/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ashiriki kuaga mwili wa mama mzazi wa Dkt. Edward Hosea, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya marehemu Esther Gigwa, Mama mzazi wa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dkt. Edward Hosea, wakati alipofika kushiriki kuaga mwili huo nyumbani kwa mkurugenzi huyo, Masaki jijini Dar es Salaam, leo Feb 27, 2015. (Picha na OMR).
Wanafamilia wafiwa wakiwa katika shughuli hiyo ya maziko.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji,...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-01-Up8IqjEI/VgkYn-O2kHI/AAAAAAAD_BI/1e4lLIenKUY/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AONGOZA WANANCHI KUAGA MWILI WA MAREHEMU CELINA KOMBANI, DAR, KUZIKWA KESHO MOROGORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-01-Up8IqjEI/VgkYn-O2kHI/AAAAAAAD_BI/1e4lLIenKUY/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-m_Tn3pSJJtU/VgkYn7E9YiI/AAAAAAAD_BQ/6xUUXwekPEw/s640/03.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Makamu wa Rais Dkt. Bilal awajulia hali wananchi walioangukiwa na nyumba zao kwa upepo na mvua kubwa Msoga
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete (wa pili kulia), Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli na baadhi ya Viongozi, wakati alipowasili Kitongoji cha Mnazi Mmoja, Msoga jana kwa ajili ya kuwafariji wananchi waliokubwa na maafa kwa kuangukiwa na nyumba zao kutokana na Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha juzi. Katika tukio hilo jumla ya watu 12 walijeruhiwa na jumla ya nyumba 128...