Mtikila threatens to sue Magufuli, Lowassa
IPPmediaMtikila threatens to sue Magufuli, Lowassa
Daily News
DEMOCRATIC Party (DP) National Chairman, Reverend Christopher Mtikila, has vowed to file a court injunction for both Chama Cha Mapinduzi (CCM) presidential aspirant Dr John Magufuli and the expected UKAWA candidate, Mr Edward Lowassa, for what ...
Presidential aspirant stuck in elevator, pours scorn on CCMIPPmedia
all 3
Daily News
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Aug
Lowassa, Magufuli rasmi, Mtikila aenguliwa NEC
9 years ago
TheCitizen19 Sep
Chadema: We’ll sue Magufuli
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2iq9fO*-SmmsEhLkUGzBV802isbXiWlgELq7iSIb6Vzsv9QWWPdq*E1MMRAqaSNbkYs3RERQpxbgCtheXhW3wFG/mtikila.jpg?width=650)
LOWASSA KUMZIKA MTIKILA!
9 years ago
Vijimambo17 Sep
MCHUNGAJI MTIKILA AIBUKA NA KIHOJA HIKI LEO,NAYE AUNGANA NA LIPUMBA NA SLAA KUIMBA WIMBO WA LOWASSA,SOMA HAPO KUJUA
NA KAROLI VINSENTMWENYEKITI wa cha Democratic Party (DP), Christopher Mtikila ameibuka na kihoja pale alipowataka Watanzania siku ya kupiga kura tarehe 25 octoba mwaka huu kutoipigia kura kipengele cha Urais na wataka watanzaniakuwachagua wabunge na Madiwani peke yake,kwakuwa wagombea wote wa urais waliosiamishwa kwenye vyama vayo hawana uwezo wa kuliongoza taifa hili.Kauli ya hiyo ya Mchangaji Mtikila ameitoa leo Jijini Dar es Saalam wakati wa mkutano na waandishi wa Habari ambapo...
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Dk. Magufuli, Lowassa 50/50
ZIKIWA zimesalia siku 72 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wanaamini kuwa hadi sasa hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi wa moja kwa moja.
Wagombea wawili, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chadema ndio wanaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.
Akizungumzia uchaguzi huo, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba, aliliambia Raia Tanzania kuwa uchaguzi wa mwaka huu...
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Ni Lowassa au Magufuli?
USHINDANI Mkali katika uchaguzi wa mwaka huu unamfanya mtu atake kujua kama Baba wa Taifa, Mwali
Mwandishi Wetu
9 years ago
TheCitizen07 Sep
Nagu: I know Lowassa and Magufuli
9 years ago
Mtanzania23 Oct
Magufuli, Lowassa wajaa matumaini
>>Magufuli asema yeye ndiye mshindi
>> Lowassa atamba kupata ushindi mnono
NA FREDY AZZAH, HANDENI
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema ana uhakika wa kushinda kwa asilimia 80, na kwamba atakuwa rais wa mabadiliko na si maneno.
Lowassa ambaye anaungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), aliyasema hayo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Kigoda CCM, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga.
“Kuna watu wanasema...
9 years ago
Mtanzania20 Aug
Magufuli, Lowassa wapigana vikumbo
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli pamoja na mwenzake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, wamepigana vikumbo mahakamani huku kila mmoja akisaka kiapo cha mahakama kuthibitisha rasmi kuwania nafasi hiyo.
Magufuli na Lowassa kwa sasa wamekuwa mahasimu wa kisiasa tangu waziri mkuu huyo wa zamani alipotangaza kuihama CCM baada ya mchakato wa urais uliofanyika mjini Dodoma Julai...