Mtikila ajipeleka mahakamani
Na Fadhili Abdallah, KigomaMWENYEKITI wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, ameomba kuunganishwa katika kesi ya madai inayomkabili Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila.Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL), imefungua kesi ya madai dhidi ya Kafulila katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, ikiomba aamriwe kuilipa fidia ya sh. bilioni 310 kutokana na kutangaza taarifa za kashfa dhidi yao.Katika kesi yao ya msingi, wadai hao wanaiomba...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Bunge: Mtikila ruksa kwenda mahakamani
BAADA ya mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupitia kundi la vyama vya siasa, Mchungaji Christopher Mtikila, kutishia kufungua kesi katika mahakama ya kimataifa kuzuia vikao vya Bunge hilo, ameambiwa...
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Papa Francis ajipeleka kununua miwani
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Kylie Jenner ajipeleka kwa ASAP
NEW YORK, MAREKANI
KUTOKANA na mgogoro unaoendelea kati ya mkali wa hip hop nchini Marekani, Tyga na mpenzi wake, Kylie Jenner, hatimaye mrembo huyo amejipeleka kwa ASAP Roky.
Kuna taarifa zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba wawili hao wamekuwa na mgogoro katika uhusiano wao, huku mrembo huyo akidai kwamba mpenzi wake anaonekana kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani ambaye alizaa naye, Blac Chyna.
Kutokana na hali hiyo, mrembo huyo juzi alionekana akiwa na nyota wa hip hop,...
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Ajipeleka jela ili amuone mpenzi wake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3s522seVcCy7kz-uebBhLmUicSJaEqjeM6W6tsONtu2qpjBD8nnHccLofpmpVkc*a6E5wjF6FuXA8eHKsGxI-jx/1.jpg?width=650)
Bahanuzi ajipeleka Simba, aukataa mkataba wa Yanga
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Breaking News! Askofu Gwajima ‘alidindia’ jeshi la Polisi waliomfuata na ving’ora, ajipeleka mwenyewe
Baadhi ya Maaskofu wa Kanisa la Gwajima na maaskofu rafiki wa makanisa ya Pentekoste wakiongea na Gwajima (Hayupo pichani) ambaye alikuwa akiwapa maelekezo kabla ya kuondoka kwenda kuhojiwa jeshi la Polisi mchana wa leo.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima mapema leo ameibua hofu kubwa kwa majirani na waumini wake waliokuwa wametanda nje ya nyumba yake baada ya Jeshi la Polisi kuvamia kwake kwa lengo la kumchukua kwenda Polisi Central...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2iq9fO*-SmmsEhLkUGzBV802isbXiWlgELq7iSIb6Vzsv9QWWPdq*E1MMRAqaSNbkYs3RERQpxbgCtheXhW3wFG/mtikila.jpg?width=650)
LOWASSA KUMZIKA MTIKILA!
11 years ago
Daily News21 Mar
Mtikila alleges intimidation
Daily News
A CONSTITUENT Assembly (CA) member, Reverend Christopher Mtikila, has called for respect for all assembly members during sessions, because they represent views from different groups. Speaking on Thursday, Rev Mtikila who is also the chairman of ...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Buriani Mchungaji Mtikila
HARAKATI za haki za binadamu nchini zimekumbwa na pigo kubwa baada ya mmoja wa wapambanaji wa hak
Mwandishi Wetu