Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtikila ajipeleka mahakamani


Na Fadhili Abdallah, KigomaMWENYEKITI wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, ameomba kuunganishwa katika kesi ya madai inayomkabili Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila.Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL), imefungua kesi ya madai dhidi ya Kafulila katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, ikiomba aamriwe kuilipa fidia ya sh. bilioni 310 kutokana na kutangaza taarifa za kashfa dhidi yao.Katika kesi yao ya msingi, wadai hao wanaiomba...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge: Mtikila ruksa kwenda mahakamani

BAADA ya mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupitia kundi la vyama vya siasa, Mchungaji Christopher Mtikila, kutishia kufungua kesi katika mahakama ya kimataifa kuzuia vikao vya Bunge hilo, ameambiwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis ajipeleka kununua miwani

Papa Francis alifanya jambo lisilio la kawaida kwa kuondoka Vatican na kwenda dukani kujinunulia miwani mjini Roma.

 

9 years ago

Mtanzania

Kylie Jenner ajipeleka kwa ASAP

kylie-jennerNEW YORK, MAREKANI
KUTOKANA na mgogoro unaoendelea kati ya mkali wa hip hop nchini Marekani, Tyga na mpenzi wake, Kylie Jenner, hatimaye mrembo huyo amejipeleka kwa ASAP Roky.

Kuna taarifa zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba wawili hao wamekuwa na mgogoro katika uhusiano wao, huku mrembo huyo akidai kwamba mpenzi wake anaonekana kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani ambaye alizaa naye, Blac Chyna.

Kutokana na hali hiyo, mrembo huyo juzi alionekana akiwa na nyota wa hip hop,...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajipeleka jela ili amuone mpenzi wake

Waliosema duniani kuna mambo, hakika hawakukusea. Msichana mmoja amefanya kituko cha aina yake, baada ya kuiba chupa ya mvinyo ili apelekwe jela, ambako angekwenda kukutana na mpenzi wake.

 

10 years ago

GPL

Bahanuzi ajipeleka Simba, aukataa mkataba wa Yanga

Straika wa Polisi Moro, Said Bahanuzi. Saphyna Mlawa, Dar es Salaam
STRAIKA wa Polisi Moro, Said Bahanuzi ambaye yupo kwenye kiwango kizuri, amefunguka rasmi kuwa, yupo tayari kuichezea Simba ikiwa klabu hiyo itamfuata na kufikia makubaliano naye.Bahanuzi ambaye anaichezea Polisi kwa mkopo akitokea Yanga, amesema kuwa mkataba wake unaelekea mwishoni na kama Simba au klabu nyingine yoyote itakuwa inamhitaji, yupo tayari kufanya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News! Askofu Gwajima ‘alidindia’ jeshi la Polisi waliomfuata na ving’ora, ajipeleka mwenyewe

maaskofu wenzake

Baadhi ya Maaskofu wa Kanisa la Gwajima na maaskofu rafiki wa makanisa ya Pentekoste wakiongea na Gwajima (Hayupo pichani) ambaye alikuwa akiwapa maelekezo kabla ya kuondoka kwenda kuhojiwa jeshi la Polisi mchana wa leo.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima  mapema leo ameibua hofu kubwa  kwa majirani  na waumini wake waliokuwa wametanda nje ya nyumba yake baada ya Jeshi la Polisi kuvamia kwake kwa lengo la kumchukua kwenda Polisi Central...

 

9 years ago

GPL

LOWASSA KUMZIKA MTIKILA!

Mwandishi Wetu MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema kupitia mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, anatarajia kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrati (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, imefahamika. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrati (DP), Mchungaji Christopher Mtikila enzi za uhai wake. Duru za siasa kutoka ndani ya Ukawa, zimebainisha kwamba, licha ya kusambazwa kwenye mitandao kwa taarifa za...

 

11 years ago

Daily News

Mtikila alleges intimidation


Mtikila alleges intimidation
Daily News
A CONSTITUENT Assembly (CA) member, Reverend Christopher Mtikila, has called for respect for all assembly members during sessions, because they represent views from different groups. Speaking on Thursday, Rev Mtikila who is also the chairman of ...

 

9 years ago

Raia Mwema

Buriani Mchungaji Mtikila

HARAKATI za haki za binadamu nchini zimekumbwa na pigo kubwa baada ya mmoja wa wapambanaji wa hak

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani