Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Paroko Katoliki ataka tume huru Arusha

>Wakati Serikali ikiwahamishia Hospitali ya Rufani ya Arusha Medical Center, Wanakwaya watatu wa Kanisa Katoliki kati ya sita waliojeruhiwa kwa mabomu ya polisi, wito umetolewa kwa Serikali kuunda tume huru ya kuchunguza aina ya bomu lililotumiwa na polisi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Paroko Kanisa Katoliki afariki dunia ghafla

BAADHI ya waamini wa Kanisa Katoliki la Bikira Maria wa Fatma mjini Geita, wameshitushwa na taarifa za kifo cha Paroko wa Parokia ya Geita, Padri Henry Kimisha aliyefariki dunia ghafla...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjumbe UVCCM ataka tume huru kashfa Escrow

MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mkoa wa Ruvuma, Khalfan Kigwenembe, amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuunda Tume Huru ya kuchunguza tuhuma zilizotolewa na...

 

10 years ago

Vijimambo

PADRE MUNISHI AWEKWA WAKFU KUWA PAROKO KANISA KATOLIKI BALTIMORE MD

IMG_0279Baba padre Honest Munishi akiwekwa wakfu kuongoza kanisa la Katoliki la St.Edward Baltimore Md nchini Marekani katika misa iliyoongozwa na Askofu Dennis Madden wa jimbo la kuu la Baltimore, Jumapili Februari 8,2014. Padre Munishi amechukua nafasi iliyoachwa wazi na Padre Evod Shao aliyemaliza muda wake.IMG_0276Padre Munishi katika ibada. IMG_0284Padre Munishi akitia saini mbele ya askofu baada ya kusimikwa kuwa paroko mpya wa kanisa la Baltimore Md. IMG_0288Baba askofu wa jimbo kuu la Baltimore akimtambulisha padre...

 

11 years ago

Mwananchi

Maaskofu 32 Katoliki wataka Tume ya Warioba iheshimiwe

>Maaskofu 32 wa Kanisa Katoliki Tanzania, wametoa waraka maalumu wa Pasaka wakiwataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuheshimu maoni ya Watanzania yaliyomo katika Rasimu ya Katiba na kuweka pembeni itikadi za kisiasa katika mchakato wa kuandika Katiba Mpya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanazuoni wataka tume huru uchaguzi

WASOMI kutoka vyuo vikuu nchini, wamesema wanataka  mfumo wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), uwe huru. Rai hiyo waliitoa jijini Dar es Salaam jana, wakati wa kongamano la ushiriki...

 

11 years ago

Mwananchi

Tume Huru inahitajika kura ya maoni

Kipengele cha kuidhinisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (Zec) kusimamia Kura ya Maoni, 2013, kimeibua malalamiko na mijadala mizito kutoka kwa wataalamu wa masuala ya katiba nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Tulitarajia nini bila tume huru ya uchaguzi?

Kwa muda mrefu sasa, tumekuwa tukionya kuhusu udanganyifu katika chaguzi mbalimbali zinazofanyika katika nchi yetu na kusema hiyo hasa ndiyo sababu inayowakwaza wananchi wengi kiasi cha kutojitokeza kupiga kura.

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi waiponda PAC, wataka Tume huru

WAKATI Ikulu ikitoa taarifa na kusema kuwa Rais Jakaya Kikwete atafanya maamuzi juu ya sakata la akaunti ya Escrow kuhusu maazimio ya Bunge, Jumuiya ya Wanazuoni wameibuka na kuponda maazimio ya Bunge yaliyotokana na Ripoti ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).

 

11 years ago

GPL

WAZIRI MKUU PINDA AHUDHURIA JUBILEI YA KANISA KATOLIKI ARUSHA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akisalimiana na Maaskofu wa Kanisa Katoliki baada ya ibada ya Jubilei ya miaka 50 ya Kanisa Kuu  la Jimbo la Arusha iliyofanyika mjini Arusha leo Desemba 30,2013. Baadhi ya viongozi waliohudhuria katika Jubilei hiyo. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani