Mfalme wa Afrika Kusini kuanza kifungo leo
Serikali ya Afrika Kusini inatarajia mfalme wa kabila la aliyekuwa rais Nelson Mandela, la Thembu, kuanza kutumikia kifungo cha miaka 12 gerezani hii leo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mfalme wa Afrika Kusini kufungwa jela
Mfalme wa kabila la Nelson Mandela la Thembu atafungwa jela baada ya mahakama ya kikatiba nchini Afrika Kusini kukataa kata kata kusikiza ombi la rufaa
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Waziri akataa ombi la mfalme wa Afrika Kusini
Waziri wa haki wa Afrika Kusini amefutilia mbali ombi la kutaka kesi inayomkabili mfalme wa jamii ya Nelson Mandela ya Thembu isikizwe upya.
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Mfalme kufungwa jela miaka 12 Afrika Kusini
Mahakama nchini Afrika Kusini imedumisha hukumu aliyopewa mfalme wa kabila la Thembu, ikisema lazima atumikie kifungo cha miaka 12.
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Mfalme wa Afrika Kusini aanza maisha jela
Mfalme wa kabila la Wathembu nchini Afrika Kusini ameanza kutumikia kifungo cha miaka 12 jela siku chache baada yake kupoteza rufaa.
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Wanajeshi Afrika kusini kuanza Doria
Wanajeshi wa Afrika Kusini wataanza Doria kudhibiti vitendo vya ukatili dhidi ya watu kutoka mataifa ya Afrika
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Mechi za kombe la Afrika kuanza leo
Timu zote Afrika zimewasili nchini Equatorial Guinea wakati ambapo mechi za taifa bingwa barani zinatarajiwa kung'oa nanga hii leo
11 years ago
Michuzi24 May
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtKB9623VogzqNsm9C5DRxQuzSkmC6gC2vFyevEoU5uDMLQdCdFdjuvB9q0L*5iQZkd7-TnUy7oqgk-X1G83AiNE/_78681714_meyiiwa.jpg?width=650)
MAELFU WAMZIKA MEYIWA AFRIKA KUSINI LEO
Jeneza la Senzo Meyiwa. Maelfu ya watu wamehudhuria mazishi ya aliyekuwa nahodha wa timu ya soka ya Afrika Kusini Senzo Meyiwa yanayofanyika jijini Durban. Meyiwa, mwenye umri wa miaka 27, alipigwa risasi Jumapili iliyopita, baada ya majambazi kuingia nyumbani mwa mpenzi wake karibu na Johannesburg.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania