Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mimba za utotoni zinafifisha ndoto ya kupambana na umasikini

BAADA ya kutafakari kwa muda juu ya mchakato wa Katiba mpya ulivyokuwa ukiendeshwa, pamoja na mambo yote yaliyotokea lakini tunahitaji kuangalia suala la mfumo ambao unasababisha matatizo mengi ya kijamii...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Tanzania kinara mimba za utotoni

LICHA ya jitihada za Serikali na wadau wengine wa mitandao ya kijinsia kutoa elimu kwa jamii juu ya athari za mimba za utotoni, Tanzania bado imeendelea kuwa kinara katika tatizo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mimba za utotoni janga la taifa

INGAWA asasi mbalimbali za serikali na zisizo za serikali zinapiga vita ndoa na mimba za utotoni, bado tatizo hilo ni kubwa katika  mikoa ya Mtwara na Lindi. Ripoti ya pili...

 

10 years ago

Mwananchi

Machimbo yachangia mimba za utotoni

Kahama. Uwepo wa machimbo mengi ya wachimbaji wadogo wa dhahabu eneo la Bulyanhulu lenye kata za Luguya, Bulyanhulu na Bugalama wilayani hapa, imedaiwa kuwa moja ya sababu inayochangia watoto wengi kukatisha masomo hasa wasichana.

 

11 years ago

Habarileo

Wasichana 98 wapata mimba utotoni

ZAIDI ya wasichana 98 walipata mimba za utotoni na wengine kukatishwa masomo kwa kipindi cha mwaka huu, mkoani Kilimanjaro, huku asilimia kubwa wakiwa ni kutoka familia masikini.

 

10 years ago

Habarileo

WAMA kuelimisha mimba za utotoni

Mama Salma KikweteMKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amesema katika mwaka huu Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (Wama), itaendelea kujikita katika kuelimisha jamii kuzuia na kudhibiti mimba za umri mdogo hususani kwa wanafunzi wa shule za sekondari.

 

10 years ago

Tanzania Daima

DAR ES SALAAM ZOO: Ndoto ya utotoni uliyogeuka kweli ukubwani

ENEO la Dar es salaam Zoo lilikuwa jangwa tofauti na linavyoonekana sasa, kwani ukifika eneo utakutana na uoto wa kijani na wanyama wa aina mbalimbali ambao wengine hawajapatikana kwenye hifadhi...

 

10 years ago

Mwananchi

Dar yavunja rekodi mimba za utotoni (2)

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni ya kuzuia matukio ya ujauzito kwa watoto wa kike hali si ya kuridhisha.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri asifu MKUZA kupambana na umasikini

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, Dk Mwinyihaji Makame Mwadini amesema wananchi wameanza kuufahamu Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupambana na Umasikini (MKUZA), ambao umepata mafanikio makubwa.

 

9 years ago

Mwananchi

NYANZA: Walimu wanyoshewa kidole mimba za utotoni

Wadau wa Maendeleo wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, wamewatuhumu baadhi ya walimu kuwa chanzo cha mimba za utotoni kutokana na kuwarubuni wanafunzi na kuficha takwimu sahihi za waliopata ujauzito.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani