NYANZA: Walimu wanyoshewa kidole mimba za utotoni
Wadau wa Maendeleo wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, wamewatuhumu baadhi ya walimu kuwa chanzo cha mimba za utotoni kutokana na kuwarubuni wanafunzi na kuficha takwimu sahihi za waliopata ujauzito.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo17 Dec
Walimu wadaiwa chanzo cha mimba utotoni
BAADHI ya walimu wa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga wanatuhumiwa kuwa chanzo cha mimba za utotoni kwa kuwarubuni wanafunzi wao huku wakificha takwimu sahihi za wanafunzi waliopatwa na ujauzito.
9 years ago
StarTV09 Nov
Wafanyabishara Arusha wanyoshewa kidole
Wafanyabiashara wanaotoa huduma katika masoko wametakiwa kudumisha utaratibu wa kufanya usafi katika maeneo yao ya biashara pasipo kushurutishwa ili kulinda afya za watumiaji wa bidhaa wanazouza, ikiwa ni jitihada za kupambana na ugonjwa wa kipindupindu.
Pia imeelezwa kuwa maeneo mengi ya masoko usafi wake hauridhishi kutokana na tabia ya baadhi ya wafanyabiashara kutokushiriki kikamilifu katika kufanya usafi.
wafanyabiashara wa soko kuu lililopo katikati ya jiji la Arusha pamoja na...
10 years ago
Mwananchi08 May
NYANZA: Walimu wageuza madaftari viti
10 years ago
Mwananchi11 Aug
NYANZA: Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi
11 years ago
Habarileo25 Dec
Wasichana 98 wapata mimba utotoni
ZAIDI ya wasichana 98 walipata mimba za utotoni na wengine kukatishwa masomo kwa kipindi cha mwaka huu, mkoani Kilimanjaro, huku asilimia kubwa wakiwa ni kutoka familia masikini.
10 years ago
Habarileo12 Jan
WAMA kuelimisha mimba za utotoni
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amesema katika mwaka huu Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (Wama), itaendelea kujikita katika kuelimisha jamii kuzuia na kudhibiti mimba za umri mdogo hususani kwa wanafunzi wa shule za sekondari.
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Mimba za utotoni janga la taifa
INGAWA asasi mbalimbali za serikali na zisizo za serikali zinapiga vita ndoa na mimba za utotoni, bado tatizo hilo ni kubwa katika mikoa ya Mtwara na Lindi. Ripoti ya pili...
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Machimbo yachangia mimba za utotoni