Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYANZA: Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi

Walimu 75 wa shule za msingi na sekondari wamezingira ofisi ya mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera wakitaka kujua hatima ya kupandishwa kwao madaraja ya utumishi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi

Walimu zaidi ya 100 wa shule za msingi na sekondari wilayani Sengerema mkoani Mwanza jana, waliandamana hadi katika ofisi ya mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo kudai malimbikizo ya fedha zao yanayofikia Sh1.1 bilioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Igunga wafunga ofisi ya Mkurugenzi

WALIMU zaidi ya 125 wa shule mbalimbali wilayani Igunga mkao wa Tabora, wamefunga ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Igunga wakishinikiza kulipwa mishahara na posho zao. Hatua hiyo, iliwalazimu wafanyakazi...

 

11 years ago

Mwananchi

Walimu wafunga ofisi ya mkurugenzi wa Igunga

 Zaidi ya walimu 100 wanaofundisha shule mbalimbali wilayani Igunga, wamefunga Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Igunga wakishinikiza kulipwa mishahara yao na posho wanazodai.

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Walimu wageuza madaftari viti

>Walimu wa Shule ya Msingi Mwatulole mkoani Geita, hawana meza wala viti hali inayowalazimu kukalia madaftari ya wanafunzi kwa kuyatandika kwenye magogo.

 

9 years ago

Mwananchi

NYANZA: Walimu wanyoshewa kidole mimba za utotoni

Wadau wa Maendeleo wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, wamewatuhumu baadhi ya walimu kuwa chanzo cha mimba za utotoni kutokana na kuwarubuni wanafunzi na kuficha takwimu sahihi za waliopata ujauzito.

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Walimu kortini kwa kuuza mafuta ya albino

>Walimu wawili wa Shule ya Msingi Maalumu Mtindo na mwenyekiti wa kamati ya shule hiyo wilayani Misungwi mkoani Mwanza, wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuuza mafuta ya ngozi kwa ajili ya albino.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bodaboda wavamia ofisi za CHADEMA

MADEREVA wa Bajaj na pikipiki jana walivamia Ofisi za  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Makao Makuu kuwasilisha malalamiko yao dhidi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanachama wavamia ofisi za CUF Dar

WANACHAMA wa Chama cha Wananchi (CUF) wamevamia makao makuu ya chama hicho leo asubuhi na kusababisha kikao cha mwenyekiti Profesa Ibrahim Lipumba na wanahabari kuhairishwa.

 

10 years ago

Habarileo

WanaCCM wavamia ofisi wakihoji kuenguliwa Aeshi

WAKAZI na wapigakura wa Jimbo la Sumbawanga Mjini mkoani Rukwa wamevamia Ofisi ya CCM wilaya ya Sumbawanga Mjini, wakidai kupewa maelezo ya kina kuhusu kuenguliwa jina la mbunge aliyemaliza muda wake, Aeshi Hilaly.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani