Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi
Walimu zaidi ya 100 wa shule za msingi na sekondari wilayani Sengerema mkoani Mwanza jana, waliandamana hadi katika ofisi ya mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo kudai malimbikizo ya fedha zao yanayofikia Sh1.1 bilioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Aug
NYANZA: Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Walimu Igunga wafunga ofisi ya Mkurugenzi
WALIMU zaidi ya 125 wa shule mbalimbali wilayani Igunga mkao wa Tabora, wamefunga ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Igunga wakishinikiza kulipwa mishahara na posho zao. Hatua hiyo, iliwalazimu wafanyakazi...
11 years ago
Mwananchi08 May
Walimu wafunga ofisi ya mkurugenzi wa Igunga
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Bodaboda wavamia ofisi za CHADEMA
MADEREVA wa Bajaj na pikipiki jana walivamia Ofisi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Makao Makuu kuwasilisha malalamiko yao dhidi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said...
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Wanachama wavamia ofisi za CUF Dar
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Wenye malori ya mchanga wavamia ofisi ya Jiji
10 years ago
Habarileo08 Aug
WanaCCM wavamia ofisi wakihoji kuenguliwa Aeshi
WAKAZI na wapigakura wa Jimbo la Sumbawanga Mjini mkoani Rukwa wamevamia Ofisi ya CCM wilaya ya Sumbawanga Mjini, wakidai kupewa maelezo ya kina kuhusu kuenguliwa jina la mbunge aliyemaliza muda wake, Aeshi Hilaly.
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Waandamanaji wavamia ofisi wa serikali Hong Kong
10 years ago
Habarileo10 Jan
Walimu wamvamia Mkurugenzi Dar
ZAIDI ya walimu 100 wa shule za msingi na sekondari za Manispaa za Kinondoni, Dar es Salaam jana wameandamana hadi katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo wakitaka kutekelezewa madai mbalimbali wanayoidai manispaa hiyo, zikiwamo fedha za likizo pamoja na kupandishwa madaraja.