Walimu wafunga ofisi ya mkurugenzi wa Igunga
 Zaidi ya walimu 100 wanaofundisha shule mbalimbali wilayani Igunga, wamefunga Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Igunga wakishinikiza kulipwa mishahara yao na posho wanazodai.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Walimu Igunga wafunga ofisi ya Mkurugenzi
WALIMU zaidi ya 125 wa shule mbalimbali wilayani Igunga mkao wa Tabora, wamefunga ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Igunga wakishinikiza kulipwa mishahara na posho zao. Hatua hiyo, iliwalazimu wafanyakazi...
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Walimu wamfungia ofisini mkurugenzi Igunga
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi
10 years ago
Mwananchi11 Aug
NYANZA: Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Wafunga ofisi ya serikali kwa ubadhirifu
TUHUMA za ubadhirifu na uporaji wa ardhi zinazowakabili baadhi ya watendaji wa halmashauri na kijiji, zimewasukuma wananchi wa Kijiji cha Bugulula, Kata ya Bugulula wilayani Geita kufunga ofisi ya serikali...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pK3LLEBRolQ/Xkjb1gaIkxI/AAAAAAACyts/WwarCFKc0HwSWo2NVNLygWeoh0UVzQoMQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAFUNGA MNYORORO OFISI ZA TUME YA UCHAGUZI MALWI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pK3LLEBRolQ/Xkjb1gaIkxI/AAAAAAACyts/WwarCFKc0HwSWo2NVNLygWeoh0UVzQoMQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Hali nchini Malawi haijatulia hata baada ya Mahakama ya Kikatiba juzi kutupilia mbali ya rufaa ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Arthur Peter Mutharika ya kuzuia uchaguzi mwingine.
Jana waandamanaji walifika katika ofisi za tume ya uchaguzi na kisha kufunga kwa mnyororo ofisi hizo kama njia ya kumlazimisha mwenyekiti wake kujiuzulu baada ya uamuzi huo wa mahakama.
Mamia ya waandamanaji hao walitembea kwa kilomita tano hadi kufika katika ofisi za tume hiyo zilizoko Blantyre, na kufunga...
10 years ago
Habarileo10 Jan
Walimu wamvamia Mkurugenzi Dar
ZAIDI ya walimu 100 wa shule za msingi na sekondari za Manispaa za Kinondoni, Dar es Salaam jana wameandamana hadi katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo wakitaka kutekelezewa madai mbalimbali wanayoidai manispaa hiyo, zikiwamo fedha za likizo pamoja na kupandishwa madaraja.
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Walimu Kivule hawana ofisi
SHULE ya Msingi Kivule jijini Dar es Salaam inahitaji sh milioni 97 kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi ya Mwalimu Mkuu na Walimu ili kuhakikisha wanatoa elimu bora kwa wanafunzi....
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mkurugenzi apewa siku 14 kurejesha fedha za walimu
HALIMASHAURI ya Wilaya ya Geita mkoani hapa imepewa siku 14 kurudisha fedha sh milioni 350 zilizotafunwa na Halimashauri hiyo ambazo walikatwa walimu wa Mkoa huo kwa ajili ya mikopo ambayo...