Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu Kivule hawana ofisi

SHULE ya Msingi Kivule jijini Dar es Salaam inahitaji sh milioni 97 kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi ya Mwalimu Mkuu na Walimu ili kuhakikisha wanatoa elimu bora kwa wanafunzi....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi

Walimu zaidi ya 100 wa shule za msingi na sekondari wilayani Sengerema mkoani Mwanza jana, waliandamana hadi katika ofisi ya mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo kudai malimbikizo ya fedha zao yanayofikia Sh1.1 bilioni.

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi

Walimu 75 wa shule za msingi na sekondari wamezingira ofisi ya mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera wakitaka kujua hatima ya kupandishwa kwao madaraja ya utumishi.

 

11 years ago

Mwananchi

Walimu wafunga ofisi ya mkurugenzi wa Igunga

 Zaidi ya walimu 100 wanaofundisha shule mbalimbali wilayani Igunga, wamefunga Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Igunga wakishinikiza kulipwa mishahara yao na posho wanazodai.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Igunga wafunga ofisi ya Mkurugenzi

WALIMU zaidi ya 125 wa shule mbalimbali wilayani Igunga mkao wa Tabora, wamefunga ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Igunga wakishinikiza kulipwa mishahara na posho zao. Hatua hiyo, iliwalazimu wafanyakazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel yaboresha ofisi ya walimu Chau Chalinze

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel, imetoa msaada wa viti na meza kwa ajili ya ofisi ya walimu kwa Shule ya Msingi Chau iliyoko Chalinze, Pwani. Akizungumza katika hafla...

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yatoa vifaa vya ofisi ya walimu wa shule ya msingi Bayuni

Meneja wa Huduma kwa jamii wa Airtel Bi Hawa Bayumi (Kulia) akikabithi msaada wa vifaa vya ofisi ya walimu kwa mwalimu mkuu wa shule ya msingi Buyuni Bwana Amiri Mkojela wakati Airtel ilipotembealea shuleni hapo na kutoa viti na meza kwa ajili ya ofisi ya walimu , wakishuhudia katikati ni Mwenyekiti wa Shule, Jamhur Masiku, na wanafuanzi wa shuleni hapo, hafla ya makabidhiano ilifanyika shuleni hapo mwishoni mwa wiki hii.
kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imetoa msaada wa seti ya meza...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YATOA VIFAA VYA OFISI YA WALIMU WA SHULE YA MSINGI BAYUNI‏

Meneja wa Huduma kwa jamii wa Airtel Bi Hawa Bayumi (Kulia) akikabithi msaada wa vifaa vya ofisi ya walimu kwa mwalimu mkuu wa shule ya msingi Buyuni Bwana Amiri Mkojela wakati Airtel ilipotembealea shuleni hapo na kutoa viti na meza kwa ajili ya ofisi ya walimu , wakishuhudia katikati ni Mwenyekiti wa Shule, Jamhur Masiku, na wanafuanzi wa shuleni hapo, hafla ya makabidhiano ilifanyika shuleni hapo mwishoni mwa wiki hii. Airtel...

 

11 years ago

Michuzi

OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA YATANGAZA AJIRA KWA WALIMU WAPYA MWAKA 2013/14

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
 Jumla ya Walimu wapya 36,021 ambao wamehitimu mwaka 2013 kutoka vyuo mbalimbali hapa nchini wataajiriwa rasmi na Mamlaka za Serikali za Mitaa (Halmashauri) ifikapo tarehe 01 Aprili 2014. Kati ya idadi hiyo walimu wa ngazi ya Cheti (Daraja III A) ambao hufundisha katika shule za Msingi ni 17,928 na walimu wa shule za sekondari ni 18,093 (wakiwemo 5,416 wa Stashahada na 12,677 wenye...

 

11 years ago

Habarileo

Wakazi wa Kivule wasikitishwa na Magufuli

WANANCHI katika eneo la Kivule, katika Wilaya ya Ilala wamesikitishwa na kauli ya Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kwamba madaraja yote katika Jiji la Dar es Salaam, sasa yanapitika, wakati eneo la Kivule bado halipitiki, baada ya kuharibiwa na mvua wiki iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani