Airtel yaboresha ofisi ya walimu Chau Chalinze
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel, imetoa msaada wa viti na meza kwa ajili ya ofisi ya walimu kwa Shule ya Msingi Chau iliyoko Chalinze, Pwani. Akizungumza katika hafla...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziAirtel yatoa msaada wa vifaa vya ofisi kwa shule ya Msingi Chau Chalinze
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa kupitia shughuli zake za huduma kwa jamii imetoa msaada vifaa kwa ajili ya ofisi ya walimu kwa shule ya msingi ya Chau iliyoko Chalinze mkoani Pwani.
Akiongea kwa niaba ya Airtel Afisa mauzo wa kanda ya Pwani...
11 years ago
GPLAIRTEL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA OFISI KWA SHULE YA MSINGI CHAU CHALINZE
Airtel Afisa mauzo wa kanda ya Pwani William Mrocky akikabithi kwa mwalimu mkuu wa shule ya msingi Chau Bwana Elvin Msangi msaada wa viti na meza kwaajili ya ofisi ya walimu wa shule ya msingi ya chau iliyoko Chalinze Mkoani Pwani. Airtel yatoa msaada wa vifaa vya ofisi kwa shule ya Msingi Chau Chalinze
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa kupitia shughuli zake za huduma kwa jamii imetoa msaada vifaa kwa ajili ya...
11 years ago
MichuziAirtel yatoa vifaa vya ofisi ya walimu wa shule ya msingi Bayuni
kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imetoa msaada wa seti ya meza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIlifNCgBRz4BXk6rQYF9fEj-8xLEBs6q-1O1cNj0mbUDpiLfOy2AhL7l6nN*1y4pIVT2wBOq4fpbM-*Jz839PXo/Pic2.jpg.JPG?width=650)
AIRTEL YATOA VIFAA VYA OFISI YA WALIMU WA SHULE YA MSINGI BAYUNI
Meneja wa Huduma kwa jamii wa Airtel Bi Hawa Bayumi (Kulia) akikabithi msaada wa vifaa vya ofisi ya walimu kwa mwalimu mkuu wa shule ya msingi Buyuni Bwana Amiri Mkojela wakati Airtel ilipotembealea shuleni hapo na kutoa viti na meza kwa ajili ya ofisi ya walimu , wakishuhudia katikati ni Mwenyekiti wa Shule, Jamhur Masiku, na wanafuanzi wa shuleni hapo, hafla ya makabidhiano ilifanyika shuleni hapo mwishoni mwa wiki hii. Airtel...
9 years ago
GPLWAJASIRIAMALI WALIOWEZESHWA NA AIRTEL FURSA WATEMBELEA OFISI ZA AIRTEL ZILIZOPO JIJINI DAR ES SALAAM
Mkurugenzi mkuu wa Airtel Tanzania Sunil Colaso akiangalia bidhaa aliyopokea kutoka kwa Marius Mutashobelwa mkazi wa Mbeya, ambaye ni miongoni mwa vijana waliowezeshwa na Airtel FURSA walipotembelea ofisi za Airtel jijini Dar es Salaam na kupata mafunzo ya kuendeleza biashara zao mwishoni mwa wiki hii. Mkurugenzi mkuu wa Airtel Tanzania Sunil Colaso akisalimiana na vijana waliowezeshwa na Airtel Kupitia mradi wake wa Airtel...
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Walimu Kivule hawana ofisi
SHULE ya Msingi Kivule jijini Dar es Salaam inahitaji sh milioni 97 kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi ya Mwalimu Mkuu na Walimu ili kuhakikisha wanatoa elimu bora kwa wanafunzi....
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi
Walimu zaidi ya 100 wa shule za msingi na sekondari wilayani Sengerema mkoani Mwanza jana, waliandamana hadi katika ofisi ya mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo kudai malimbikizo ya fedha zao yanayofikia Sh1.1 bilioni.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qSh1hjqRM_w/U9K8ejXEv-I/AAAAAAAF6Zg/tkhZvDF2zvY/s72-c/unnamed+(30).jpg)
mbunge wa chalinze aweka jiwe la msingi la nyumba za walimu, akagua ujenzi wa zahanati Lugoba
![](http://2.bp.blogspot.com/-qSh1hjqRM_w/U9K8ejXEv-I/AAAAAAAF6Zg/tkhZvDF2zvY/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aO6GWupvaT4/U9K8hBj3NKI/AAAAAAAF6Zo/Lu3G42KoCMA/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hy38keZNf5Q/U9K8iI7cvWI/AAAAAAAF6Zw/cMvE92T8ELI/s1600/unnamed+(33).jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Aug
NYANZA: Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi
Walimu 75 wa shule za msingi na sekondari wamezingira ofisi ya mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera wakitaka kujua hatima ya kupandishwa kwao madaraja ya utumishi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania