Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu wamfungia ofisini mkurugenzi Igunga

Zaidi ya walimu 100 wanaofundisha katika shule za msingi na sekondari Wilaya ya Igunga, jana walimfungia ofisini Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo, Sisti Kessy kwa zaidi ya saa tatu wakimshinikiza kuwalipa mishahara yao ya mwezi Aprili na Mei mwaka huu wanayoidai.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Walimu wafunga ofisi ya mkurugenzi wa Igunga

 Zaidi ya walimu 100 wanaofundisha shule mbalimbali wilayani Igunga, wamefunga Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Igunga wakishinikiza kulipwa mishahara yao na posho wanazodai.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Igunga wafunga ofisi ya Mkurugenzi

WALIMU zaidi ya 125 wa shule mbalimbali wilayani Igunga mkao wa Tabora, wamefunga ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Igunga wakishinikiza kulipwa mishahara na posho zao. Hatua hiyo, iliwalazimu wafanyakazi...

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI MKUU MPYA WA MSD BRIG. JEN MHIDIZE AWASILI OFISINI




Mkurugenzi Mkuu mpya wa MSD Brig. Jen. Dkt. Gabriel Sauli Mhidize amepokelewa ofisini kwake, Keko Dar es Salaam na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa MSD Bw. Laurean Bwanakunu.

Aidha Brig. Jen. Dkt. Gabriel Sauli Mhidize, amekutana na kuzungumza na Menejimenti ya Bohari ya Dawa (MSD).


Brig. Jen. Dkt. Gabriel Sauli Mhidize aliteuliwa tarehe 3 may,2020 na Rais John Magufuli kushika nafasi hiyo.

 

11 years ago

Michuzi

Mkurugenzi Mkuu wa NHC Amtembelea Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Ofisini kwake

Mheshimiwa Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Ubalozi wa Tanzania uliopo Dubai, akiwa na mazungumzo na Ndugu Nehemiah Mchechu, Mkurugenzi Mkuu wa NHC , alipomtembelea Ofisini kwake Dubai.
Mazungumzo yao yalihusu maandalizi ya kongamano la uwekezaji katika sekta ya nyumba litakalofanyika Jumeirah Madnat Hotel, Dubai. Kongamano hilo limeandaliwa na Ubalozi Mdogo wa Tanzania uliopo Dubai kwa kushirikiana na Shirika la Taifa la Nyumba (NHC).
Makampuni makubwa ya sekta ya nyumba hapa Dubai...

 

9 years ago

Mwananchi

Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi

Walimu zaidi ya 100 wa shule za msingi na sekondari wilayani Sengerema mkoani Mwanza jana, waliandamana hadi katika ofisi ya mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo kudai malimbikizo ya fedha zao yanayofikia Sh1.1 bilioni.

 

10 years ago

Habarileo

Walimu wamvamia Mkurugenzi Dar

Ofisa Utumishi wa Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, Godfrey Mugomi (kulia) akizungumza na baadhi ya walimu wa manispaa hiyo walioandamana jana kwenda ofisi ya Mkurugenzi kushinikiza madai yao mbalimbali, likiwamo la kupandishwa madaraja, uhamisho na huduma za matibabu. (Picha na Mroki MrokI).ZAIDI ya walimu 100 wa shule za msingi na sekondari za Manispaa za Kinondoni, Dar es Salaam jana wameandamana hadi katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo wakitaka kutekelezewa madai mbalimbali wanayoidai manispaa hiyo, zikiwamo fedha za likizo pamoja na kupandishwa madaraja.

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi

Walimu 75 wa shule za msingi na sekondari wamezingira ofisi ya mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera wakitaka kujua hatima ya kupandishwa kwao madaraja ya utumishi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mkurugenzi apewa siku 14 kurejesha fedha za walimu

HALIMASHAURI ya Wilaya ya Geita mkoani hapa imepewa siku 14 kurudisha fedha sh milioni 350 zilizotafunwa na Halimashauri hiyo ambazo walikatwa walimu wa Mkoa huo kwa ajili ya mikopo ambayo...

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI JIJI LA DODOMA AAHIDI KUWAPATIA PIKIPIKI WALIMU WANAOTEMBEA UMBALI MREFU

Charles James, Michuzi TV

KATIKA kuongeza motisha ya ufundishaji, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi ameahidi kuwapatia pikipiki walimu ambao wamekua wakitembea umbali mrefu kwenda mashuleni.

Kunambi ametoa ahadi hiyo leo katika uzinduzi wa shule ya msingi Mavunde ambayo imejengwa kwa ushirikiano wa Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde na Halmashauri ya Jiji hilo.

Akizungumza mbele ya mgeni rasmi ambaye ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Kunambi amesema kwa kutambua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani