Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bodaboda wavamia ofisi za CHADEMA

MADEREVA wa Bajaj na pikipiki jana walivamia Ofisi za  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Makao Makuu kuwasilisha malalamiko yao dhidi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi

Walimu zaidi ya 100 wa shule za msingi na sekondari wilayani Sengerema mkoani Mwanza jana, waliandamana hadi katika ofisi ya mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo kudai malimbikizo ya fedha zao yanayofikia Sh1.1 bilioni.

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi

Walimu 75 wa shule za msingi na sekondari wamezingira ofisi ya mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera wakitaka kujua hatima ya kupandishwa kwao madaraja ya utumishi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanachama wavamia ofisi za CUF Dar

WANACHAMA wa Chama cha Wananchi (CUF) wamevamia makao makuu ya chama hicho leo asubuhi na kusababisha kikao cha mwenyekiti Profesa Ibrahim Lipumba na wanahabari kuhairishwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wenye malori ya mchanga wavamia ofisi ya Jiji

Wafanyakazi wa Ofisi ya Jiji la Mbeya jana walikumbwa na taharuki baada ya kuvamiwa na wafanyabiashara wa malori ya kubeba mchanga karibu 20 wakiwa na vijana wao, waliofika katika ofisi hiyo huku wakipiga kelele.

 

10 years ago

Habarileo

WanaCCM wavamia ofisi wakihoji kuenguliwa Aeshi

WAKAZI na wapigakura wa Jimbo la Sumbawanga Mjini mkoani Rukwa wamevamia Ofisi ya CCM wilaya ya Sumbawanga Mjini, wakidai kupewa maelezo ya kina kuhusu kuenguliwa jina la mbunge aliyemaliza muda wake, Aeshi Hilaly.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji wavamia ofisi wa serikali Hong Kong

Wanaharakati wanaopigania demokrasia katika eneo la Hong Kong, wamesababishwa ofisi za serikali kufuingwa asubuhi ya leo kufuatia usiku wenye ghasia kwenye mitaa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wavamia CHADEMA Kalenga

MKURUGENZI wa Operesheni wa Chama cha Demokrasia na Maendelelo (CHADEMA) katika kampeni za kugombea ubunge Jimbo la Kalenga, Benson Kigaila, amesema kambi ya chama iliyoko Kata ya Wasa imevamiwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema: Bodaboda achaneni na Lowassa

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeendelea na Operesheni Pamoja Daima katika mikoa mbalimbali nchini.

 

11 years ago

IPPmedia

Chadema wants bodaboda back in city centre


IPPmedia
Chadema wants bodaboda back in city centre
IPPmedia
Police in Dar es Salaam have been called on to adopt innovative approaches suitable to tackle motorcycle related crimes that are on the rise in the city. The call is from opposition party Chadema's youth wing Bavicha whose Secretary General Deogratias ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani