Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYANZA: Walimu wageuza madaftari viti

>Walimu wa Shule ya Msingi Mwatulole mkoani Geita, hawana meza wala viti hali inayowalazimu kukalia madaftari ya wanafunzi kwa kuyatandika kwenye magogo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Walimu wasifu fedha za rada kununua madaftari

BAADHI ya walimu kutoka shule mbalimbali za msingi wilayani hapa wameipongeza serikali kwa kutekeleza ahadi yake ya kugawa vitabu vya masomo mbalimbali kwa shule kutokana na fedha zilizotokana na fidia ya rada (maarufu kama chenji ya rada).

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Walimu wavamia ofisi ya mkurugenzi

Walimu 75 wa shule za msingi na sekondari wamezingira ofisi ya mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera wakitaka kujua hatima ya kupandishwa kwao madaraja ya utumishi.

 

9 years ago

Mwananchi

NYANZA: Walimu wanyoshewa kidole mimba za utotoni

Wadau wa Maendeleo wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, wamewatuhumu baadhi ya walimu kuwa chanzo cha mimba za utotoni kutokana na kuwarubuni wanafunzi na kuficha takwimu sahihi za waliopata ujauzito.

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Walimu kortini kwa kuuza mafuta ya albino

>Walimu wawili wa Shule ya Msingi Maalumu Mtindo na mwenyekiti wa kamati ya shule hiyo wilayani Misungwi mkoani Mwanza, wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuuza mafuta ya ngozi kwa ajili ya albino.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara K’koo wageuza sikukuu mtaji

Wakazi wa jijini hapa wamewaomba wafanyabiashara wa nguo za watoto kutoongeza bei ya bidhaa hizo kila unapokaribia msimu wa sikukuu.

 

11 years ago

Mwananchi

Vigogo wageuza nyumba za Serikali kuwa baa

>Viongozi wa Serikali wakiwamo mawaziri, wameingia kwenye kashfa inayowaweka katika wakati mgumu, baada ya kubadili matumizi ya nyumba za Serikali walizonunua, kinyume na mikataba inavyoeleza.

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI WA PSPF MWANAMITINDO WA KIMATAIFA FLAVIANA MATATA AKABIDHI MABEGI NA MADAFTARI KWA SHULE ZA MSINGI DODOMA NA SINGIDA


Balozi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, akikabidhi begi kwa mwanafunzi wa Shule ya Msingi, Nyerere iliyoko Manispaa ya Singida, Oktoba 7, 2015. PSPF kupitia Sera yake ya kusaidia jamii imetoa msaada wa mabegi na madaftari kwa shule hiyo na ile ya Chididimo iliyoko nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma

NA K-VIS MEDIA, DODOMA NA SINGIDABALOZI wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, ametoa wito kwa wanafunzi wa shule za msingi Chididimo iliyoko Manispaa ya mji wa Dodoma na ile ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Balozi wa PSPF Mwanamitindo wa Kimataifa Flaviana Matata akabidhi mabegi na madaftari kwa shule za Msingi Dodoma na Singida

 Balozi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, akikabidhi begi kwa mwanafunzi wa Shule ya Msingi, Nyerere iliyoko Manispaa ya Singida, Oktoba 7, 2015. PSPF kupitia Sera yake ya kusaidia jamii imetoa msaada wa mabegi na madaftari kwa shule hiyo na ile ya Chididimo iliyoko nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma

NA K-VIS MEDIA, DODOMA NA SINGIDA BALOZI wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, ametoa wito kwa wanafunzi wa shule za msingi Chididimo iliyoko Manispaa ya mji wa Dodoma...

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu Nachingwea wataka hisa Benki ya Walimu ziuzwe kwa simu

Walimu wilayani hapa wamekiomba Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kuweka utaratibu utakaowawezesha walimu walioko pembezoni kununua hisa katika Benki ya Walimu ikiwamo ya kutumia kutumia mitandao ya simu za mkononi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani