Serikali kuuza jenereta 32 za msaada
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza kuuza jenereta 32 ambazo zilitolewa kama msaada na nchi washirika wa maendeleo kwa ajili ya kukabiliana na tatizo la ukosefu wa umeme mwaka 2010.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Bbr0Rytafis/VC_mvLa1nuI/AAAAAAAAQaU/pKIqY71TKtA/s72-c/generator-carbon-monoxide-deaths-lagos-nigeria.jpg)
JENERETA LAWAUA BABA, MAMA NA WATOTO WOTE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bbr0Rytafis/VC_mvLa1nuI/AAAAAAAAQaU/pKIqY71TKtA/s640/generator-carbon-monoxide-deaths-lagos-nigeria.jpg)
![](http://habari.mipasho.com/wp-content/uploads/sites/2/2014/10/generator-carbon-monoxide-deaths-lagos-nigeria-1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n4cosWcQQ_U/Xmff4j0n7tI/AAAAAAALigs/PeTOEbhb5ZwuREpm3o15YHjSxDNl9BnIwCLcBGAsYHQ/s72-c/46ca3ea6-2a14-44ce-b3d6-4ad06d958584.jpg)
VIJANA LIMENI NA KUUZA POPOTE, SERIKALI HAITOWAINGILIA-BASHE
![](https://1.bp.blogspot.com/-n4cosWcQQ_U/Xmff4j0n7tI/AAAAAAALigs/PeTOEbhb5ZwuREpm3o15YHjSxDNl9BnIwCLcBGAsYHQ/s640/46ca3ea6-2a14-44ce-b3d6-4ad06d958584.jpg)
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe akizungumza wakati wa ufunguzi wa kongamano la vijana katika kilimo linaloshirikisha vijana kutoka mikoa ya Geita,Shinyanga na Kagera katika ukumbi wa Mshikamano SACCOS,Chato.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/96d779a4-bc7b-44d2-b73b-08d7a2e4c86c.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3e3c86f8-dc75-4640-a116-3e32537e0774.jpg)
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Kileo akana kuuza nyumba ya Serikali Mbeya mjini
10 years ago
Uhuru Newspaper10 Sep
Serikali ya kijiji Ruvu yadaiwa kuuza shamba kinyemela
Na Mwamvua Mwinyi,Pwani
WANANCHI wa kitongoji cha Ruvu darajani, wilayani Bagamoyo, wameilalamikia serikali ya muda ya kitongoji cha Ruvu, kata ya Vigwaza, kwa kuuza shamba la ekari 10 mali ya kijiji.
Imeelezwa kuwa shamba hilo limeuzwa kwa maslahi binafsi na bila kuwashirikisha wana kijiji.
Mwana kijiji, Athumani Mkali, alisema uongozi wa muda wa kijiji cha Ruvu kuuza eneo hilo ni batili. “ Ukizingatia pia baadhi ya wananchi wengi hawana maeneo ya makazi na mashamba, leo eneo linauzwa kwa...
9 years ago
StarTV13 Nov
Serikali yakamilisha mchakato kimataifa Kuuza Nje Bidhaa Zinazosindikwa
Serikali inakamilisha mchakato wa kuingia katika biashara ya kimataifa kwa kuuza nje ya nchi bidhaa za kilimo zinazosindikwa nchini badala ya kuuza ghafi.
Katika kukamilisha hilo, wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo, utalii na usindikaji wa ndani na nje ya nchi wameshiriki mkutano wa siku moja uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkutano wa siku moja uliofanyika Dar es Salaam, umejadili fursa na tija mbalimbali za biashara ya kimataifa kwa nchi masikini na zinazoendelea, ikiwemo...
5 years ago
CCM BlogSERIKALI IMEWATAKA WANAOUZA BIDHAA ZA KUJIKINGA DHIDI YA CORONA-19, KUUZA KWA BEI ILIYOKO SOKONI
Katika kuhakikisha changamoto hizo zinatatuliwa jana Waziri Innocent Bashungwa ametembelea viwanda vinavyozalisha sabuni na Vitakasa mikono vilivyoko Jijini Dar es Salaam kuangalia bei ya bidhaa hiyo na...
5 years ago
MichuziSerikali Imewataka wanaouza Bidhaa za Kujikinga dhidi ya Covid-19, Kuuza kwa Bei iliyoko Sokoni
======== ======== =======
Serikali kupitia...
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Serikali kupeleka msaada Mulembo
HATIMAYE serikali imesikia kilio cha wanakijiji wa Bulembo, Tarafa ya Kamachumu, Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera na kuahidi kutoa msaada wa sh milioni 170 ili kunusuru wananchi waliopigwa na upepo...
5 years ago
MichuziSerikali yapokea msaada wa shilingi bilioni 14.9
Na WAMJW-Dar es Salaam
Serikali imepokea msaada wa shilingi bilioni 14.9 kutoka Global Fund, Airtel Tanzania, Rotary Club Tanzania ambazo sehemu kubwa zitatumika kununua vifaa kinga kwa watumishi wa afya na vifaa tiba kwa ajili ya kuwahudumia wagonjwa wenye maambukizi ya COVID-19.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameyasema hayo leo wakati akipokea msaada wa fedha na lita 1,250 za vitakasa mikono ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali za...